snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
we tanganza nia ya kuolewa...utajulikana tu!!!
mtani miss yu mingi ujue!
we acha tu!
we tanganza nia ya kuolewa...utajulikana tu!!!
Mr Rocky anataka shule jinsi ya kuongeza digits kwenye cheque bla kujulikana na ya kusain mikataba mibovu bila kushtukiwa sasa nimemuahidi nitampatia hiyo shule. wewe huitaki?samahani mkuu!hapa eti umesemaje?
nauliza tu mkuu!nauliza tu!
Hii thread imenisemea vibaya sana! Imenidhalilisha sana, imenifadhaisha sana na nimeonewa sana katika hili!
Kipindi hichi ambacho tunatarajia mtoto, mapepo ya kuvuruga ndoa yamekuwa mengi na sasa yamemuingia msuluhishi. Hakika maombi tu ndio yatatusaidia.
Nachukua fursa hii kumwambia mke wangu mpenzi marejesho kuwa nakupenda sana na hivi sasa tunapotarajia mtoto! I love you more than before!
Baba V naomba ureview post yako na kuedit mambo dhalili uliyoniandikia, mke wangu asije akajifungua "pre-mature!"
Mtalingolo dah Mungu akutangulie aise
Umepotea sana mkuu uzima upo aise
Duuuh!! Naona ni ndoa tupu, ngoja nisubiri mgeni mwenzangu nasi tuhalalishe ndoa takatifu chit-chat.
maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaah! ATI? Kaizer kuja huku !na we umezidi kuwa busy ona sasa unaachwa huku!mwl mwenzangu mie natangaza rasmi kutalikiana na Kaizer na sasa natafuta mume mpya............. manake mume huyu amesahau wajibu wake kwangu na watt. sasa nimechoka nataka kutafuta liwazo pengine.
mwl mwenzangu mie natangaza rasmi kutalikiana na Kaizer na sasa natafuta mume mpya............. manake mume huyu amesahau wajibu wake kwangu na watt. sasa nimechoka nataka kutafuta liwazo pengine.
ameivunja kimya kimya zimekuwa nyingi hajielewi................yupo busy love connect anaweza kutana na Madame B
Sijamuona C6 hadi sasa.. nasubiri ripoti ya Nicas Mtei toka Mwanza
nasubir muongozo wako mkuu!
mtoto mbaya wewe!na mwaka huu watakukoma!
Walimu wenzangu ndo ubunifu katika fani ama!??, na mimi ntaanza kutoa somo jinsi ya kula rushwa bila kugutukiwa, najua ntapata wanafunzi wengi kutoka idara mbalimbali za serikali
hahahahhahh! kwani umesahu mjini hapa??Kaizer rrrrrr...!!!!, this way please, njoo utoe msimamo wako katika hili, afu ninaanzisha utaratibu wa kuwachanja alama kila wanaoachana, maana ntachanganyikiwa sasa, na hii itawarahisishia hata wanaotaka kuanzisha mahusiano wajue kuwa mtu ni used au la, na kama ni used to what extent..!??
wakezo wana hii taarifa lakini?snowhite nakuhitaji ujue na nakuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuupenda sana ujue na nakumiss sana ujue na nakukiss ujue
Blaki Womani ukiona hivyo ujue Vin Diesel ndoa yake na Mamndenyi haikupitia kwenye ukaguzi na kukubaliwa ndo maana anaacha kimya kimya. Nakumiss sana dear Blaki Womani
gfsonwin hiyo shule naomba ianze haraka sana aise tutamwalika na snowhite
report gan mkuu?
nasubir muongozo wako mkuu!
mtoto mbaya wewe!na mwaka huu watakukoma!
Walimu wenzangu ndo ubunifu katika fani ama!??, na mimi ntaanza kutoa somo jinsi ya kula rushwa bila kugutukiwa, najua ntapata wanafunzi wengi kutoka idara mbalimbali za serikali
OH TATE NANE!hahahahhahh! kwani umesahu mjini hapa??
hii ni uda bana ukifika unashuka mwenzio anapanda maisha yanasonga mbele.
Baba V panga eneo la tukio tupige kazi!kwani mwenzangu hujaona waraka?? kwamba serikali haina hela ya kupandisha waalim madaraja?? sasa tufanyeje??
we acha tu yani wameboaaje watu!sasa ndo tukae tu na hizi nanihino mpka tutumike vyeo vyote miaka 6 walahi wanazid kutuudhi lo!
tuanzishe mwl nakwambia tutapata tena sisi tutakula za halali kila topic.