Asante Buddy kwa kuliona kosa la kimaandishi. Mzee Hashimu Rungwe naamanisha. Inawezekana kilo kua chini hata ya 400 inategemeana wazalisha vipi na mara ngapi kwa Mwaka kwa Technologia ipi.Hata jina lake tu kuandika huwezi!!
Unataka ununue mchele 400/- kwa kilo, huoni ni dharau kwa wakulima!
Fanya Power tiller ziwe na bei ya chini zaidi ya Bodaboda. Fanya wawe na hamu ya kununua matrekta zaidi ya Toyota wish kule vijijini????
Majimoto Rukwa mwezi july kg 1 ya mchele ilikua 700/- mchele msafi.