Kama ziliokotwa na kuzikwa unaruhusiwa kwenda kufukua na kufanya uchunguzi wa vinasabaBaseless vp na kweli maiti zilikuwa zikiokotwa na kuzikwa bila uchunguzi wowote kufanywa au kwa sababu wewe hayakukufika hujali, kila ikifika tarehe hii tutamkubuka jamaa kwa ukatili wake dhidi ya binaadamu.
Unaweza kulinganisha uhai wa bodaboda mmoja anayevuka barabara bila kuangalia usalama na uhai wa abiria walio kwenye basi ?Kuna jema litazidi kutoa uhai wa mtu. Uhai wa raia mmoja haulinganishwi na chochote.
Kwangu mimi kuondoka kwa Magufuri ilikuwa muujiza.
Hao walitengenezwa na CCM hata kabla Magufuli hajawa raisAkina Bashite ,Sabaya aliowatengeneza walikuwa watu wazuri?
Achilia hao waliokuwa wanafanyamishe zake za kuua kwa siri ?
Kwahiyo alifanya kwa upendeleo siyo imekuwaje wamebakiCheti fake mbona hata Kikwete aliwahi kufanya ukaguzi Tena kwa vyuo vya waalimu.
Sema haikutangazwa, nakumbuka walipita vyuo vyote vya ualimu 2009 /2010 kukagua vyeti vya form four na six.
Wengi walidakwa wakafukuzwa.
Stupid and rubbish kabisaTukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Je, ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
... itoshe kumshukuru Mungu wa Mbinguni kwa matendo yake makuu!
Taifa lilishaelekezwa kibla kama sio Mungu kuingilia tulikuwa tunaelekea pabaya.
Hutaki wewe na nani,???Tanzania hatutaki tena aje atokee kiongozi MFITINI, mbaguzi, mwizi na MWONGO kama Magufuli.
Mungu aliipenda sana Nchi yetu ndiyo maana akampeleka jehanam Magufuli siku chache tu baada ya kuiba kura za uchaguzi wa mwaka 2020.
Kamwe hatatokea HAYAWANI na FEDHULI mwingine kama Magufuli
Ila mauaji Kama ya polisi kibiti yenyewe sawa?Hatutaki tena kuona watu wanatupwa baharini wakiwa wamefungwa kwenye mifuko ya sandarusi na kushindiliwa na mawe ili wasitokee juu ya maji/waasiibuke.
Nyie watu mnachekesha sana. Yaani mnataka turudi kwenye utawala giza?Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Je, ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tutajie ndugu yako au mtu yeyote unaemfahamu aliyeuwawa. Acha kulishwa maneno na wasaga kunguni.Baseless vp na kweli maiti zilikuwa zikiokotwa na kuzikwa bila uchunguzi wowote kufanywa au kwa sababu wewe hayakukufika hujali, kila ikifika tarehe hii tutamkubuka jamaa kwa ukatili wake dhidi ya binaadamu.
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Je, ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Asije akatokea mwenye kaliba ya jpm kuwa rais Tena. Tulikosea kumpa mwenye cheti milembe. Alikuwa anaendesha nchi Kama familia yake pasi kufata sheria ni Kama vile alikuwa juu ya Sheria ndo Mana alikuwa anaua na kuvamia account na kufilisi watu anaohisi ni wapinzani wake kisiasa. E mungu Asante kwa kutuondolea sheitwani yuleTukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Je, ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tutajie ndugu yako au mtu yeyote unaemfahamu aliyeuwawa. Acha kulishwa maneno na wasaga kunguni.