STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

STATUS za wana chit-chat mapema mwaka huu 2013

sasa mwl naona umesahau kipimo cha mwl kwamba huwez kusema mwnafunzi ni mjinga kama hujampa mtihan na kufeli sasa usiseme Madame B sio bikra ilihali hujawah kuingia uwani kwake.

Point!
 
Last edited by a moderator:
Hongera kwa ujasiriamali aisee, naskia hata Dotnata ameanzisha la kwake, ukishaanzisha tu mualike Lowassani, hutakosa mil.10, kuhusu nani atakuwa mama mchungaji nachanganyikiwa, nahisg kila jumapili atakuwa anakuwepo mama mchungaji mwingine

Mkuu Baba V....suala la kufungua kanisa ni wito zaidi ya kuwa mwalimu....
Mama mchungaji kuna kamati nimeipa kazi na mpaka sasa lara 1 ana maksi nyingi...mchakato ukikamilika matokeo yatatolewa hapa.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Baba V....suala la kufungua kanisa ni wito zaidi ya kuwa mwalimu....
Mama mchungaji kuna kamati nimeipa kazi na mpaka sasa lara 1 ana maksi nyingi...mchakato ukikamilika matokeo yatatolewa hapa.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Aisee itakuwa balaa huko chechi, sipati picha mama mchungaji awe @lara1, watajiachiaje watu huko chechi, ila sasa kanisa litakimbiwa na wababa, maana hizo semina za lara 1 kwa akina mama itakuwa balaa
 
Last edited by a moderator:
basi uwe makini sana kama unajichanganya na Vin Diesel nitakuadabisha.
kwanza mwambie VD kanikosea sana kwann alirudia njian kuja kwenye msiba kwangu??

My dear gfsonwin....ninahisi kuna mtu hatutakii mema mpaka aanze kukuambia haya...kuna mtu humu siku ya msiba alijua ratiba zangu zote na nikamwomba akifika anipe simu niongee na wewe...naona bado hajafika tuvumilie kidogo.
Ila naomba nitake responsibility ya hili na nakuomba unisamehe...I will make it up to you....

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa ni aje...!! ujio huwa ni wa mawazo na kuwazua, kupimia upepo na kuchukua hatua stahiki, usiende kichwakichwa yakakufika ya kukufika ati,,, katika kupitiapitia jukwaani hapa nimebaini mambo mbalimbali kwa wanajamvi espeshale baada ya kuanza mwaka huu... , zifuatazo ni dondoo za mwelekeo wa wanajamvi kwa mwaka huu....

i. Mwaka huu kimsingi umeanza kwa kugubikwa na wingu baya la kusambaratika na kutetereka kwa mahusiano na ndoa za watu, tulivyoingia tu tukashuhudia nitonye akimmimina sweetlady kama maji machafu kisa eti bibie hatulii na amekuza kiwango ati anaweza akawamudu wachezaji idadi yoyote kwa wakati wowote, katika hili majina kama Mr Rocky na Vin Diesel yalisikika mara kwa mara.

ii. Tulishuhudia pia Arushaone aki bip kwa Mamzalendo kama kawaida yake katoka nduki kama alivyofanya kwa Mamndenyi . Kampotezea Mamzalendo kimyakimya ilhali nia alitangaza hadharani hapa, wakati huohuo tumeshuhudia kijana wa Jf Arusha wing Filipo akipagawa ghafla kama katiwa ndimu baada ya safari ya Tanga, kinywani muda wote ni Arabela jambo lililomfanya zubedayo_michuzi anyong'onyee na kwa upande wa pili niseme tu ndoa ya Filipo kwa marejesho imeshikiliwa na uvumilivu na busara za marejesho , otherwise....!!!

Mwaka huu umeshuhudia kuibuka kwa vijana machachari kama Vin Diesel ambaye asione jinsia ya Eva mbele yake anatangaza ndoa bila kujali ni mke wa mtu, mchumba au under 18,,
Pia ttumeshuhudia kijana Slave akijifunga pingu na Evelyn Salt licha ya zengwe lililoanzishwa na Globu.

