STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

Mwenyekiti wa penda penda ni Erickb52 na Mr Rocky ndio katibu wake....hawa ni viongozi mpaka 2099 utakapofanyika uchaguzi mwingine.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Sasa mbona matendo yamekupa wewe nafasi na kuwazidi kwa mbaali
 
Last edited by a moderator:
My fellow teacher ndo nawaandaa vijana kwa ajili ya kipimo hapo february, pole kwa msiba my dear. Mengi yanajiri humu ndani, we acha tu. umeskia Madame B katangaza anatafuta mchumba!?? afu kajipambanua eti yeye ni mpole tena bikra, si kuwaibia watu huku!??

Baba V! Baba V! Baba V!
We endelea tu.
Kwani mimi sio bikra.
Kwani Bikira ni lazima iwe ya kizinda tu.
Acha zengwe wewe,basi nioe wewe nifaidi Mafao ya Pensheni yako ya Uzeeni.
 
Last edited by a moderator:
Talaka haitumwi kwa sms dogo, vigezo na masharti kuzingatiwa,, Mamndenyi sogea pande hii..!

Nimepitia hansard yangu ya ndoa na sijaona jina la Mamndenyi....
Kwa sasa nipo kwenye mazungumzo mazito na lara 1 ili tufanye fungate rasmi na majungu yote yaishe.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Sasa mbona matendo yamekupa wewe nafasi na kuwazidi kwa mbaali
Baba V hebu acha kumchafua mwana wa Mungu...
Hapa nipo kwenye mchakato wa kuanzisha kanisa....otea nani atakuwa mama mchungaji...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Baba V! Baba V! Baba V!
We endelea tu.
Kwani mimi sio bikra.
Kwani Bikira ni lazima iwe ya kizinda tu.
Acha zengwe wewe,basi nioe wewe nifaidi Mafao ya Pensheni yako ya Uzeeni.

Kumbe bikra zipo za aina nyingi eeh! nilikuwa sijui ati!? kuhusu mimi kukuoa ni wazo zuri ila naogopa presha uzeeni huku
 
Last edited by a moderator:
Baba V hebu acha kumchafua mwana wa Mungu...
Hapa nipo kwenye mchakato wa kuanzisha kanisa....otea nani atakuwa mama mchungaji...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Hongera kwa ujasiriamali aisee, naskia hata Dotnata ameanzisha la kwake, ukishaanzisha tu mualike Lowassani, hutakosa mil.10, kuhusu nani atakuwa mama mchungaji nachanganyikiwa, nahisg kila jumapili atakuwa anakuwepo mama mchungaji mwingine
 
Last edited by a moderator:
Nimepitia hansard yangu ya ndoa na sijaona jina la Mamndenyi....
Kwa sasa nipo kwenye mazungumzo mazito na lara 1 ili tufanye fungate rasmi na majungu yote yaishe.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Hapo ndo penyewe..
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Umem deport kwenye mashamba ya miti ili ujirushe vizuri na vimwana eeh!, afu kwenye ripoti ya kuvunjika kwa ndoa ya C6 na charminglady jina lako limeonekana mara nyingi sana, nasubiri Nicas Mtei aniletee ripoti ya Mwanza alikoenda kufuatilia suala hili. I will come back to you

Unasubiri meli airport????????
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom