Taifa halina budi kumuandaa Magufuli Mpya

Taifa halina budi kumuandaa Magufuli Mpya

Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!


Hata Wajerumani kuna wakati walitaka Hitler mwingine arudi ujerumani.
 
... itoshe kumshukuru Mungu wa Mbinguni kwa matendo yake makuu! Taifa lilishaelekezwa kibla kama sio Mungu kuingilia tulikuwa tunaelekea pabaya.
Taifa lipo safarini ,Taifa lina dira na Taifa litafika nchi ya ahadi!
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Si tunao Makonda na Ole Sabaya? Mrisho Gambo kiaina kama amevuta hand break amepiga uturn.
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
JPM mwenyewe alikiri kutokuandaliwa wala kujiandaa kuwa kiongozi.

Sasa mtoa mada zitatumika mbinu zipi kumuandaa huyo mtu?

Binafsi niseme kuwa watu wenye ushamba wa uongozi wako wengi sana.

Na wanaweza kuperform kuliko hata alivyoperform JPM.

Ni ubishi, kujimwambafy na kukurupuka tu, baas!
 
JPM mwenyewe alikiri kutokuandaliwa wala kujiandaa kuwa kiongozi. Sasa mtoa mada zitatumika mbinu zipi kumuandaa huyo mtu?
Binafsi niseme kuwa watu wenye ushamba wa uongozi wako wengi sana...
Na wanaweza kuperform kuliko hata alivyoperform JPM.

Ni ubishi, kujimwambafy na kukurupuka tu, baas!
Tusi-underestimate state machineries....we are are perfectly on the right track
 
Sera za Magufuli zinaweza kurudi. Ila zikirudi nchi lazima itawekewa vikwazo. Tena vikwazo hivyo vitagusa wakubwa wengi ambao watafanya mbinu kumtoa huyo Rais madarakani.
Wakubwa kama akina nani?

Nani kakuambia Rais anatolewa na wakubwa?

Hakuna cha wakubwa wala nini
 

never again kuandaa/ au system kuzubaa kupita kiasi hadi mtu wa namna hii kuwa Ikulu
Mbona itatokea tena soon tu? Wait
 
Jpm og system ilipita nae huyu wa kwenu mnaemuandaa tutapita nae cc wananchi.
Watu wanatapa tapa sana eti sisitim ilipita naye, ukiuliza hata maana ya sisitim haijui atakuambia mfumo.

Usiongee usichojua, yaani upo mbali na ukweli kwa asilimia 100.

Umeshindwa hata kuukaribia ukweli kidogo
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tanzania hatutaki tena aje atokee kiongozi MFITINI, mbaguzi, mwizi na MWONGO kama Magufuli.

Mungu aliipenda sana Nchi yetu ndiyo maana akampeleka jehanam Magufuli siku chache tu baada ya kuiba kura za uchaguzi wa mwaka 2020.

Kamwe hatatokea HAYAWANI na FEDHULI mwingine kama Magufuli
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Mukamuandaee huko Uganda sio Tanzania.
 
Back
Top Bottom