Hao waliopo hawaui? Wewe uko dunia gani? Chuki zitakuuaAkina Bashite ,Sabaya aliowatengeneza walikuwa watu wazuri?Achilia hao waliokuwa wanafanya mishe zake za kuua kwa siri ?
Wanaua ila boss wako alizidi aise kila siku watu wanaokotwa huko.Hao waliopo hawaui? Wewe uko dunia gani? Chuki zitakuua
Haya majibu yenu ya baseless accusations, mara lete ushahidi yanaweza kuwazoesha raia kukubali mambo ya hovyo kuwa ndiyo kawaida.baseless accusations!
Kabisa hata mimi naamini hivyo, ipo siku hawa mamluki wachache ambao wanarudi kwa kasi ya kutisha watajikuta yatima na hawana pa kuficha nyuso zao kwa aibu na fedheha...God is aliveMagufuli ni masihi alisema amekuja kuandaa njia yupo anaye kuja.
Ajabu ya mwaka wezi wanalindwa wazalendo wanakosa mtetezi....![]()
Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi
Salamu za Heri zinaendelea kumiminika. Hapa chini ni kutoka kwa nabii Mwingira: Salamu za kama hizi zinapoendelea kutufikia ni vyema kujitafakari. Ni wazi kuwa kama Taifa hatuko vizuri. Walikuwapo kina Desmond Tutu, leo hatuko nao. Walifanya sehemu yao, wamekwenda. Angalia katika...www.jamiiforums.com
never again kuandaa/ au system kuzubaa kupita kiasi hadi mtu wa namna hii kuwa Ikulu
A word of a day...Lets hope for thatJPM spirit yes but with positive moral behaviour.
Wauaji hawatakiwi tena dunia hii.baseless accusations!
Yaani hilo jingalao halijui kutofautisha State machinery na party allies!Hamna cha state machinery wala nini. Tunajua utapeli unaoendelea kwenye hizo the so called state machineries.
Hakika ili nchi ipige hatua ni lazima hilo jinamizi lisambaratike!Hatutaki mijitu ya ajabu tena, hata ccm isambalatike katika uso wa dunia
kwahiyo Magufuli ndio alikuwa anawatupa! wanaotupwa sasa hivi itakuwa ni mzimu wake?Hatutaki tena kuona watu wanatupwa baharini wakiwa wamefungwa kwenye mifuko ya sandarusi na kushindiliwa na mawe ili wasitokee juu ya maji/waasiibuke.
wakiwa wamepangwa chini kama mafungu ya nyanya si bure tumerogwaIla manataka kuona wagonjwa Muhimbili wakifa kwa kukosa huduma
ndio aliandaliwa japo sio kiivyo refer to watangulizi wake walikuwa wakimtegemea kuhandle wizara zote zilizokuwa zikiwapa changamoto baada ya kuwa wameharibu mazima wakaamua kumpa usukani kabisakwani JPM orijino aliandaliwa?
kipi amefanya vizuri kuliko mtangulizi wake maana kwa haraka tu mtangulizi wake ana SGR, ATCL,bwawa la rufiji na SSH ana Msaada wa Uviko 19 na ziara ughaibuniSSH anatimiza Mwaka mmoja tangu ajipatie madaraka.
Anafanya vizuri sana kuliko mtangulizi wake.
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
sijawahi sikia mmesema ni chuki ipi na visasi aliwafanyia so we presume nyie ni miongoni mwa casualty chache muhimu katika kuleta mabadiliko na maendeleo aliyoyapiganiaNaomba hadi siku ya kifo changu asitokee mtu mwenye chuki na visasi kama huyu akaongoza nchi.
subiri ripoti ya tume ya dogo wa madini wa mtwara aliyeuwawa na askari waliotumwa na mzimu wa JPM serikali pendwa ya awamu ya 5.5 itoe maelezo afu utanitagHaya majibu yenu ya baseless accusations, mara lete ushahidi yanaweza kuwazoesha raia kukubali mambo ya hovyo kuwa ndiyo kawaida. Ni jukumu la serikali kueleza kila uhai wa raia wake unapomtoka kama kuna utata wa aina yo yote kuhusu kisababishi. Mkuu wa Serikali ndiye mwishoni nayewajibika. Ndivyo nchi ambazo siyo banana states zinavyoendeshwa.
Hamna kitu kama state machinery mzee...Ni propaganda za wana Mboga mboga tuTusi-underestimate state machineries....we are are perfectly on the right track
Uzuri ni kuwa wenyewe kwa wenyewe washaanza kutajana.kwahiyo Magufuli ndio alikuwa anawatupa! wanaotupwa sasa hivi itakuwa ni mzimu wake? nimeamini mpumbavu huwezi kumjua mpaka atoe neno