KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,905
- 9,335
Mungu mkubwa mimi na mpenzi wangu nivea naona mwaka tumeuanza vizuri baada ya kumtaliki Preta ila nakushukuru Baba V kwakutaja wasifu wa Vin Diesel ila sasa sijui kwanini vyombo vya dola havifanyi kazi yake au kavishika nakuviweka kwenye mfuko wake?
Last edited by a moderator: