Naombeni ushauri, nipo dilema kuhusu Elimu yangu

King yedidiah

Member
Apr 4, 2023
28
66
Wakuu habarini! Nimekuja kwenu niweze kupata ushauri kwani waswahili husema " mficha maradhi kifo kinamuumbua"

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 , nilihitimu Elimu ya kidato Cha Sita mwaka 2019 na kupata ufaulu wa Division three point 13 katika tahasusi ya PCB , lakini nilitamani sana kusoma kozi ya udaktari sikufanikiwa kwa ngazi ya degree kutokana na ufaulu wangu nikaomba wazazi wanisupport niende diploma ya clinical medicine!

Hawakuhafiki haraka walinipinga na kunitaka nikasome degree kozi yoyote Ile , lakini niliwaomba sana wakanikubalia kishingo upande , Kutokana na kuchelewa dirisha la nacte nilishindwa kupata nafasi serikalini hivyo nikaenda private , nilisoma semester Moja tu chuo kikafungiwa Kutokana na kutokidhi vigezo vya usajili na hapo ndio kizungumkuti kilipoanzia.

Wazazi walianza kunilaumu na kuniambia Bora ungeenda degree ona wenzako uliomaliza nae wanaendelea mbele wewe unarudi nyuma dah kiukwel nilijisikia unyonge sana, na kipindi hicho familia ilipitia kipindi kigumu Cha madeni ya bank na kupelekea kuuzwa kwa nyumba tuliyokuwa tukiishi!

Basi nikawa mtu wa kukaa nyumbani, mwaka 2020 nikaomba kwa machozi nipewe nafasi niende chuo Cha degree chochote na kwakozi yoyote, nilifanikiwa kupata chuo japo suala la mkopo likawa mtihani mwingine, sikupata asilimia ya kutosha ivyo Kuna kiasi Cha ada kikubwa nikawa nalipia nilijikuta naingia kwenye madeni mengi nikiwa chuon ili kulipa ada nilifanikiwa kusoma semester Moja Ile naingia semester ya pili Mzee akaugua sana ikabidi pesa nyingi kutumika hospitalini huku chuon mambo yakazidi kuharibika.

Nikaandika barua ya kuahirisha mwaka Kisha nikaondoka kwenda kumuuguza Mzee Kwan mimi ndio wa kiume kwenye familia na ndio mkubwa! Nimekaa nikawa sina jinsi ya kurudi chuon maan hata pesa ya kuongeza kwenye ada sikuwa nayo! Wakati huo kumbuka tumepoteza nyumba na tupo nyumba ya kupanga!

Nilianza harakati nyingine za maisha lakini mwaka 2021 nilifanya maamuzi magumu ya kurudi kwenye kozi yangu ya udaktari na nikabahatika kupata chuo cha serikali, nilifurahi sana na nikaona huu ni muujiza nikaanza kusoma diploma hii ya udaktari japokuwa darasani nilikuwa ndio mkubwa wa darasa kama mjuavyo sikuhizi watoto wanamaliza form four wanaunga diploma.

Sasa maisha yakaanza changamoto zilikuwa nyingi nikipata supplimentary basi nakuwa kituko walimu wananiweka kituko mbele ya darasa dah Ile halo ikawa inanikata moyo sana Kila mtihani ukikaribia naandika barua ya kuomba kufanya bila kulipa ada maana bila ada wanazingua kukuruhusu!

Nilipomaliza mwaka wa kwanza Nikaandika barua ya kuahirisha Kwan pesa yote ikawa imeisha , nikaona nikajipange nirudi mwakani ambao ndio huu 2023! Lakini mpaka muda huu wakuu sina hata robo ya ada na nyumbani nashindwa kuwasumbua maana wapo kipindi kigumu sana, ikaja roho ya kukata tamaa nikitizama wenzangu wote niliomaliza nao Form six 2019 wamemaliza vyuo, basi nikikutana na watu wanaonifahamu wananiuliza vp umemaliza chuo nawaambia bado wananiuliza unasomaga tu mpaka Leo, na ukicheki kidevu Chote kimechafuka ndevu basi najihisi unyonge!

