Duh wanawake tuna kazi....ukiwa na cheo... hujasoma? umegawa sambusa?
Mbona mimi nina cheo kikubwa sana, nimesoma sana na sijawahi kugawa sambusa????
Acheni kuwa na mawazo finyu!
Kama amepewa hiyo kazi ni vizuri "we need fresh air huko TUT"...wamelala mno!
Mbona mimi nina cheo kikubwa sana, nimesoma sana na sijawahi kugawa sambusa????
Acheni kuwa na mawazo finyu!
Kama amepewa hiyo kazi ni vizuri "we need fresh air huko TUT"...wamelala mno!