TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

Kuna siku nimekaa na wadada wa Dar wawili wanapiga umbeya wao kuhusu mdada mwingine inaoenekana ni maarufu Dar wao kama vile wanamfahamu personally kiundani, sasa wanataka na mimi nichombeze story yao kama vile namjua nikabaki nimekodoa macho na kuduwaa tu.
Usichanganye mada,huyu ni JF menber
 
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia

Kwa waliokulua Ada Estate muaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 200 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba

Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile

Kote alikisoma iwe Forodhani primary,St Anthon,,Dakawa High School,Tumaini University na wizara ya Ardhi,walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu

Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Rip steven wazazi wake wote marehemu, nilikuwa nawafahamu tukiishi wote Masaki.
RIP kijana Steven
 
Mwana JF Steven Msaki ambaye ID yake siikumbuki ika najua ni member humu amefariki dunia

Kwa waliokulua Ada Estate muaka ya 2000 kushuka chini,au Mbezi Beach miaka ya 200 kuendlea wanamfahamu huyu mwamba

Alikulia familia ya kishua mboga saba tangu miaka ya 90s,mzee wake alikywa Don sana lakini mwamba alicgagua kuishi low profile

Kote alikisoma iwe Forodhani primary,St Anthon,,Dakawa High School,Tumaini University na wizara ya Ardhi,walimchukulia powa kutokana na life style yake ya kujichanganya na kika aina ya watu

Wana Mbezi Beach hawatakusahau Bishoo Steve Msaki
Yani bado una ugomvi na marehemu!!!
 
Back
Top Bottom