Wakuu sina pesa ya kujisomesa miaka miwili iliyobaki diploma! Nimekaa tamaa natamani niombe mkopo mwaka huu niingie degree, nilienda kuulizia kama inawezekana kurudi chuon nikaambiwa mpaka niombe upya maana nimefutwa kwenye system ya chuo nilichosoma kipindi Cha mwanzo degree, kwa Sasa bodi ya mikopo niliwauliza kama naweza pata mkopo wakaniambia nilipe asilimia 25 ya mkopo niliotumia nikiwa chuoni ambayo nikipiga hesabu ni kama 687,000/= ndipo niombe mkopo ,
Yaani nimechoka wakuu hata iyo pesa ya chuo sina Wala hiyo ya kuomba mkopo sina,

Nipo DILLEMA, kwende diploma nimebakiza miaka miwili, lakini sina ada, nahofia miaka inazidi kwenda wakuu ! Naombeni ushauri nisubirie nipate ada nikamalizie diploma ya afya miaka miwili au nitafute pesa ya kuomba mkopo nikasome bachelor kwa kusomeshwa na serikali, Nina miaka 26 kwa Sasa wakuu.
 
Wakuu habarini! Nimekuja kwenu niweze kupata ushauri kwani waswahili husema " mficha maradhi kifo kinamuumbua"

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 , nilihitimu Elimu ya kidato Cha Sita mwaka 2019 na kupata ufaulu wa Division three point 13 katika tahasusi ya PCB , lakini nilitamani sana kusoma kozi ya udaktari sikufanikiwa kwa ngazi ya degree kutokana na ufaulu wangu nikaomba wazazi wanisupport niende diploma ya clinical medicine!

Hawakuhafiki haraka walinipinga na kunitaka nikasome degree kozi yoyote Ile , lakini niliwaomba sana wakanikubalia kishingo upande , Kutokana na kuchelewa dirisha la nacte nilishindwa kupata nafasi serikalini hivyo nikaenda private , nilisoma semester Moja tu chuo kikafungiwa Kutokana na kutokidhi vigezo vya usajili na hapo ndio kizungumkuti kilipoanzia.

Wazazi walianza kunilaumu na kuniambia Bora ungeenda degree ona wenzako uliomaliza nae wanaendelea mbele wewe unarudi nyuma dah kiukwel nilijisikia unyonge sana, na kipindi hicho familia ilipitia kipindi kigumu Cha madeni ya bank na kupelekea kuuzwa kwa nyumba tuliyokuwa tukiishi!

Basi nikawa mtu wa kukaa nyumbani, mwaka 2020 nikaomba kwa machozi nipewe nafasi niende chuo Cha degree chochote na kwakozi yoyote, nilifanikiwa kupata chuo japo suala la mkopo likawa mtihani mwingine, sikupata asilimia ya kutosha ivyo Kuna kiasi Cha ada kikubwa nikawa nalipia nilijikuta naingia kwenye madeni mengi nikiwa chuon ili kulipa ada nilifanikiwa kusoma semester Moja Ile naingia semester ya pili Mzee akaugua sana ikabidi pesa nyingi kutumika hospitalini huku chuon mambo yakazidi kuharibika.

Nikaandika barua ya kuahirisha mwaka Kisha nikaondoka kwenda kumuuguza Mzee Kwan mimi ndio wa kiume kwenye familia na ndio mkubwa! Nimekaa nikawa sina jinsi ya kurudi chuon maan hata pesa ya kuongeza kwenye ada sikuwa nayo! Wakati huo kumbuka tumepoteza nyumba na tupo nyumba ya kupanga!

