My fellow teacher ndo nawaandaa vijana kwa ajili ya kipimo hapo february, pole kwa msiba my dear. Mengi yanajiri humu ndani, we acha tu. umeskia Madame B katangaza anatafuta mchumba!?? afu kajipambanua eti yeye ni mpole tena bikra, si kuwaibia watu huku!??
Talaka haitumwi kwa sms dogo, vigezo na masharti kuzingatiwa,, Mamndenyi sogea pande hii..!
mwl hivi wewe unafundisha form six enh??
manake wenzo wote tumeadimika bado upo tu si bure wewe sasa ndo unafunga scheme ndo mana.
BTW nimewamiss sana Mentor(dogo nitakucharaza bakora), Mr Rocky, @c6, Kaizer (swtlo wangu), Asprin cacico , snowhite, { Madame B, Paloma, amu (nimerudi wapendwa)} na zaid sana Bishanga, @mpitwaga na Mtambuzi.
Baba V hebu acha kumchafua mwana wa Mungu...Sasa mbona matendo yamekupa wewe nafasi na kuwazidi kwa mbaali
Baba V hebu acha kumchafua mwana wa Mungu...
Hapa nipo kwenye mchakato wa kuanzisha kanisa....otea nani atakuwa mama mchungaji...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kumbe bikra zipo za aina nyingi eeh! nilikuwa sijui ati!? kuhusu mimi kukuoa ni wazo zuri ila naogopa presha uzeeni huku
Mwenyekiti Baba V nipo bana. Chama chetu cha penda penda bado kipo ila masalia walitufanya tukimbie humu
Nimewamiss sana Blaki Womani, cacico, gfsonwin, Preta, charminglady, dada yangu mpendwa AshaDii Kipipi, Kongosho King'asti, Kaunga Kipipi, Dena Amsi,
Copy Vin Diesel, Erickb52, Filipo, Arushaone watu8
gfsonwin mekumiss sana aise. Usinichape bakora tuu aise
Vin Diesel we umezidi penda penda aise unafaa kuwa na cheo cha mlezi wa chama.
Mkuu mwenyekiti Baba V... ujue nasubiri kwa hamu sana tamko lako???????
Umem deport kwenye mashamba ya miti ili ujirushe vizuri na vimwana eeh!, afu kwenye ripoti ya kuvunjika kwa ndoa ya C6 na charminglady jina lako limeonekana mara nyingi sana, nasubiri Nicas Mtei aniletee ripoti ya Mwanza alikoenda kufuatilia suala hili. I will come back to you