Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,145
- 41,772
Katika kitu naogopa ni kupoteza mwelekeo nakaaga na kujiuliza Sana Sanaa.Sio wote ila nikiri tu kuwa nusu ya marafiki zangu wamepoteza mwelekeo,hata mimi chupuchupu.tulizaliwa na kukua kipindi kigumu uhuni ikiwa ni fasheni,imagine unabalehe Tupac ndio yuko kwenye peak.lazima uvae mlegezo,uvute bangi,utoboe sikio,ukimaliza shule unawaza kuwa baharia kwenye meli au kuzamia nchi za watu,haikuwa rahisi wala msitucheke.
Siku hizi uhuni ni ushamba
Vijana wa siku hizimmezaliwakipindi jiji limejaa ustaarabu.
Mimi nimewai kukaa mwenyewe Katika umri mdogo Sana Ila sikualibikiwa sababu ndani yangu kulikua na hofu ya mungu na woga wakuja kua mtu wa hovyo hovyo mpaka Leo hii japo nyumbani kwetu sio kinyonge Ila huwa hatuwazii mali za home MZEE ANAPENDA KUTWAMBIA HIVI VITU NI VYA KWANGU PAMBANA UPATE VYAKO.