Nilianza harakati nyingine za maisha lakini mwaka 2021 nilifanya maamuzi magumu ya kurudi kwenye kozi yangu ya udaktari na nikabahatika kupata chuo cha serikali, nilifurahi sana na nikaona huu ni muujiza nikaanza kusoma diploma hii ya udaktari japokuwa darasani nilikuwa ndio mkubwa wa darasa kama mjuavyo sikuhizi watoto wanamaliza form four wanaunga diploma.

Sasa maisha yakaanza changamoto zilikuwa nyingi nikipata supplimentary basi nakuwa kituko walimu wananiweka kituko mbele ya darasa dah Ile halo ikawa inanikata moyo sana Kila mtihani ukikaribia naandika barua ya kuomba kufanya bila kulipa ada maana bila ada wanazingua kukuruhusu!

Nilipomaliza mwaka wa kwanza Nikaandika barua ya kuahirisha Kwan pesa yote ikawa imeisha , nikaona nikajipange nirudi mwakani ambao ndio huu 2023! Lakini mpaka muda huu wakuu sina hata robo ya ada na nyumbani nashindwa kuwasumbua maana wapo kipindi kigumu sana, ikaja roho ya kukata tamaa nikitizama wenzangu wote niliomaliza nao Form six 2019 wamemaliza vyuo, basi nikikutana na watu wanaonifahamu wananiuliza vp umemaliza chuo nawaambia bado wananiuliza unasomaga tu mpaka Leo, na ukicheki kidevu Chote kimechafuka ndevu basi najihisi unyonge!

Wakuu sina pesa ya kujisomesa miaka miwili iliyobaki diploma! Nimekaa tamaa natamani niombe mkopo mwaka huu niingie degree, nilienda kuulizia kama inawezekana kurudi chuon nikaambiwa mpaka niombe upya maana nimefutwa kwenye system ya chuo nilichosoma kipindi Cha mwanzo degree, kwa Sasa bodi ya mikopo niliwauliza kama naweza pata mkopo wakaniambia nilipe asilimia 25 ya mkopo niliotumia nikiwa chuoni ambayo nikipiga hesabu ni kama 687,000/= ndipo niombe mkopo ,
Yaani nimechoka wakuu hata iyo pesa ya chuo sina Wala hiyo ya kuomba mkopo sina,

Nipo DILLEMA, kwende diploma nimebakiza miaka miwili, lakini sina ada, nahofia miaka inazidi kwenda wakuu ! Naombeni ushauri nisubirie nipate ada nikamalizie diploma ya afya miaka miwili au nitafute pesa ya kuomba mkopo nikasome bachelor kwa kusomeshwa na serikali, Nina miaka 26 kwa Sasa wakuu.
usikate tamaa kaka kila mtu ana destiny yake we vumilia afu pambana utaona mwenyewe
 
Achana na Elimu dogo, kwanini ung'ang'anie huko!!? Una uhakika ukisoma hicho unachoking'ang'ania utapata ajira!!?

Hiyo clinical officer saiv Haina lolote, wapo madogo wengi (nawafahamu) walililia sana kutaka kusoma CO saiv wamemaliza Dip zao wamerudi tena nyumbani kugombania ugali na wadogo zao.

Kuna dogo mmoja alikuwa anajitolea kwenye hospital moja hiv ya private kule kahama analipwa 300K kwa mwezi, Sasa huo si uzuzu!!
 
Anza maisha sitisha elimu, unapoona unang'ang'ania jambo linakuwa gumu nje ya uwezo wako acha nalo, huenda Muumba anakuepusha na hatari utakayokutana nayo huko mbeleni
 
Pole. Kaa chini jitafute kama kweli elimu ni njia yako. Kuna uwezekano mkubwa kwamba fate yako haiko kwenye elimu ya juu. Jiulize tu kuwa zaidi ya kuwa daktari, ni kitu gani ungependa kuwa?
 
