Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,786
- 13,563
Mi sera yake ya ubwabwa nyama na chai ya rangi ndo aliponibamba.
Naunga mkono hojaWakuu,
Mzee wetu Hashimu Rungwe tumuunge mkono wale wote ambao tunajua utamu wa ubwabwa na nyama au ubwabwa na maharage. Sijui ataongeza na walau chai ya rangi?...
Naunga mkono hoja
Nami naunga mkono hoja, twende na Hashimu Rungwe Spunda!Wakuu,
Mzee wetu Hashimu Rungwe tumuunge mkono wale wote ambao tunajua utamu wa ubwabwa na nyama au ubwabwa na maharage. Sijui ataongeza na walau chai ya rangi?...
Huyu ndio wa kumchagua atusogezee bahari pale Dodoma..
ndio cpendi mkuuHaupendi ubwabwa maharage?
Itabidi Lissu amuunge mkono spunda ,Mgombea wangu bora wa wakati wote. The best of all time