STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

maaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaah! ATI? Kaizer kuja huku !na we umezidi kuwa busy ona sasa unaachwa huku!
sijui utaliaje maskin!
mweh!

mwanaume kila siku busy hadi libido imeshuka busy, bize bize my foot! sasa leo natangaza rasmi kudai talaka yangu.
 
Baba V panga eneo la tukio tupige kazi!

mwali acha kabisa mie nasubiria za capitation nijimilikishe sasa nitafutie ndugu yako mwenye lab store ili ni procure kwake kemikali kisha nilambe 10% kwanza. safari hii hadi wanikome nani alikwambaia bucha hulindwa na fisi??
 
mwanaume kila siku busy hadi libido imeshuka busy, bize bize my foot! sasa leo natangaza rasmi kudai talaka yangu.

Dadadadeki wallah!!, mwaka huu naona hadi mvi zitaanza kunibadilika na kurudi weusi, kwa namna hii eeh!!
 
Wakiona bango hawachelewi kuleta zengwe, mabango wanayopenda kuyaona ni yanayotangaza nguvu za kiume tu

hili litavuta wengi manake tunalipamba kwa maneno matamu yenye mvuto atiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Dadadadeki wallah!!, mwaka huu naona hadi mvi zitaanza kunibadilika na kurudi weusi, kwa namna hii eeh!!

sasa wewe endekeza ubize libodo ishuke useme bize, ungeoa kazi basi eboh!
 
snowhite nakuhitaji ujue na nakuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuupenda sana ujue na nakumiss sana ujue na nakukiss ujue
Blaki Womani ukiona hivyo ujue Vin Diesel ndoa yake na Mamndenyi haikupitia kwenye ukaguzi na kukubaliwa ndo maana anaacha kimya kimya. Nakumiss sana dear Blaki Womani
gfsonwin hiyo shule naomba ianze haraka sana aise tutamwalika na snowhite

Wajua siku hizi Asprin ukaguzi wake unachukua muda mpaka watia shaka... Blaki Womani soon utamsikia nilieamua kumkabidhi moyo wangu rasmi...
Hivi wewe Mr Rocky dada yangu Dena Amsi unakosa nini kwake mpaka uanze kutanga tanga mpaka uanze kumzengea snowhite...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
mwali acha kabisa mie nasubiria za capitation nijimilikishe sasa nitafutie ndugu yako mwenye lab store ili ni procure kwake kemikali kisha nilambe 10% kwanza. safari hii hadi wanikome nani alikwambaia bucha hulindwa na fisi??

teh teh tei
 
mwali acha kabisa mie nasubiria za capitation nijimilikishe sasa nitafutie ndugu yako mwenye lab store ili ni procure kwake kemikali kisha nilambe 10% kwanza. safari hii hadi wanikome nani alikwambaia bucha hulindwa na fisi??

ahahahahhahahhahahah haki ya nani!hiv walikosa mkuu wa shule?kumpa wifi yangu mie uuwih!na lazima tumalize hasira za waraka wao wa kihafidhina na kikatili kwa kuwaibia mpka wakome!
 
imekuaje dada?
wewe, mambo ya dada yako hutakiwi kuyaskiliza sawa??
haya ondoka upesi rudi ndani naongea na wageni eboh!!!

wadogo wa siku hizi wamezibuka kuliko kawaida. mtawafanya dada zenu wasiolewe atii.
 
miss yu tu mtani wangu...nami naingia hapa kwa kuvizia kama wewe...mkoloni kashaanza kukaba! vipi lakini waendeleaje???

nipo poa my dear!
piga kazi mtani wangu!si wajua kina anti wanakuja?so komaa mtani!
 
ahahahahhahahhahahah haki ya nani!hiv walikosa mkuu wa shule?kumpa wifi yangu mie uuwih!na lazima tumalize hasira za waraka wao wa kihafidhina na kikatili kwa kuwaibia mpka wakome!

hebu ntake radhi bana wafikiri sifai kuwa mkuu wa shule??

FYI mungu nae huwa anajua mateso ya watu wake na huwapa liwazo kwa njia za ajabu sana.
 
Wajua siku hizi Asprin ukaguzi wake unachukua muda mpaka watia shaka... Blaki Womani soon utamsikia nilieamua kumkabidhi moyo wangu rasmi...
Hivi wewe Mr Rocky dada yangu Dena Amsi unakosa nini kwake mpaka uanze kutanga tanga mpaka uanze kumzengea snowhite...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
uliza weye Van Diesel mimi nipo nashanga hapa!lol!
na hili alilianza siku nying sana basi tu leo kaamua kusema au ndo yale yale ya mwaka wa serpent sosi Gaijin
 
Last edited by a moderator:
hebu ntake radhi bana wafikiri sifai kuwa mkuu wa shule??

FYI mungu nae huwa anajua mateso ya watu wake na huwapa liwazo kwa njia za ajabu sana.

mwali we wajua mi navokuaminia pande hizo za ufanyakazi bora!
ILA TU KWENYE ILE MBESA SASA!UUUWIH zitakukoma!
 
Back
Top Bottom