Sitaki Ualimu, nimechoka naombeni ushauri

Sitaki Ualimu, nimechoka naombeni ushauri

Usikaze mshipa kijana wangu.

najua unatamani kuwa kama mimi Geologist ila ulifeli badae ukatupwa ualimu unateseka na kuhangaika na maisha.

Tuma namba hapa nikutumie hela ya mboga walau uache kula dagaaa na dona kila siku


KATAAA UALIMU NI LAAANAAAA
Sawa

+255 673 005 662

Amos Mboje

255 676 235

David Musia

Kazi ni kwako mkuu

Acha nianze kusogea hapa bar nipate kvant kubwa Hela ya nyama yaja
 
bima ya mkopo ni against Kifo na permanent disability,ukiacha au kuachishwa kazi Mkopo unaulipa kama kawaida-Benk husika wakikutafuta na kukupata na ukapelekwa Mahakamani lazima utalipa.
Na Hawa waliokimbia ajira wametafutwa?
Mbona mi mshakaji wangu kakimbia tokea 2015 na hajawahi tafutwa?

#YNWA
 
Ng'ombe anafikiria mkia wake kazi yake ni kufukuza mainzi tu, ulipokatwa akashindwa kukimbia, kumbe mkia unamsaidia katika kubalansi mwendo. Penda kazi yako, kidogo unachopata ndio mlinzi wa maisha yako.
 
biashara gani ya kufanya ili niondoke kwenye ualimu

Nimejaribu kuliuliza roboti la chatgpt na haya ndio majibu yake




Pole sana kusikia hali yako ya kazi imekuwa ngumu. Hapa kuna baadhi ya ushauri ambao unaweza kuutumia katika kujaribu kubadili hali yako:

Angalia vipaji vyako na ujuzi - Kabla ya kuchagua biashara unayotaka kuanza, angalia kwanza vipaji vyako na ujuzi wako. Kuna biashara nyingi ambazo unaweza kufanya kwa kutumia ujuzi wako kama vile uandishi wa nakala, uchapishaji, uchambuzi wa data, uuzaji mtandaoni, na zaidi.

Fikiria kujifunza ujuzi mpya - Kujifunza ujuzi mpya inaweza kukusaidia kubadili kazi yako au kuanza biashara mpya. Unaweza kuangalia kozi mtandaoni au kuhudhuria mafunzo yaliyoandaliwa katika eneo lako.

Fikiria kuanzisha biashara ndogo - Unaweza kuanza biashara ndogo kwa kutumia ujuzi wako na mtaji mdogo. Kwa mfano, unaweza kuanza kuuza bidhaa au huduma mtandaoni, kufungua duka la vitafunio, kuendesha huduma za ukarabati, nk.

Tafuta fursa za ajira zinazofaa - Unaweza kutafuta kazi nyingine ambazo zinaendana na ujuzi wako na maslahi yako. Angalia tovuti za ajira au tuma maombi ya kazi kwa makampuni yaliyo katika sekta unayopenda.

Tafuta msaada - Unaweza kutafuta msaada kutoka kwa watu wengine, kama vile marafiki, familia, au wataalamu wa kibiashara. Unaweza pia kujiunga na vikundi vya biashara au mitandao ya kijamii kwa ajili ya kujenga uhusiano na kupata fursa.

Kumbuka, kubadili kazi au kuanza biashara ni jambo la kibinafsi na linahitaji utayari na jitihada. Ni vyema kuweka mipango madhubuti, kuwa na malengo ya wazi, na kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kufanya maamuzi yoyote.
1680613537640.png
 
