mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,921
- 136,893
Yeah mzee,kwa hyo msiba uko mbezi beach siyoKumbe we Mrangi muhenga mwenzangu,wazazi wake pia walishafariki unajya
Ova
Yeah mzee,kwa hyo msiba uko mbezi beach siyoKumbe we Mrangi muhenga mwenzangu,wazazi wake pia walishafariki unajya
Ndiyo maana akasema, kwa waliokulia ada Estate, waliosoma forodhani primary school, St Anthony, dakawa High school......wanaweza kuwa wanamjua.
Wale wa bariadi, vwawa, rwamishenyi sjui same ugweno tulieni
Sio mbayaAhaaa ungeenda kwao ukaona mjengo ungeduwaa eneo kubwa sana nadhani mzee wake alizingatia hilo,ofcoz jamaa likizo zake alikuwa akienda USA,mzee wake alikuwa kauzu ba alijua dogo anapenda bata sana,niseme tu,pombe zimekatisha uhai wake,dafa yaje kasoma medicine USA na anaishi huko
Wewe kijana wangu nini!Katika kitu naogopa ni kupoteza mwelekeo nakaaga na kujiuliza Sana Sanaa.
Mimi nimewai kukaa mwenyewe Katika umri mdogo Sana Ila sikualibikiwa sababu ndani yangu kulikua na hofu ya mungu na woga wakuja kua mtu wa hovyo hovyo mpaka Leo hii japo nyumbani kwetu sio kinyonge Ila huwa hatuwazii mali za home MZEE ANAPENDA KUTWAMBIA HIVI VITU NI VYA KWANGU PAMBANA UPATE VYAKO.
Mkuu nitapata wapi Nyaya za Kuunganishia Umeme?Huyu kijana alikuwa anaumwa kwani?
Na Wewe umewahi kuishi Masaki? Ipi ile ya Kisarawe au ya Mapinga Kiharaka Makao au hii ya Kishua ambayo kila mwana JF anajifaragua nayo kuwa anaishi / ameishi huko?Rip steven wazazi wake wote marehemu, nilikuwa nawafahamu tukiishi wote Masaki.
RIP kijana Steven
Wa maeneo ya Sala Sala, Tegeta na Madale walimjua zaidi Mshua wake kwa Kutapel Viwanja vya Watu. Naomba niishie hapa tafadhali.Mtu wa Moshi sema mzee wake miaka hiyo anayosema Mzee jina lake lilikua kubwa sana kwa daslm kama wakina Mengi tu..
Tapel wa Ardhi za Watu Sala Sala, Tegeta na Madale.Matajiri wa Mbezi Beach miaka hiyo nami nimekumbuka jina la mzee wake tu..
Alikua anafanya kazi ardhi huyo MzeeTapel wa Ardhi za Watu Sala Sala, Tegeta na Madale.
Sasa wamekaza mafuvu kulazimisha mtoa mada aelezee zaidi ya hapo eti wamjue na mjini wamefika juzi baada ya kumaliza vyuo wako kwa wajomba na mashemeji kujitafuta 😄😄😄😄 wanalazimisha kumjua mtoto mzaliwa wa jiji🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona watulie 😆😆😆
Hivi ndugu za wafiwa huwa wanawaambia mje mfungue thread au mnajipa majukumu yasiyowahusu?Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia
Kwa waliokulia masaki miaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 2000 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba
Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile
Kote alikisoma iwe Forodhani primary,St Anthon,,Dakawa High School,Tumaini University na wizara ya Ardhi,walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu
Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Bwana mdogo ujielewe kuwa wewe bado mtoto mdogo!Na Wewe umewahi kuishi Masaki? Ipi ile ya Kisarawe au ya Mapinga Kiharaka Makao au hii ya Kishua ambayo kila mwana JF anajifaragua nayo kuwa anaishi / ameishi huko?