Wakuu habarini! Nimekuja kwenu niweze kupata ushauri kwani waswahili husema " mficha maradhi kifo kinamuumbua"

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 , nilihitimu Elimu ya kidato Cha Sita mwaka 2019 na kupata ufaulu wa Division three point 13 katika tahasusi ya PCB , lakini nilitamani sana kusoma kozi ya udaktari sikufanikiwa kwa ngazi ya degree kutokana na ufaulu wangu nikaomba wazazi wanisupport niende diploma ya clinical medicine!

Hawakuhafiki haraka walinipinga na kunitaka nikasome degree kozi yoyote Ile , lakini niliwaomba sana wakanikubalia kishingo upande , Kutokana na kuchelewa dirisha la nacte nilishindwa kupata nafasi serikalini hivyo nikaenda private , nilisoma semester Moja tu chuo kikafungiwa Kutokana na kutokidhi vigezo vya usajili na hapo ndio kizungumkuti kilipoanzia.

Wazazi walianza kunilaumu na kuniambia Bora ungeenda degree ona wenzako uliomaliza nae wanaendelea mbele wewe unarudi nyuma dah kiukwel nilijisikia unyonge sana, na kipindi hicho familia ilipitia kipindi kigumu Cha madeni ya bank na kupelekea kuuzwa kwa nyumba tuliyokuwa tukiishi!

Basi nikawa mtu wa kukaa nyumbani, mwaka 2020 nikaomba kwa machozi nipewe nafasi niende chuo Cha degree chochote na kwakozi yoyote, nilifanikiwa kupata chuo japo suala la mkopo likawa mtihani mwingine, sikupata asilimia ya kutosha ivyo Kuna kiasi Cha ada kikubwa nikawa nalipia nilijikuta naingia kwenye madeni mengi nikiwa chuon ili kulipa ada nilifanikiwa kusoma semester Moja Ile naingia semester ya pili Mzee akaugua sana ikabidi pesa nyingi kutumika hospitalini huku chuon mambo yakazidi kuharibika.

Nikaandika barua ya kuahirisha mwaka Kisha nikaondoka kwenda kumuuguza Mzee Kwan mimi ndio wa kiume kwenye familia na ndio mkubwa! Nimekaa nikawa sina jinsi ya kurudi chuon maan hata pesa ya kuongeza kwenye ada sikuwa nayo! Wakati huo kumbuka tumepoteza nyumba na tupo nyumba ya kupanga!

Nilianza harakati nyingine za maisha lakini mwaka 2021 nilifanya maamuzi magumu ya kurudi kwenye kozi yangu ya udaktari na nikabahatika kupata chuo cha serikali, nilifurahi sana na nikaona huu ni muujiza nikaanza kusoma diploma hii ya udaktari japokuwa darasani nilikuwa ndio mkubwa wa darasa kama mjuavyo sikuhizi watoto wanamaliza form four wanaunga diploma.

Sasa maisha yakaanza changamoto zilikuwa nyingi nikipata supplimentary basi nakuwa kituko walimu wananiweka kituko mbele ya darasa dah Ile halo ikawa inanikata moyo sana Kila mtihani ukikaribia naandika barua ya kuomba kufanya bila kulipa ada maana bila ada wanazingua kukuruhusu!

Nilipomaliza mwaka wa kwanza Nikaandika barua ya kuahirisha Kwan pesa yote ikawa imeisha , nikaona nikajipange nirudi mwakani ambao ndio huu 2023! Lakini mpaka muda huu wakuu sina hata robo ya ada na nyumbani nashindwa kuwasumbua maana wapo kipindi kigumu sana, ikaja roho ya kukata tamaa nikitizama wenzangu wote niliomaliza nao Form six 2019 wamemaliza vyuo, basi nikikutana na watu wanaonifahamu wananiuliza vp umemaliza chuo nawaambia bado wananiuliza unasomaga tu mpaka Leo, na ukicheki kidevu Chote kimechafuka ndevu basi najihisi unyonge!