Sawa

+255 673 005 662

Amos Mboje

255 676 235

David Musia

Kazi ni kwako mkuu

Acha nianze kusogea hapa bar nipate kvant kubwa Hela ya nyama yaja

Ona walimu walivyokuwa wananuka shda . watu washaacha zama za kvant wako na vodka za mrusi wewe bado na uko chupa za 10k

walimu mna shida sana

ngoja nkutumie hiyo 50k ukashangaze utumbo leo
 
Ona walimu walivyokuwa wananuka shda . watu washaacha zama za kvant wako na vodka za mrusi wewe bado na uko chupa za 10k

walimu mna shida sana

ngoja nkutumie hiyo 50k ukashangaze utumbo leo
Aahaaaah

Maneno ya nini Tuma hyo 50k nitaipost hiyo msg ya Hela humu jf

Na wewe ukituma post hiyo msg hapa jf
 
Tatizo la Watanzania wengi hatujui tunahitaji nini maishani mwetu,Lazima mtu utambue kuwa Duniani kuna makundi ya watu wa aina 3.
1.Watu wa vipato vikubwa sana wengi wakiwa Matajiri wakubwa (wafanyabiashara wakubwa) na wagunduzi wa technolojia mbalimbali,
2. watu wa vipato vikubwa kiasi-wengi wakiwa Wafanyabiashara,wanasiasa
3.Watu wa vipato vya kati (waajiriwa wote private & Public),
4.Watu wa vipato vya kawaida (wajasiliamali)

KIla kundi lina lina kazi za kufanya na faida na hasara zake,Jambo la msingi ni wewe kama wewe unaamua Maisha yako unataka yaweje.Kama upo na lengo la kuwa katika kundi A ni lazima ufanye kila uwezalo ujishughulishe na kile wanachfanya kundi A na Vice -versa.Sio upo kundi C halafu unfanya kazi za kundi C na unataka uwe kundi A-utakuwa unachekeksha.

Mtoa mada haya yote yanatokana na wewe kutojielewa unataka nini.
 
Samahan najua ww utakua mzoefu hv inawezekana kubadilisha place of domecile katika mkataba wa ajira?
Why unataka ubadilishe wewe ni Me au KE,umeolewa au huajolewa?
sioni maana yoyote maana umuhimu wa palce of domecile nipale ukifariki wanaangalia ulijaza uzikwe wapi ukifariki,so kama utakuwa umeoelewa haitakuwa na maana kwa kuwa Mumeo ndio ataulizwa wewe pa kuzikwa na kama wee ni ME utazikwa kwenu au katika makazi yako.
 
Walimu wengi kwanza mmbearikiwa mna muda mwingi sana wa kufanya kazi zenu binafsi tofauti na Watumishi wa kada zingine,vilevile huko Vijijini mlipo kuna fursa nyingi sana ambazo unaweza kuwekeza.
 
Kuna Mwalimu wangu miaka ya 2000 alikacha ajira akawa anazurura kuuza bidhaa za GNLD!

Hao ni ndugu zake Forever living,sijui kama alitoboa.
 
Tulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao

Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
Daah yaani watanzania sijui nani ameturoga? Yaani tazama unachowaza ni wizi wizi wizi tuuuuu, hapo akiiba kama ulivyomshauri utashangaa kila mtu anaanza kumsifia, lakini wakati huu anapojipatia kipato halali mnamdharau

Kwanini usimwambie afanye hayo akiendelea na kazi yake, then aache kazi akimaliza kulipa madeni ya watu?
 
Hii njia niliitumia mwaka 2012 baada ya kuchoka ualimu.so nilikopa NMB,CRDB na Posta Bank..20M in total..nikaenda chuo kikuu X nikasoma Banking and finance nilipomaliza 2015 nikaajiliwa kwenye private company X hadi 2021...nikaacha now Nina migodi yangu ya dhahabu mkoa X...Maisha mazuri sana km ukithubutu...NB nimefanya story iwe fupi japo nimepitia changamoto nyingi mzito
Aisee
 
Haya mawazo ya kizamani sana au huna information za Sasa kuhusu ma bank! Ma Bank yote siku hizi yana wasiliana kwenye system linapokuja swala la Mikopo!!
Upo sahihi....yaani hata kama ulikopa zamani Wana taarifa Hadi na urejeshaji wako ulivyokua
 
Back
Top Bottom