Spika Ndugai: Bunge lisilaumiwe kwa kupitisha sheria ambazo baada ya muda mfupi zinarudishwa bungeni kufanyiwa marekebisho

Kumbe Waziri anauwezo wa kulilazimisha Bunge kupitisha sheria anayoitaka.

Sasa hilo Bunge la Jamhuri au kikao cha ndani cha CCM.?
 
Sasa kuna haja gani ya kuwa na Bunge lisilo na uwezo wa kufanya kazi iliyochaguliwa kwayo?.

Sasa kuna tofauti gani kati ya alichosema Spika na alichosema Assad?.
 
Bunge kazi yake kutunga sheria

Leo Spika anataka Bunge lisilaumiwe kwa kutunga sheria

Halafu wakiitwa Mazuzu wanasema wamechaguliwa na watu laki tano.
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuna changamoto ya baadhi ya Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali (AG) hali inayosababisha baadhi ya sheria kurejeshwa tena bungeni kurekebishwa muda mfupi baada ya kupitishwa...
Tatizo liko pande zote mbili.
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuna changamoto ya baadhi ya Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali (AG) hali inayosababisha baadhi ya sheria kurejeshwa tena bungeni kurekebishwa muda mfupi baada ya kupitishwa...
Hii inamaanisha kuwa yeye na wabunge wake ni sawa na "robots"!
 
Wasisingizie mawaziri, kuna Muswada wa mapato ya gesi na mafuta 2015. Bunge tena spika alitumia nguvu sana muswada ujadiliwe na upitishwe tena kwa hati ya dharura wakati ni jambo nyeti.

Nakumbuka wapinzani walipinga ila walifukuzwa na kuitwa "makuwadi wa mabeberu" sijui wanapinga kila kitu n.k

Fast forward 2017, JPM aliuita ule muswada ni wa kifisadi. Hapo hapo Ndugai akapokea ammendments za ule muswada na akadai "wabunge walipitiwa" n.k. Huu unafiki wa wana CCM ndio umefikisha taifa hapa lilipo.

Bunge la ndiooo ni udhaifu wa bunge, maana wao ndio wanaisimamia serikali sasa kama mawaziri wanawaforce then bunge ni dhaifu kama alivyosema CAG Assad!!
Si kama mradi wa bandari ya Bagamoyo? Waliupitisha kwa mbwembwe sana, JPM akasema ni wa kipumbavu
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuna changamoto ya baadhi ya Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali (AG) hali inayosababisha baadhi ya sheria kurejeshwa tena bungeni kurekebishwa muda mfupi baada ya kupitishwa.

Ndugai alitoa kauli hiyo jana Jumamosi Oktoba 30, 2021 wakati akifunga mafunzo ya siku mbili ya Mawaziri na Naibu Mawaziri yaliyoandaliwa na taasisi ya uongozi.

"Wakati mwingine unaona hii aah, lakini waziri anang’ang’ana kwa kawaida wabunge watasema sawa ipite ukienda huko hata miaka miwili haishi unarudi na amendment (marekebisho),” amesema akisisitiza kuwa ndio maana kila mkutano wa Bunge kuna muswada wa marekebisho ya sheria.

Chanzo: Mwananchi
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuna changamoto ya baadhi ya Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali (AG) hali inayosababisha baadhi ya sheria kurejeshwa tena bungeni kurekebishwa muda mfupi baada ya kupitishwa.

Ndugai alitoa kauli hiyo jana Jumamosi Oktoba 30, 2021 wakati akifunga mafunzo ya siku mbili ya Mawaziri na Naibu Mawaziri yaliyoandaliwa na taasisi ya uongozi.

"Wakati mwingine unaona hii aah, lakini waziri anang’ang’ana kwa kawaida wabunge watasema sawa ipite ukienda huko hata miaka miwili haishi unarudi na amendment (marekebisho),” amesema akisisitiza kuwa ndio maana kila mkutano wa Bunge kuna muswada wa marekebisho ya sheria.

Chanzo: Mwananchi
Speaker zuzu kama zuzu lilivo zuzu mfano wa Vuvuzela.
 
"Wakati mwingine unaona hii aah, lakini waziri anang’ang’ana kwa kawaida wabunge watasema sawa ipite ukienda huko hata miaka miwili haishi unarudi na amendment (marekebisho),” amesema akisisitiza kuwa ndio maana kila mkutano wa Bunge kuna muswada wa marekebisho ya sheria.
Jinga kweli
 
Back
Top Bottom