Wakuu sina pesa ya kujisomesa miaka miwili iliyobaki diploma! Nimekaa tamaa natamani niombe mkopo mwaka huu niingie degree, nilienda kuulizia kama inawezekana kurudi chuon nikaambiwa mpaka niombe upya maana nimefutwa kwenye system ya chuo nilichosoma kipindi Cha mwanzo degree, kwa Sasa bodi ya mikopo niliwauliza kama naweza pata mkopo wakaniambia nilipe asilimia 25 ya mkopo niliotumia nikiwa chuoni ambayo nikipiga hesabu ni kama 687,000/= ndipo niombe mkopo ,
Yaani nimechoka wakuu hata iyo pesa ya chuo sina Wala hiyo ya kuomba mkopo sina,

Nipo DILLEMA, kwende diploma nimebakiza miaka miwili, lakini sina ada, nahofia miaka inazidi kwenda wakuu ! Naombeni ushauri nisubirie nipate ada nikamalizie diploma ya afya miaka miwili au nitafute pesa ya kuomba mkopo nikasome bachelor kwa kusomeshwa na serikali, Nina miaka 26 kwa Sasa wakuu.
Pole sana kaka kwa matatizo yaliyokupata.Binafsi nakushauri ufanye maamuzi magumu uachane na chuo kwa sasa na uanze kujitafuta kitaa(Najua ni ngumu na inauma kushindwa kutimiza ndoto zako lakini No way out!).

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu habarini! Nimekuja kwenu niweze kupata ushauri kwani waswahili husema " mficha maradhi kifo kinamuumbua"

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 , nilihitimu Elimu ya kidato Cha Sita mwaka 2019 na kupata ufaulu wa Division three point 13 katika tahasusi ya PCB , lakini nilitamani sana kusoma kozi ya udaktari sikufanikiwa kwa ngazi ya degree kutokana na ufaulu wangu nikaomba wazazi wanisupport niende diploma ya clinical medicine!

Hawakuhafiki haraka walinipinga na kunitaka nikasome degree kozi yoyote Ile , lakini niliwaomba sana wakanikubalia kishingo upande , Kutokana na kuchelewa dirisha la nacte nilishindwa kupata nafasi serikalini hivyo nikaenda private , nilisoma semester Moja tu chuo kikafungiwa Kutokana na kutokidhi vigezo vya usajili na hapo ndio kizungumkuti kilipoanzia.

Wazazi walianza kunilaumu na kuniambia Bora ungeenda degree ona wenzako uliomaliza nae wanaendelea mbele wewe unarudi nyuma dah kiukwel nilijisikia unyonge sana, na kipindi hicho familia ilipitia kipindi kigumu Cha madeni ya bank na kupelekea kuuzwa kwa nyumba tuliyokuwa tukiishi!

Basi nikawa mtu wa kukaa nyumbani, mwaka 2020 nikaomba kwa machozi nipewe nafasi niende chuo Cha degree chochote na kwakozi yoyote, nilifanikiwa kupata chuo japo suala la mkopo likawa mtihani mwingine, sikupata asilimia ya kutosha ivyo Kuna kiasi Cha ada kikubwa nikawa nalipia nilijikuta naingia kwenye madeni mengi nikiwa chuon ili kulipa ada nilifanikiwa kusoma semester Moja Ile naingia semester ya pili Mzee akaugua sana ikabidi pesa nyingi kutumika hospitalini huku chuon mambo yakazidi kuharibika.

Nikaandika barua ya kuahirisha mwaka Kisha nikaondoka kwenda kumuuguza Mzee Kwan mimi ndio wa kiume kwenye familia na ndio mkubwa! Nimekaa nikawa sina jinsi ya kurudi chuon maan hata pesa ya kuongeza kwenye ada sikuwa nayo! Wakati huo kumbuka tumepoteza nyumba na tupo nyumba ya kupanga!

