DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,587
- 10,281
Jamani naitwa mpwayungu nina miaka 24 hv hapo teku mtapata kweli koz ya kufundisha nursery jamani ntapata kweli. Ushaur plz jamani naomba
Asee watu wana akili duuHili jambo jamaa angu mmoja alifanya.
Na sasa ana bongee la biashara Dar.
Alikopa jumla mil 40 akasepa mazimaaaa.
#YNWA
We pambana na u secretary wako huku hakukuhusu 😁Kazi ya ualimu nzuri, tuache zarau bila walimu tungejua kusoma na kuandika, kila mtu apende kazi yake na fani yake.
We pambana na u secretary wako huku hakukuhusu![]()
Ahahaahaaaaaahabarini wanajamvi?
Nimekuwa nwalimu wa miaka 5 sasa katika mkoa X na shule nayofundisha kwakweli si mbaya sana ina mazingira mazuri kiasi.Lengo la kuja hapa JF ni kuomba ushauri juu ya hatma ya maisha yangu.
Najua kila mtu hajawahi kutosheka juu ya mishahara yao lakini kwa sisi walimu naona hali inazidi kuwa mbaya, Serikali inatukandamiza kwa makato ya siyo ya lazima kama kuchangia mwenge na tunalazimishwa eti mwenge ukija mkoani kwetu lazima walimu tuwepo kuupokea.
kwanini kila kitu mpka sisi walimu tushiriki aiseee, nimechoka kuona kada yangu pendwa imekuwa inadharaulika na serekali kwa kutupiwa kila kitu cha kisiasa matokea yake walimu tumekuwa watu wa mkakati kwa wanasiasa ili kufanikisha azma yao.
Natamani kuacha ualimu ila naogopa wapi ntapata chanzo kingine cha mapato,na sitaki mikopo kabisaa
Naonmbeni ushauri wa wa biashara gani ya kufanya ili niondoke kwenye ualimu
(Sitaki kufungua kijiwe cha tuisheni, walimu tumekuwa tukiona tuisheni kama ni njia pekee ya kujiajiri SITAKIII)
msaada jamani
Unamfunza wizi!Tulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
Kwani wanajeshi wapo halmashauri?Hizi Halmashauri za vijijini ni kawaida.
Watu wanakopa na kusepa wengi sanaaa.
Kuna wanajeshi wengi sanaa wanakopa na kusepa.
Niliajiriwa na jamaa mmoja 2012, ye alifanya Kazi mwaka mmoja tu akakopa nakusepa.
Mpaka leo ana maisha japo si makubwa wala madogo ila yanaenda.
Kifupi Nina access na wengi waliokimbia na mikopo halmashauri, hivyo najifunza sanaa juu yao.
#YNWA
Naona mbegu aliyopanda Mpwayungu village inazaa matunda sasa.
Haziwezi fananaMpe changamoto pia ili apate uhalisia wa mambo.