Spika Ndugai: Bunge lisilaumiwe kwa kupitisha sheria ambazo baada ya muda mfupi zinarudishwa bungeni kufanyiwa marekebisho

Spika asiyejua majukumu ya bunge. Magufuli alimpelekesha no wonder hata mama akisikia hii ataanza kumpelekesha. Kweli katika wabunge wote tumekosa speaker wa maana?
 
Nduguyao, jukumu la wabunge ni kuwasahihisha au kuwadhibiti hao mawaziri, hivyo mswada mbovu hautakiwi kupita hata kama mawaziri anauona unafaa, ikiwa macho ya wengine wameiona hafai au unamapungufu, Ndio maana kuna kuwa na mijadala. Na kupigiwa "kula" sasa kama hilo halifanyiki ina maanisha bunge linakimbia jukumu lake la kuidhibiti serikali "check and balances"
Ina maana watunga sheria wanazidiwa na mhimili uliojisimika zaidi sada kwa nini waitwe watunga sheria. Bora tu waitwe wapitisha sheria

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Nduguyao, jukumu la wabunge ni kuwasahihisha au kuwadhibiti hao mawaziri, hivyo mswada mbovu hautakiwi kupita hata kama mawaziri anauona unafaa, ikiwa macho ya wengine wameiona hafai au unamapungufu, Ndio maana kuna kuwa na mijadala. Na kupigiwa "kula" sasa kama hilo halifanyiki ina maanisha bunge linakimbia jukumu lake la kuidhibiti serikali "check and balances"
Yeye angesema wabunge wote hasa wa Ccm wanajipendekeza serikalini. Kutafuta uteuzi na upendeleo majimboni mwao
 
Kuna faida gani ya kuwa na bunge hilo kama kila kitu kinapitishwa hata cha hovyo Mkuu..
Kwanza hilo siyo bunge linalotakana na maamuzi ya wananchi kupitia sanduku la kura na uchaguzi halali.

Pia uelewe kwa kawaida ushuzi unatokea tumboni, kijambio ni spika tu.

Magufuli Mungu amlaani na huko Jehenamu alipo afe mara ya pili, hastahili kupumzika kwa amani shetani huyu.
 
Ndiyoooooooo. Mazuzu katika ubora wao

IMG-20191111-WA0001.jpg
 
Ametudhihirishia kuwa hana say mbele ya mawaziri wakimkomalia. Kuna faida gani ya kupeleka miswada bungeni?
Au kuna faida gani ya kuwa na bunge?! Watu wanalipwa ghali alafu wanaenda kupiga piga meza tu Dodoma?! Consiparacy to committ Terrorist kabisa hawa Terrorism ni utalii!
 
Nimesoma kwenye mitandao spika Ndugai akilalamika kuhusu sheria mbovu zinazopitishwa na bunge na kisha kulazimika kuzirekebisha baada ya wananchi kulalamika.

Anasema hilo limewafanya wananchi kusema bunge la Ndugai ni la hovyo. Anatoa lawama kwa mawaziri na mwanasheria mkuu wa serikali kuwa hawashrikiani ili kuhakikisha sheria zinazoletwa bungeni ni sheria bora zenye kulinda maslahi mapana ya nchi.

Kwa maoni yangu alichokifanya Ndugai ni kuthibitisha udhaifu wa bunge. Ndugai ni mzoefu wa shughuli za bunge. Kwa maneno yake mwenyewe amakaa bungeni kwa miaka zaidi ya 20. Mabunge yaliyotangulia malalamiko hayakuwa ya kiwango hiki. Kote huko mawaziri ndio walikuwa wanaleta misuada bungeni na kupitishwa bila kulishutumu bunge angalau siyo kwa kiwango cha kutisha kama ilivyo sasa.

Anachotakiwa kufanya Ndugai ni kujitathmini mwenyewe na wabunge wake ili wajue tatizo lipo wapi?

Kwa maoni yangu mawaziri siyo tatizo hata kama wanayo. Kwangu tatizo sma uwezo wake yeye mwenyewe wa kusimamia shughuli za bunge ni mdogo ama wabunge waliopo sasa hivi wameshindwa kusimamia maslahi mapana ya nchi. Aache kuilaumu serikali kwani ubovu wa serikali(mawaziri) yanatokana na bunge legelege.
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuna changamoto ya baadhi ya Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali (AG) hali inayosababisha baadhi ya sheria kurejeshwa tena bungeni kurekebishwa muda mfupi baada ya kupitishwa...
Hivi Spika hadi leo hajui kwamba bunge ndo lenye mamlaka ya kutunga sheria? Hii ni kwa mujibu wa katiba na sheria. Ikitokea bunge limetunga sheria za ajabu wa kulaumiwa ni bunge/wabunge. Spika asitoe visingizio vya kitoto.
 
Nduguyao, jukumu la wabunge ni kuwasahihisha au kuwadhibiti hao mawaziri, hivyo mswada mbovu hautakiwi kupita hata kama mawaziri anauona unafaa, ikiwa macho ya wengine wameiona hafai au unamapungufu, Ndio maana kuna kuwa na mijadala. Na kupigiwa "kula" sasa kama hilo halifanyiki ina maanisha bunge linakimbia jukumu lake la kuidhibiti serikali "check and balances"
Mkuu umenena. Ni vema wawakilishi wetu wawe makini, wasipitishe hizi kanuni na Sheria kishabiki na Kwa Lengo la kuwaumiza wengine, kwani ipo siku itawaumiza na wao. Ni vema wakaangalia maslahi ya Taifa letu
 
Profesa Assad alikua sahihi kabisa lile neno alilotumia.Kauli hii inathibitisha hilo.
 
Back
Top Bottom