Hali kadhalika jukwaa limeshuhudia kuadimika Cc kwa watu kama Erickb52, Dena Amsi, Mtambuzi, Ronn M na mkewe jeneneke hivyo kuwa miss sana,

Mwenyekiti wa tume ameurahishwa na ndoa moja ya mfano na familia iliyotulia ya watu8 na measkron pamoja na watoto wao, hii ndoa imekuwa ya mfano.

Hali kadhalika tumeshuhudia ndoa kati ya C6 na charminglady , Chimbuvu na Madame B na Bishanga na The secretary zikiwa katika dhoruba kali kiasi kwamba zinategemewa busara za mwenyekiti kuokoa jahazi.

Kubwa kuliko zote ilikuwa ni kuibuka kwa kundi la VIRUSI au masalia waliokuwa wanatumwa kuja kuchafua hali ya hewa hapa ndani na kuwasababishia members ban za mara kwa mara, hiyo ikapelekea kuumbuliwa kwa kaka Marry Hunbig a.k.a mzungu mndali ambaye alitumia jinsia ya bandia akataka kumuingiza mkenge stevoh kabla hatujamstukia na kumuumbua, Kimsingi jukwaa linazidi kupendeza na kuwa na members wengi zaidi

Huku ndo chit chat hatuulizani dini, kabila, itikadi ya kisiasa wala elimu ya mtu.

Napenda kukaribisha maombi ya wote wanaotaka kurasmisha mahusiano yao walete mpango mkakati wao kwangu ili niweze kuufanyia upembuzi yakinifu kabla sijaruhusu kikosi kazi kuanza mchakato wa utekelezaji.

We miss you Ruhazwe JR, The Boss, Judgement, Ciello, cacico, BAK (mutu ya burudani), pombekali , Mentor et al

CHIT CHAT MUCH FUN MUCH LOVE

Copy: Asprin , kasi ya ukaguzi imepungua sana ndo maana tunasumbuliwa na watu kama Marry Hunbig Mndali

Baba V, Jamani mbona mimi hamnitaji??? Nasononekaje?????
 
Hapo umenena, hivi vi hakielimu anakimbia mizinga ya ''xaxa dia naomba uni crdt ximu my 4n iz mpty''

hahahah! umenikumbusha, ILU, xaxa leo dina wp?? na je vp kuhusu mkoko?? c ulisema pale shoo rum wameshusha bei??

jamaa akiangalia zilipendwa mkoko anamiliki, hana shida ya menu za mawazo nk. chezea wajuzi wa mambo weye??
 
My dear gfsonwin....ninahisi kuna mtu hatutakii mema mpaka aanze kukuambia haya...kuna mtu humu siku ya msiba alijua ratiba zangu zote na nikamwomba akifika anipe simu niongee na wewe...naona bado hajafika tuvumilie kidogo.
Ila naomba nitake responsibility ya hili na nakuomba unisamehe...I will make it up to you....

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
salamu zako nilipata na kwamba ulirudia njian ubungo eti umeitwa kwenye dili nikajiuliza dili gani siku ya j2 mchana?? je isingeweza kuvumilia had j3??

kiukweli hata wewe unamtenda hivyo dada mkubwa??

lkn nimekusamehe usirudie kosa hili sawa?? nasubiria vocha kwenye cm kama faini.
 
