Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 7,589
- 17,739
Niliajiriwa 2012 haya nimeyakuta.Mitanzania haijui kufunga midomo yao.
Na yataendelea.
We unadhani serikali haijui?
#YNWA
Niliajiriwa 2012 haya nimeyakuta.Mitanzania haijui kufunga midomo yao.
Kindly consult@mpwanyungu on the subjecthabarini wanajamvi?
Nimekuwa nwalimu wa miaka 5 sasa katika mkoa X na shule nayofundisha kwakweli si mbaya sana ina mazingira mazuri kiasi.Lengo la kuja hapa JF ni kuomba ushauri juu ya hatma ya maisha yangu.
Najua kila mtu hajawahi kutosheka juu ya mishahara yao lakini kwa sisi walimu naona hali inazidi kuwa mbaya, Serikali inatukandamiza kwa makato ya siyo ya lazima kama kuchangia mwenge na tunalazimishwa eti mwenge ukija mkoani kwetu lazima walimu tuwepo kuupokea.
kwanini kila kitu mpka sisi walimu tushiriki aiseee, nimechoka kuona kada yangu pendwa imekuwa inadharaulika na serekali kwa kutupiwa kila kitu cha kisiasa matokea yake walimu tumekuwa watu wa mkakati kwa wanasiasa ili kufanikisha azma yao.
Natamani kuacha ualimu ila naogopa wapi ntapata chanzo kingine cha mapato,na sitaki mikopo kabisaa
Naonmbeni ushauri wa wa biashara gani ya kufanya ili niondoke kwenye ualimu
(Sitaki kufungua kijiwe cha tuisheni, walimu tumekuwa tukiona tuisheni kama ni njia pekee ya kujiajiri SITAKIII)
msaada jamani
AhaaahKiufupi mwandishi wa hii post ni wewe!
Hii nina uhakika 100%.
Punguza kiki,vipi ile diploma yako umeajiriwa wapi?
mmh betting gani hiyoo mkuu maana huko nako kugumuMimi ni mwalimu,ila nimejiwekeza kwenye Betting kwa sasa.Mungu anasaidia nimeiva kwenye kazi hii.Ualimu siachi mana biashara siwezi,Sporty Betty wananijua
Samahan najua ww utakua mzoefu hv inawezekana kubadilisha place of domecile katika mkataba wa ajira?Nimekuwa nwalimu wa miaka 5 sasa katika mkoa X
Sorry si kwamba nakushushua lakini uko Moro.. Usiniulize nimejuaje..![]()
Kwanini usijipe kwanza muda ukijichanga mshahara wako kupata mtaji huku pia ukitafuta idea nzuri ya kitu gani ufanye. Kwa sababu biashara nzuri ni ile ya kuifanyia utafiti na kujiridhisha mwenyewe na sio hizi za kuambiwa na watu
Mwalimu mpwayungu vipi pole na aibu za kuumbuliwa janaTulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
Naoana mpaka makato ya walimusasa shida ni huo mshahara wenyewe unakuta analipwa 710,000 ila makato yote pamoja na CWT, mwenge, halmashauri, makato ya kumtunza mwalimu mkuu akinunua kiroba cha unga na dagaa debe anabaki na 15000
na hapo akiziba pancha baiskelli mara kadhaa anabaki mkiwa.
KATAA UALIMU,NI LAAANA
Hiyo Haina doubt mkuuMpaka mpwayungu village anatoa huo ushauri maana anazijua Kona Kona zote za ualimu
Conclusively am obliged to say that he is a teacher
Unataka kumbandua ?Ana madeni&hakopesheki.
Sorry,bado unatamani kuwa mwanamke?![]()
Naoana mpaka makato ya walimu
Obviousily wewe ni ni mwalimu
Huwasitoi ushauri kwa kitu nisichokijua/kifanya.Wewe hutaki hizo pesa ?
Mbona haifugi hao kuku
Kataa ualimu ni ajira kausha damu....ila walimu wa kike wananenepa humo kweny tasniaNKISEMA KADA YA UALIMU NI YA HOVYO MNIELEWE
ONA KIJANA WA KITANZANIA ANAHANGAIKA NA KADA YA UALIMU WAKATI WAPO WALIMU WENZAKE WANAMBEZA NA KUTETEA UALIMU
Hastag
KATAAA UALIMUUUUUU HAUFAIII
Duh! Sio fair. Wanafanya kazi kubwa sanasasa shida ni huo mshahara wenyewe unakuta analipwa 710,000 ila makato yote pamoja na CWT, mwenge, halmashauri, makato ya kumtunza mwalimu mkuu akinunua kiroba cha unga na dagaa debe anabaki na 15000
na hapo akiziba pancha baiskelli mara kadhaa anabaki mkiwa.
KATAA UALIMU,NI LAAANA
Zote zikiratibiwa na accounts zako feki!! Kwenye huu uzi umekuja na multiple accounts 3 ikiwemo na hii uliyoianzishia huu uzi.Kuna nyuzi i chini ya 23 juu ya kuwasema walimu.
MY GOD! kumbe hali ni mbaya kuliko nilivyodhania
Nimejaribu kuliuliza roboti la chatgpt na haya ndio majibu yakehabarini wanajamvi?
Nimekuwa nwalimu wa miaka 5 sasa katika mkoa X na shule nayofundisha kwakweli si mbaya sana ina mazingira mazuri kiasi.Lengo la kuja hapa JF ni kuomba ushauri juu ya hatma ya maisha yangu.
Najua kila mtu hajawahi kutosheka juu ya mishahara yao lakini kwa sisi walimu naona hali inazidi kuwa mbaya, Serikali inatukandamiza kwa makato ya siyo ya lazima kama kuchangia mwenge na tunalazimishwa eti mwenge ukija mkoani kwetu lazima walimu tuwepo kuupokea.
kwanini kila kitu mpka sisi walimu tushiriki aiseee, nimechoka kuona kada yangu pendwa imekuwa inadharaulika na serekali kwa kutupiwa kila kitu cha kisiasa matokea yake walimu tumekuwa watu wa mkakati kwa wanasiasa ili kufanikisha azma yao.
Natamani kuacha ualimu ila naogopa wapi ntapata chanzo kingine cha mapato,na sitaki mikopo kabisaa
Naonmbeni ushauri wa wa biashara gani ya kufanya ili niondoke kwenye ualimu
(Sitaki kufungua kijiwe cha tuisheni, walimu tumekuwa tukiona tuisheni kama ni njia pekee ya kujiajiri SITAKIII)
msaada jamani

bima ya mkopo ni against Kifo na permanent disability,ukiacha au kuachishwa kazi Mkopo unaulipa kama kawaida-Benk husika wakikutafuta na kukupata na ukapelekwa Mahakamani lazima utalipa.Tulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
Kwamba wewe na umri huo "Huwajui walioacha Kazi wakafanikiwa?"Endeleeni kumpiga fix tu akisha jaa atarudi tena kuulizia nifanyeje ili nirudi kwenye ajira.