mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Samahani wanajukwaa, hivi Ndugai anatoka chama gani cha siasa?Akili za huyo Spika ni kielelezo cha viongozi wa CCM na wanachama wake.
Samahani wanajukwaa, hivi Ndugai anatoka chama gani cha siasa?Akili za huyo Spika ni kielelezo cha viongozi wa CCM na wanachama wake.
Hujasikiliza vizuri ripoti ya CAGHuo sio mpango wa mtu mmoja tu Ndugai, mbona CAG hajaripoti ubadhilifu kwenye pesa wanazolipwa akina Halima?
Chama chao CHADEMA kinatumika kuwasafisha hao Covid 19. Huoni hilo? Tumia akili kidogo usijiaibishe. Aina ya akili kama hizi ndizo zinaendelea kutoliona kosa la Ndugai. Yeye Ndugai kama anawapenda sana hao wa mama, atafute namna nyingine ya kuwahifadhi huko bungeni lakini siyo kupitia CHADEMA. Nadhani utakua umeelewa sababu za CHADEMA kuja juu kuhusiana na hao Covid 19 kuendelea kuhusishwa na chama chao.Sikatai hilo hata mimi, lakini hoja kama hiyo sio ya chadema tena, wao walishayakana matokeo hadi sasa na wamesema wamewafukuza uwanachama akina Halima, shida ya cdm ni nini hapo? Waache watu wengine walalamike lakini sio chadema.
Wewe una akili ndogo sana. Zitto Kabwe alikwenda mahakamani na mahakama ikaweka zuio la kufutwa uanachama wake akabaki kuwa mbunge hadi mwisho (aliitwa "mbunge wa mahakama"). Pia kumbuka Zitto hakuwa na makandokando katika kuchaguliwa ubunge wake ndiyo maana alikua na nguvu ya kwenda mahakamani, hawa Covid 19 nani kawachagua kuwa wabunge wa viti maalumu? Hadi aliyekua gerezani anatolewa usiku ili akawahi kuapishwa!!! Hawa Covid 19 waambie waende mahakamani uone kama wana nguvu hiyo, nguvu yao imebaki kwa Ndugai.Kwani alitumia sheria gani kuwabakiza akina Zitto kwenye ubunge hadi mwisho wa uhai wa bunge? Mbona wakati ule wa akina zito Bawacha hawakuimba mapambio kama wakati huu. Njaa kitu kibaya sana.
Akili yako ni ndogo zaidi. Kwani katiba yetu inaruhusu wabunge wa mahakama?Wewe una akili ndogo sana. Zitto Kabwe alikwenda mahakamani na mahakama ikaweka zuio la kufutwa uanachama wake akabaki kuwa mbunge hadi mwisho (aliitwa "mbunge wa mahakama"). Pia kumbuka Zitto hakuwa na makandokando katika kuchaguliwa ubunge wake ndiyo maana alikua na nguvu ya kwenda mahakamani, hawa Covid 19 nani kawachagua kuwa wabunge wa viti maalumu? Hadi aliyekua gerezani anatolewa usiku ili akawahi kuapishwa!!! Hawa Covid 19 waambie waende mahakamani uone kama wana nguvu hiyo, nguvu yao imebaki kwa Ndugai.
Kesi ya akina Halima sio ya chadema tena, wao siwameshawafukuza? Kuwafukuza uanachama ndio adhabu yao kubwa kwa mwanachama mkorofi na wameshafanya hivyo, shida yao ni nini?. Ukiwaangalia usoni hao bawacha utagundua kuwa wanataka wao ndio waende bungeni badala ya akina Halima. Hii haiwezekani kwakuwa cdm haijatengua kauli yake ya kutoyatambua matokeo ya uchaguzi.Chama chao CHADEMA kinatumika kuwasafisha hao Covid 19. Huoni hilo? Tumia akili kidogo usijiaibishe. Aina ya akili kama hizi ndizo zinaendelea kutoliona kosa la Ndugai. Yeye Ndugai kama anawapenda sana hao wa mama, atafute namna nyingine ya kuwahifadhi huko bungeni lakini siyo kupitia CHADEMA. Nadhani utakua umeelewa sababu za CHADEMA kuja juu kuhusiana na hao Covid 19 kuendelea kuhusishwa na chama chao.
Hiyo sio kweli, kwani spika anaweza kubatilisha maamuzi ya chama cha chadema? Kama chadema wana uhakika kuwa wameyakataa matokeo na wamewafukuza akina Halima shida yao iko wapi? Kwahiyo spika anaweza kuwalazimisha wayakubali matokeo?Spika anasema hao kina Halima ni Wanachama wa Cdm na ndiyo maana ya wao kuendelea kuwa wabunge kwa tiketi ya cdm, Cdm inasema hao sio tena wanachama wao na imepeleka barua kwa spika kumjulisha jambo hilo.
Ni hivi, kama spika angesema hao kina Halima sio wanachama wa chama chochote hivi sasa basi hapo cdm isingekuwa na haki ya kulalamika isipokuwa kesi ingebaki kwa spika kuvunja katiba kwa kuwaruhusu Watu wawe wabunge bila kupitia chama cha siasa lakini hivi sasa cdm inayo haki ya kulalamika kwasababu chama chao kinatumika kuhalalisha ubunge wa kina Halima kinyume na katiba ya nchi na kinyume na maamuzi ya chama chao kwani hao kina Halima wamefukuzwa chamani.
