Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 3,573
- 4,850
Rip steve master msaki yanki mmoja wa kishua ila alikuwa anaishi maisha yake ya kawaida.
Mzee msaki alikuwaga meneja mkuu Tisco na wameishi masaki karibu na shopperz magorofa ya Tisco
Wameanza kula maisha enzi za mwalimu. Mama msaki alikuwa boutique mtaa wa azam mjini alikiwa anajipenda masaki ile ukitoa mama mercy mengi wakipita ndani.ya.gari.unasikia. perfume mtaa.mzima na yeye mama msaki.
Pia steve. Ni baba wa mtoto Carlo ndosi mabange.
Mzee msaki alikuwaga meneja mkuu Tisco na wameishi masaki karibu na shopperz magorofa ya Tisco
Wameanza kula maisha enzi za mwalimu. Mama msaki alikuwa boutique mtaa wa azam mjini alikiwa anajipenda masaki ile ukitoa mama mercy mengi wakipita ndani.ya.gari.unasikia. perfume mtaa.mzima na yeye mama msaki.
Pia steve. Ni baba wa mtoto Carlo ndosi mabange.