STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

twisheni ya nini tena?? manake kusoma na kuandika kuko kwa aina nyingi sana siku hizi.

gfsonwin kufoji cheque na kuongeza sifuri kwenye maandishi bila kujulikana na namna ya kuandika mikataba ya kilaghai
 
Last edited by a moderator:
Hii thread imenisemea vibaya sana! Imenidhalilisha sana, imenifadhaisha sana na nimeonewa sana katika hili!
Kipindi hichi ambacho tunatarajia mtoto, mapepo ya kuvuruga ndoa yamekuwa mengi na sasa yamemuingia msuluhishi. Hakika maombi tu ndio yatatusaidia.
Nachukua fursa hii kumwambia mke wangu mpenzi marejesho kuwa nakupenda sana na hivi sasa tunapotarajia mtoto! I love you more than before!
Baba V naomba ureview post yako na kuedit mambo dhalili uliyoniandikia, mke wangu asije akajifungua "pre-mature!"
 
Last edited by a moderator:
salamu zako nilipata na kwamba ulirudia njian ubungo eti umeitwa kwenye dili nikajiuliza dili gani siku ya j2 mchana?? je isingeweza kuvumilia had j3??

kiukweli hata wewe unamtenda hivyo dada mkubwa??

lkn nimekusamehe usirudie kosa hili sawa?? nasubiria vocha kwenye cm kama faini.

We acha tu best deal ndio zatupa kibri mjina hapa....vocha utapata la shaka!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Day's r numbered wandugu, wiki mbili to come ntakuwa ndani ya UE, then after ntarudi kuungana na Jf again. Maombi yenu tu.
 
Kipipi dah nimekumiss mara nyingi tuu aise ni wewe hata salam hunipi aise
charminglady haya bana we nakuona unataka vita
gfsonwin nataka uje unianzishie twisheni ya chekechea nijue kusoma na kuandika
Vin Diesel kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa ndoa yako na Mamndenyi bado iko hai au nimesahau

Kila siku nasema acheni kunihusisha na watalaka wangu....hujui nina ndoa mpya?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Duuuh!! Naona ni ndoa tupu, ngoja nisubiri mgeni mwenzangu nasi tuhalalishe ndoa takatifu chit-chat.
 
Back
Top Bottom