Nilianza harakati nyingine za maisha lakini mwaka 2021 nilifanya maamuzi magumu ya kurudi kwenye kozi yangu ya udaktari na nikabahatika kupata chuo cha serikali, nilifurahi sana na nikaona huu ni muujiza nikaanza kusoma diploma hii ya udaktari japokuwa darasani nilikuwa ndio mkubwa wa darasa kama mjuavyo sikuhizi watoto wanamaliza form four wanaunga diploma.

Sasa maisha yakaanza changamoto zilikuwa nyingi nikipata supplimentary basi nakuwa kituko walimu wananiweka kituko mbele ya darasa dah Ile halo ikawa inanikata moyo sana Kila mtihani ukikaribia naandika barua ya kuomba kufanya bila kulipa ada maana bila ada wanazingua kukuruhusu!

Nilipomaliza mwaka wa kwanza Nikaandika barua ya kuahirisha Kwan pesa yote ikawa imeisha , nikaona nikajipange nirudi mwakani ambao ndio huu 2023! Lakini mpaka muda huu wakuu sina hata robo ya ada na nyumbani nashindwa kuwasumbua maana wapo kipindi kigumu sana, ikaja roho ya kukata tamaa nikitizama wenzangu wote niliomaliza nao Form six 2019 wamemaliza vyuo, basi nikikutana na watu wanaonifahamu wananiuliza vp umemaliza chuo nawaambia bado wananiuliza unasomaga tu mpaka Leo, na ukicheki kidevu Chote kimechafuka ndevu basi najihisi unyonge!

Wakuu sina pesa ya kujisomesa miaka miwili iliyobaki diploma! Nimekaa tamaa natamani niombe mkopo mwaka huu niingie degree, nilienda kuulizia kama inawezekana kurudi chuon nikaambiwa mpaka niombe upya maana nimefutwa kwenye system ya chuo nilichosoma kipindi Cha mwanzo degree, kwa Sasa bodi ya mikopo niliwauliza kama naweza pata mkopo wakaniambia nilipe asilimia 25 ya mkopo niliotumia nikiwa chuoni ambayo nikipiga hesabu ni kama 687,000/= ndipo niombe mkopo ,
Yaani nimechoka wakuu hata iyo pesa ya chuo sina Wala hiyo ya kuomba mkopo sina,

Nipo DILLEMA, kwende diploma nimebakiza miaka miwili, lakini sina ada, nahofia miaka inazidi kwenda wakuu ! Naombeni ushauri nisubirie nipate ada nikamalizie diploma ya afya miaka miwili au nitafute pesa ya kuomba mkopo nikasome bachelor kwa kusomeshwa na serikali, Nina miaka 26 kwa Sasa wakuu.
Pole sana! unayosema ni kweli hutokea katika maisha..... Jaribu kwenda kwa nabii Rolinga ukaombewe kama uko Dar, then God will give you direction....

Pia Mungu anamakusudi na wewe but devil yupo njiani kukuzuia!.....
hiyo ni roho ya kukataliwa rafiki!
 
Pole sana... unaonekana upo katika wakati mgumu sana kimaisha... wakati ulionao ndio wakati ambao vijana wengi hupoteza dira... Kwanza kabisa Unahitaji kutafuta kazi yoyote ili siku ipate kwenda... Na kwa haraka haraka nakushauri utafute Kampuni ya ulinzi mfano G4S Au yoyote ile... ukibahatika kupata fanya miezi kama 3 kisha omba kufanya kazi Night shift... Kwa kampuni kubwa mshahara ni around 300k+ hivi sasa, hivyo utajipanga na utachagua usome nini!!. ... unatakiwa uwe na Focus plus commitment ya kutosha... usisahau kumweka mungu mbele!!
 
Pia nafikiri, kama unaona elimu itakutoa kutoka ndani ya moyo wako basi tafuta mtu au mbunge wako muelezee hayo yote ili umalizie CO yako lkn sio huko degree ni worse siku hizi hakuna issue bora diploma.
Jambo la pili ikishindikana tafuta pesa kwa plan B ambayo ni street hustling kama wengi walivyo pendekeza.
 