Wapendwa ni aje...!! ujio huwa ni wa mawazo na kuwazua, kupimia upepo na kuchukua hatua stahiki, usiende kichwakichwa yakakufika ya kukufika ati,,, katika kupitiapitia jukwaani hapa nimebaini mambo mbalimbali kwa wanajamvi espeshale baada ya kuanza mwaka huu... , zifuatazo ni dondoo za mwelekeo wa wanajamvi kwa mwaka huu....

i. Mwaka huu kimsingi umeanza kwa kugubikwa na wingu baya la kusambaratika na kutetereka kwa mahusiano na ndoa za watu, tulivyoingia tu tukashuhudia nitonye akimmimina sweetlady kama maji machafu kisa eti bibie hatulii na amekuza kiwango ati anaweza akawamudu wachezaji idadi yoyote kwa wakati wowote, katika hili majina kama Mr Rocky na Vin Diesel yalisikika mara kwa mara.

ii. Tulishuhudia pia Arushaone aki bip kwa Mamzalendo kama kawaida yake katoka nduki kama alivyofanya kwa Mamndenyi . Kampotezea Mamzalendo kimyakimya ilhali nia alitangaza hadharani hapa, wakati huohuo tumeshuhudia kijana wa Jf Arusha wing Filipo akipagawa ghafla kama katiwa ndimu baada ya safari ya Tanga, kinywani muda wote ni Arabela jambo lililomfanya zubedayo_michuzi anyong'onyee na kwa upande wa pili niseme tu ndoa ya Filipo kwa marejesho imeshikiliwa na uvumilivu na busara za marejesho , otherwise....!!!

Mwaka huu umeshuhudia kuibuka kwa vijana machachari kama Vin Diesel ambaye asione jinsia ya Eva mbele yake anatangaza ndoa bila kujali ni mke wa mtu, mchumba au under 18,,
Pia ttumeshuhudia kijana Slave akijifunga pingu na Evelyn Salt licha ya zengwe lililoanzishwa na Globu.

Hali kadhalika jukwaa limeshuhudia kuadimika Cc kwa watu kama Erickb52, Dena Amsi, Mtambuzi, Ronn M na mkewe jeneneke hivyo kuwa miss sana,

Mwenyekiti wa tume ameurahishwa na ndoa moja ya mfano na familia iliyotulia ya watu8 na measkron pamoja na watoto wao, hii ndoa imekuwa ya mfano.

Hali kadhalika tumeshuhudia ndoa kati ya C6 na charminglady , Chimbuvu na Madame B na Bishanga na The secretary zikiwa katika dhoruba kali kiasi kwamba zinategemewa busara za mwenyekiti kuokoa jahazi.

Kubwa kuliko zote ilikuwa ni kuibuka kwa kundi la VIRUSI au masalia waliokuwa wanatumwa kuja kuchafua hali ya hewa hapa ndani na kuwasababishia members ban za mara kwa mara, hiyo ikapelekea kuumbuliwa kwa kaka Marry Hunbig a.k.a mzungu mndali ambaye alitumia jinsia ya bandia akataka kumuingiza mkenge stevoh kabla hatujamstukia na kumuumbua, Kimsingi jukwaa linazidi kupendeza na kuwa na members wengi zaidi

Huku ndo chit chat hatuulizani dini, kabila, itikadi ya kisiasa wala elimu ya mtu.

Napenda kukaribisha maombi ya wote wanaotaka kurasmisha mahusiano yao walete mpango mkakati wao kwangu ili niweze kuufanyia upembuzi yakinifu kabla sijaruhusu kikosi kazi kuanza mchakato wa utekelezaji.

We miss you Ruhazwe JR, The Boss, Judgement, Ciello, cacico, BAK (mutu ya burudani), pombekali , Mentor et al

CHIT CHAT MUCH FUN MUCH LOVE

Copy: Asprin , kasi ya ukaguzi imepungua sana ndo maana tunasumbuliwa na watu kama Marry Hunbig Mndali

habari za asubuhi Baba V mme wa Mama v inactive id..
 
Last edited by a moderator:
Kipipi dah nimekumiss mara nyingi tuu aise ni wewe hata salam hunipi aise
charminglady haya bana we nakuona unataka vita
gfsonwin nataka uje unianzishie twisheni ya chekechea nijue kusoma na kuandika
Vin Diesel kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa ndoa yako na Mamndenyi bado iko hai au nimesahau

twisheni ya nini tena?? manake kusoma na kuandika kuko kwa aina nyingi sana siku hizi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom