Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Haihusiani na cheo chake alichopata imekuwa double coincedence kwani kufumaniwa na mkewe imetokea kama miezi mitatu iliyopita.suala limepelekwa kwenye vyombo mbali mbali.kama unafuatilia Kitila alikuwa haonekani sana kipindi cha kuanzia miezi mitatu iliyopita kutokana na jambo hili.wazee wa Maumau wamefungua kesi leo ya kudai fidia kwa waingereza wakati waingereza wameondoka Kenya miaka ya 60.
kesi za madai unaweza kudai ndani ya miaka mitatu.
hakuna uhusiano wa cheo cha Kitila na suala lake la UGONI.
Bwana Kyaruzi, with all due respect you shoulkd understand kuwa hapa JF is better that these simple, unfounded allegations!
Tuambie:
- Kafumaniwa na mkewe, lini na wapi (sio utuambie 'kama miezi kitatu iliyopita),
-Hivyo'vyombo mbalimbali' ni vipi, havitajiki? hapa Mtanzania katuambia amecheki na TAWA hawajui suala hili. Hao wengine kama ni polisi au ubalozi tuwekee hard facts ulizodai unazo!
-Suala hapa sio la MAU MAU, usitake kutupentoze lengo.
Tupe evidence la sivyo hii ni character assasination na in teh worst case nadhani tutamove a motion uwe banned kwa kumchafulia jina mwana JF bila sababu. Sheria hapa ziko wazi.