Ndugai ni spika wa ajabu sana, historia itamuandika hivyo.
Ndugai ameunajisi vilivyo mhimili huu... ukiangalia ile jinai ya kumpiga rungu mgombea mwenzake ilivyozikwa na yeye kushinda ubunge hata kuwa "supika" unapata ukakasi kujua tunaelekezwa wapi kama taifa...Bila aibu wala kuona soni unadiriki kusema kuwa ili uamini kuwa hao akina Mdee na wenzake 18 lazima upewe muhtasari wa kikao kilichowafukuza? Mbaya zaidi unaongea bila aibu kuwa ili wewe upate uthibitisho kuwa hao akina Mdee walifukuzwa unataka uthibitisho kuwa natural justice ilizingatiwa. Hivi una mshipa wa aibu kweli?
Kama natural justice haukuzingatiwa mbona walikata rufaa? Kama kulikuwa hakuna kikao halali mbona walikata rufaa?
Mwaka 2017 mwezi julai ulipokea barua toka kwa Lipumba juu ya wabunge wa CuF waliofukuzwa. Na wewe bila mashariti yoyote unayotoa sasa hivi uliridhia kuwafukuza. Iweje kwa hawa akina mama 19 ndio uwe na masharti?
Tumia akili na utambue kuwa katiba ni sheria mama.
Mkuu dhulma haijapata kushinda... ni suala la muda tu...Kwa kweli siyo siri tena, kuwa Spika Ndugai ni janga kwa Taifa letu
Hiyo sio kweli, kwani spika anaweza kubatilisha maamuzi ya chama cha chadema? Kama chadema wana uhakika kuwa wameyakataa matokeo na wamewafukuza akina Halima shida yao iko wapi? Kwahiyo spika anaweza kuwalazimisha wayakubali matokeo?
Kama vikao halali vya chadema vimewafukuza akina halima na taarifa iko kwa spika na msajili wa vyama wasiwasi yao iko wapi?
Shida hapo ni bawacha wanataka kwenda wao bungeni sio kingine.
Ndiyo maana hiyo "wabunge wa mahakama" niliiweka kwenye quotation marks. Kumbe hata hujui maana yake??Akili yako ni ndogo zaidi. Kwani katiba yetu inaruhusu wabunge wa mahakama?
Sina uhakika kama spika peke yake anaweza kuamua iwe hivi. Kumlaumu spika peke yake ni kuonyesha msivyofahamu ukubwa wa tatizo, mnaropoka tu, spika, spika, pika, pikaNdugai ameunajisi vilivyo mhimili huu... ukiangalia ile jinai ya kumpiga rungu mgombea mwenzake ilivyozikwa na yeye kushinda ubunge hata kuwa "supika" unapata ukakasi kujua tunaelekezwa wapi kama taifa...
Matendo yake yanayoendelea ni wazi kuna kitu kimejificha nyuma yake... au mpaka siku akisaula mjengoni ndio tutaelewa...
Mungu hajapata kumficha mnafiki...
Yeye ndiye aliyepanua kinywa kuutangazia umma kwamba ofisi yake imewabariki covid-19 na haitoshi akamrukia Nape alipokosoa...Sina uhakika kama spika peke yake anaweza kuamua iwe hivi. Kumlaumu spika peke yake ni kuonyesha msivyofahamu ukubwa wa tatizo, mnaropoka tu, spika, spika, pika, pika
Kwani spika ndugai ndiye anayeilinda katiba? Ni nani anaelinda katiba isivunjwe? Kama Ndugai amevunja katiba kwenye hili mlalamikaji ni nani?Yeye ndiye aliyepanua kinywa kuutangazia umma kwamba ofisi yake imewabariki covid-19 na haitoshi akamrukia Nape alipokosoa...
Sasa nitaanza kuona spika akichambana na wale kina dada walioanza kumkibizia mwenge kwenye banda lake la nyasi...
Aibu tupu...
Nijuavyo mm yeye spika ni kama loud speaker tu ya kukuzia sauti isikike lakini aliyeko nyuma ya mike ni MTU mwingine kabisaYeye ndiye aliyepanua kinywa kuutangazia umma kwamba ofisi yake imewabariki covid-19 na haitoshi akamrukia Nape alipokosoa...
Sasa nitaanza kuona spika akichambana na wale kina dada walioanza kumkibizia mwenge kwenye banda lake la nyasi...
Aibu tupu...
Kwani akina Halima wanalipwa na nani kwa kuwa wabunge wa bunge LA Jamhuri ya Tanzania? Mbona mlipaji halalamiki wanalalamika cdm na kumlaumu spika? Kwani spika anawalipa hela zake kutoka mfukoni mwake? Kumlaumu spika ni kukosa weledi.Binafsi siamini kama akili zake, kuna wakati inabidi ueleze umma kwanini unawatetea kundi lililofukizwa na hukuwatetea kindi lingine, wakati wote wameripoti kwako kwa njia sawa, je atajiona hana uwezo wa kufikiri vema, aidha aliamrishwa kufanya vile na mihimili mingine? Hivyo atakiri alikuwa anaburuzwa, si afya kwa mihimili wa Bunge!