Sitaki Ualimu, nimechoka naombeni ushauri

Sitaki Ualimu, nimechoka naombeni ushauri

Usijali kuna siku watakamatwa tu Jinai haifi Mzee Baba!!

Hizi Halmashauri za vijijini ni kawaida.
Watu wanakopa na kusepa wengi sanaaa.

Kuna wanajeshi wengi sanaa wanakopa na kusepa.

Niliajiriwa na jamaa mmoja 2012, ye alifanya Kazi mwaka mmoja tu akakopa nakusepa.

Mpaka leo ana maisha japo si makubwa wala madogo ila yanaenda.

Kifupi Nina access na wengi waliokimbia na mikopo halmashauri, hivyo najifunza sanaa juu yao.

#YNWA
 
Hizi Halmashauri za vijijini ni kawaida.
Watu wanakopa na kusepa wengi sanaaa.

Kuna wanajeshi wengi sanaa wanakopa na kusepa.

Niliajiriwa na jamaa mmoja 2012, ye alifanya Kazi mwaka mmoja tu akakopa nakusepa.

Mpaka leo ana maisha japo si makubwa wala madogo ila yanaenda.

Kifupi Nina access na wengi waliokimbia na mikopo halmashauri, hivyo najifunza sanaa juu yao.

#YNWA
Nje ya mshahara Ili ufanikiwe zipo njia mbili tu:uibie Serikali au ujishughulishe
 
habarini wanajamvi?

Nimekuwa nwalimu wa miaka 5 sasa katika mkoa X na shule nayofundisha kwakweli si mbaya sana ina mazingira mazuri kiasi.Lengo la kuja hapa JF ni kuomba ushauri juu ya hatma ya maisha yangu.

Najua kila mtu hajawahi kutosheka juu ya mishahara yao lakini kwa sisi walimu naona hali inazidi kuwa mbaya, Serikali inatukandamiza kwa makato ya siyo ya lazima kama kuchangia mwenge na tunalazimishwa eti mwenge ukija mkoani kwetu lazima walimu tuwepo kuupokea.

kwanini kila kitu mpka sisi walimu tushiriki aiseee, nimechoka kuona kada yangu pendwa imekuwa inadharaulika na serekali kwa kutupiwa kila kitu cha kisiasa matokea yake walimu tumekuwa watu wa mkakati kwa wanasiasa ili kufanikisha azma yao.

Natamani kuacha ualimu ila naogopa wapi ntapata chanzo kingine cha mapato,na sitaki mikopo kabisaa

Naonmbeni ushauri wa wa biashara gani ya kufanya ili niondoke kwenye ualimu

(Sitaki kufungua kijiwe cha tuisheni, walimu tumekuwa tukiona tuisheni kama ni njia pekee ya kujiajiri SITAKIII)

msaada jamani
Fanya utafiti kwa muda juu ya biashara unayoweza kuifanya,ongeza ndumba kidogo ili kuukabili ushindani. Kwa mikoa ya kanda ya ziwa,biashara ya nafaka hasa maeneo ya visiwani iko poa lkn na maeneo ya Musoma kwa ujumla wake.

Nenda bank vuta mpunga mpaka kiwango chako cha mwisho kabla haujauaga ualimu,baada ya hapo muachie Mkurugenzi akamalizane na bank.

Unaogopa nini kwenda Bank?
Una udhamini halali kabisa tofauti na yule aliyekuwa anamsema Sa100 kutoka kwenye taatifa ya CAG,licha ya kuweka dhamana fake lkn kasepa na billions of money,sembuse wewe unaenda kuchukua vijisenti! Zingatia ushauri huu.
 
Fanya utafiti kwa muda juu ya biashara unayoweza kuifanya,ongeza ndumba kidogo ili kuukabili ushindani. Kwa mikoa ya kanda ya ziwa,biashara ya nafaka hasa maeneo ya visiwani iko poa lkn na maeneo ya Musoma kwa ujumla wake.

Nenda bank vuta mpunga mpaka kiwango chako cha mwisho kabla haujauaga ualimu,baada ya hapo muachie Mkurugenzi akamalizane na bank.

Unaogopa nini kwenda Bank?
Una udhamini halali kabisa tofauti na yule aliyekuwa anamsema Sa100 kutoka kwenye taatifa ya CAG,licha ya kuweka dhamana fake lkn kasepa na billions of money,sembuse wewe unaenda kuchukua vijisenti! Zingatia ushauri huu.
Ushauri mzuri

Kikubwa aagane na nyonga
 
Tulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao

Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Umenena vyema.
Hivi kumbe j4 huwa unakuwa safi namna hii?
 
Back
Top Bottom