evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,187
Kwan hujui mpwa ni tchaWe jamaa ni mwalimu kabisa.
Wewe sio mtumishi, HILI UMELIJUAJE, WEWE NI MWALIMU.
#YNWA
Kwan hujui mpwa ni tchaWe jamaa ni mwalimu kabisa.
Wewe sio mtumishi, HILI UMELIJUAJE, WEWE NI MWALIMU.
#YNWA
Sahivi na miliki kuku buku 🤣🤣....😀😀😀 motivation speaker nilianza na nyoya moja la kuku
Wewe hutaki hizo pesa ?Hapo kwenye kuku umempa bonge la njia la kupiga pesa.Muhimu anunue eneo japo la heka 2 hivi,kwa hao kuku wa kienyeji atapiga pesa.
Mitanzania haijui kufunga midomo yao.Ni kama tu walivyotoa siri ya kutoa hela kwa wakala, kupitia lipa kwa namba! Siku hizi makampuni yote yamepandisha makato.
La ufugaji na blah blah kibao pia naungana na wewe..sio rahisi kihivyoMkuu kuhusu hilo la mkopo nafahamu vizuri tu so sijalibishia.
Huko kukopa inawezekana.ila ishu za kusema afuge blah blah kibao alizoandika mpwayungu sio rahisi hvyoSio RAHISI ila hamaanishi HAIWEZEKANI.
#YNWQ
Kumbe jamaa upo vizuri upstairsTulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
Ana madeni&hakopesheki.Tulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwahahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote
Bora afeli akiwa amejaribu,hiyo nayo ni hatua moja mbele ktk kujitunza.Ila ni risk sanaa
Na ukifeli KAZI UNAYO.
#YNWA
SEMA MASHIMO SIO MIGODIHii njia niliitumia mwaka 2012 baada ya kuchoka ualimu.so nilikopa NMB,CRDB na Posta Bank..20M in total..nikaenda chuo kikuu X nikasoma Banking and finance nilipomaliza 2015 nikaajiliwa kwenye private company X hadi 2021...nikaacha now Nina migodi yangu ya dhahabu mkoa X...Maisha mazuri sana km ukithubutu...NB nimefanya story iwe fupi japo nimepitia changamoto nyingi mzito
Mbona Kuna walimu wengi wana division 1 form 4kwenye kila uzi uliowasema vbya walimu unechangia.
najua hukuchagua kuwa mwalimu ila kufeli form 4 kulisababisha utupwe huko.
Nataka nikuambie kuwa usikate tamaaa si mwisho wa maisha yako endelea kupambana ipo siku ualimu utauacha.
😀 😀 😀kwamba mashimo mkuu...laskini si yanatemaaa dhahabuu boss anakula maishaaSEMA MASHIMO SIO MIGODI
Wapo waliozifanya wakafanikiwa.Huko kukopa inawezekana.ila ishu za kusema afuge blah blah kibao alizoandika mpwayungu sio rahisi hvyo
Walimu hii imekaaje???Aisee ualimu mateso kwa kwelii sijaelewa UTARATIBU WA KUKATWA KWA LAZIMA HELA YA CHAMA CHA WAALIMU KILA MWEZI... hivi huwa inawasaidia nini ile hela mnayokatwa ili kuwalipa VIONGOZI WENU MAMILION?? Hicho chama kinawatesaa tuu maana hata madaktari au wafamasia au manesi wana vyama ila huo utaratibu wa kihunii haupo. Poleni sana waalimu mnanyanyasika sana.
Hawa wezi HAWAWEZI KUISHA.Tatizo lenu mnaanika mbinu za ushindi hadharani mwisho mtawasanua waajiri na mabenk huko.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kiufupi mwandishi wa hii post ni wewe!Tulia Sasa mkuu vuta pumzi, hapo cha kufanya kopa benki, baada ya hapo nenda Bayport kopa mpaka moja ya Tatu hakikisha kadi yako mshahara unaingia buku tano tu, baada ya hapo usiache kazi mwenyewe fanya kudoji kazini mwezi mzima bila taarifa utakuta barua ya kufukuzwa kazi juu ya Meza ya mkuu wa shule ndipo lengo lako litakuwa limetimia maana mkopo una Bima kwahiyo watajijua na mwajiri wako na Bayport itakuwa imekula kwao
Fanya biashara ya huduma za kifedha na ufugaji wa kuku kienyeji hutajuta baada ya miaka mitatu pesa yako ya mwezi utakuwa mshahara wa walimu watano wenye TGTS Wasio kuwa na madeni yoyote