Yuko wapi Bashungwa ? Akiwa waziri wa mambo ya ndani alijaa kibri na dharau Madaraka ni koti la kuazima

Yuko wapi Bashungwa ? Akiwa waziri wa mambo ya ndani alijaa kibri na dharau Madaraka ni koti la kuazima

baz kaiza

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
13,241
Reaction score
15,304
Bashungwa akiwa waziri wa mambo ya ndani alijaa kiburi cha kupitiliza na dharau sana huyu mtu yuko wapi? Je yaliyotokea October 29 ndo yanaenda kumzika kisiasa?

Bashungwa alikua anaongea utafikiri ana hati miliki na uwaziri wa mambo ya ndani leo hana cheo ni mbunge kama wabunge wengine na amejaa damu za watu
 
Bashungwa akiwa waziri wa mambo ya ndani alijaa kiburi cha kupitiliza na dharau sana huyu mtu yuko wapi? Je yaliyotokea October 29 ndo yanaenda kumzika kisiasa?

Bashungwa alikua anaongea utafikiri ana hati miliki na uwaziri wa mambo ya ndani leo hana cheo ni mbunge kama wabunge wengine na amejaa damu za watu

Umesema leo hana cheo chochote ni mbuge manaake yupo bungeni.
Kila zama na nyakati zake
 
Bashungwa akiwa waziri wa mambo ya ndani alijaa kiburi cha kupitiliza na dharau sana huyu mtu yuko wapi? Je yaliyotokea October 29 ndo yanaenda kumzika kisiasa?

Bashungwa alikua anaongea utafikiri ana hati miliki na uwaziri wa mambo ya ndani leo hana cheo ni mbunge kama wabunge wengine na amejaa damu za watu
Huyu alikuwa mhaya au msukuma? Manake ndivyo walivyo hawa washamba.
 
Bashungwa akiwa waziri wa mambo ya ndani alijaa kiburi cha kupitiliza na dharau sana huyu mtu yuko wapi? Je yaliyotokea October 29 ndo yanaenda kumzika kisiasa?

Bashungwa alikua anaongea utafikiri ana hati miliki na uwaziri wa mambo ya ndani leo hana cheo ni mbunge kama wabunge wengine na amejaa damu za watu
Juzi tulikuwa naye Royal Village Dodoma, akawa anakunywa akisema WEKA WITHOUT WATER
 
Bashungwa akiwa waziri wa mambo ya ndani alijaa kiburi cha kupitiliza na dharau sana huyu mtu yuko wapi? Je yaliyotokea October 29 ndo yanaenda kumzika kisiasa?

Bashungwa alikua anaongea utafikiri ana hati miliki na uwaziri wa mambo ya ndani leo hana cheo ni mbunge kama wabunge wengine na amejaa damu za watu
Sio kiburi na dharau, alikuwa anatekeleza wajibu wake
 
Back
Top Bottom