My fellow teacher ndo nawaandaa vijana kwa ajili ya kipimo hapo february, pole kwa msiba my dear. Mengi yanajiri humu ndani, we acha tu. umeskia Madame B katangaza anatafuta mchumba!?? afu kajipambanua eti yeye ni mpole tena bikra, si kuwaibia watu huku!??
basi uwe makini sana kama unajichanganya na Vin Diesel nitakuadabisha.
kwanza mwambie VD kanikosea sana kwann alirudia njian kuja kwenye msiba kwangu??
Waoo my dear,
Welcom back Home mamie.
Ngoja tujipange vje kukuwaooo.
sasa mwl naona umesahau kipimo cha mwl kwamba huwez kusema mwnafunzi ni mjinga kama hujampa mtihan na kufeli sasa usiseme Madame B sio bikra ilihali hujawah kuingia uwani kwake.
sasa mwl naona umesahau kipimo cha mwl kwamba huwez kusema mwnafunzi ni mjinga kama hujampa mtihan na kufeli sasa usiseme Madame B sio bikra ilihali hujawah kuingia uwani kwake.
Nilikuwa nasubiri unimiss mara ya tatu ndo niibuke lol! Habari Mr Rocky?Mwenyekiti Baba V nipo bana. Chama chetu cha penda penda bado kipo ila masalia walitufanya tukimbie humu Nimewamiss sana Blaki Womani, cacico, gfsonwin, Preta, charminglady, dada yangu mpendwa AshaDii Kipipi, Kongosho King'asti, Kaunga Kipipi, Dena Amsi, Copy Vin Diesel, Erickb52, Filipo, Arushaone watu8
Vin Diesel hafai, anaharibu wenzie vibaya mno
Keshanithibitishia hapo juu kuwa ni bikra na kanifumbua macho kuwa kumbe bikra zipo za aina nyingi
Khaa!
Nawe Mwl mwenzangu,uwani tena??
Hata barazani kuko Sealed,hakujatumika kbs.
Kama ndo baraza,zege bado bichi.
Aje huyo Baba V athibitishe.
thaks ma dearest, salam nyingi sana toka kwa mama Aisha na aunt dokta, mama mzaa chema nae hakuwasahau. mlinipandishaje daraja mwali?? yaani mmeacha stori ukweni
barikiweni mara elfu wapendwa wangu.Asante mpenzi.
Kumbuka kuna dunia nyingine nyuma ya Keybord.
Wewe ni wetu na lile ni jukumu letu sote.
Tusingeweza kukuacha mwenyewe wakati sie tupo.
Waambie salamu zimefika na tumezipokea kwa mikono miwili.
Kuna kitu atakuwa amejigundulia kwa hawa used, sio bure
basi uwe makini sana kama unajichanganya na Vin Diesel nitakuadabisha.
kwanza mwambie VD kanikosea sana kwann alirudia njian kuja kwenye msiba kwangu??
gfsonwin apigwe faini Vin Diesel