Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Duh! Sasa naanza kumwonea huruma Kitila...
Baada ya kujadiliwa....?jee kitila mkumbo ni nani hadi asijadiliwe?
Mkuu mada hiyo haijafutwa..ipo hewani,cheki vizuri!
Duh! Sasa naanza kumwonea huruma Kitila...
Agenda iliandaliwa mazee... Naona muzee wa kanyigo kavalia njuga kwel'kweli!
Kuna mada ilianzishwa juu ya sakata la kitila mkumbo na mfanyakazi wake wa ndani hapa jf lakini imefutwa,
jee kitila mkumbo ni nani hadi asijadiliwe?
Jf tunadai ni watetezi wa wanyonge lakini tunashindwa kumsaidia dada wa toka singida aliyedhulumiwa na kunyanyaswa.
Sijaleta mimi hizo habari. Kichwa cha mada kinasema Kitila na mfanyakazi wake wa ndani. Sasa kama hamtaki watu tuzungumzie yeye kummega housegirl wake ifungeni hii mada. Msinilaumu mimi kwa kujadili mada zilizoanzishwa na wengine
Halafu unanilaumu mimi nikijadili yeye kummega housegirl wake....
samahani niliitafuta sikuiona,Kitila sio mzee wa Kanyigo anatoka Singida.Agenda iliandaliwa mazee... Naona muzee wa kanyigo kavalia njuga kwel'kweli!
Kuna mada ilianzishwa juu ya sakata la kitila mkumbo na mfanyakazi wake wa ndani hapa jf lakini imefutwa,
jee kitila mkumbo ni nani hadi asijadiliwe?
Jf tunadai ni watetezi wa wanyonge lakini tunashindwa kumsaidia dada wa toka singida aliyedhulumiwa na kunyanyaswa.
samahani niliitafuta sikuiona,Kitila sio mzee wa Kanyigo anatoka Singida.
Kitila kummega housegirl wake itakuwaje low move? Kumega ni jambo la kujivunia bana labda uniambie alimbaka. Mimi hongera zangu bado ziko palepale. If anything Kitila amedhihirisha yeye ni rijali. Go Kitila.
kwi kwi kwi Komredi mimi nataka kujua Mnyilamba huyo yupo Dar au Singida nikamfuate, Kitila hajamega komredi.
Ni Wivu na Unafiki Full Stop...Kitila siku zote tuko naye humu na anachangia mara kibao tu,kwa nini hizo allegations zisitolewe before na mpaka kusubiri kapata 'Mpunga' ndo zianze kutolewa..JF twatakiwa tuwe mfano bradha na si kutumia 'style' za Wanasiasa na Mafisadi za kuchafuana kupitia Vyombo vya habari...Ni mtizamo tu mkuu
MODS naona mmelala, pelekeni thread kwenye dust bin.