Pole Sana mkuu kwa hayo magumu unayopitia muda huu, mi nakushauri uachane na mambo ya shule kwanza uende ukatafute ajira yoyote ujipange upya na mambo yakishakaa sawa utarudi kuendelea kusoma.

Mungu akufanyie wepesi katika kila Jambo🙏
 
Wakuu habarini! Nimekuja kwenu niweze kupata ushauri kwani waswahili husema " mficha maradhi kifo kinamuumbua"

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 , nilihitimu Elimu ya kidato Cha Sita mwaka 2019 na kupata ufaulu wa Division three point 13 katika tahasusi ya PCB , lakini nilitamani sana kusoma kozi ya udaktari sikufanikiwa kwa ngazi ya degree kutokana na ufaulu wangu nikaomba wazazi wanisupport niende diploma ya clinical medicine!

Hawakuhafiki haraka walinipinga na kunitaka nikasome degree kozi yoyote Ile , lakini niliwaomba sana wakanikubalia kishingo upande , Kutokana na kuchelewa dirisha la nacte nilishindwa kupata nafasi serikalini hivyo nikaenda private , nilisoma semester Moja tu chuo kikafungiwa Kutokana na kutokidhi vigezo vya usajili na hapo ndio kizungumkuti kilipoanzia.

Wazazi walianza kunilaumu na kuniambia Bora ungeenda degree ona wenzako uliomaliza nae wanaendelea mbele wewe unarudi nyuma dah kiukwel nilijisikia unyonge sana, na kipindi hicho familia ilipitia kipindi kigumu Cha madeni ya bank na kupelekea kuuzwa kwa nyumba tuliyokuwa tukiishi!

Basi nikawa mtu wa kukaa nyumbani, mwaka 2020 nikaomba kwa machozi nipewe nafasi niende chuo Cha degree chochote na kwakozi yoyote, nilifanikiwa kupata chuo japo suala la mkopo likawa mtihani mwingine, sikupata asilimia ya kutosha ivyo Kuna kiasi Cha ada kikubwa nikawa nalipia nilijikuta naingia kwenye madeni mengi nikiwa chuon ili kulipa ada nilifanikiwa kusoma semester Moja Ile naingia semester ya pili Mzee akaugua sana ikabidi pesa nyingi kutumika hospitalini huku chuon mambo yakazidi kuharibika.

Nikaandika barua ya kuahirisha mwaka Kisha nikaondoka kwenda kumuuguza Mzee Kwan mimi ndio wa kiume kwenye familia na ndio mkubwa! Nimekaa nikawa sina jinsi ya kurudi chuon maan hata pesa ya kuongeza kwenye ada sikuwa nayo! Wakati huo kumbuka tumepoteza nyumba na tupo nyumba ya kupanga!

Nilianza harakati nyingine za maisha lakini mwaka 2021 nilifanya maamuzi magumu ya kurudi kwenye kozi yangu ya udaktari na nikabahatika kupata chuo cha serikali, nilifurahi sana na nikaona huu ni muujiza nikaanza kusoma diploma hii ya udaktari japokuwa darasani nilikuwa ndio mkubwa wa darasa kama mjuavyo sikuhizi watoto wanamaliza form four wanaunga diploma.

Sasa maisha yakaanza changamoto zilikuwa nyingi nikipata supplimentary basi nakuwa kituko walimu wananiweka kituko mbele ya darasa dah Ile halo ikawa inanikata moyo sana Kila mtihani ukikaribia naandika barua ya kuomba kufanya bila kulipa ada maana bila ada wanazingua kukuruhusu!

Nilipomaliza mwaka wa kwanza Nikaandika barua ya kuahirisha Kwan pesa yote ikawa imeisha , nikaona nikajipange nirudi mwakani ambao ndio huu 2023! Lakini mpaka muda huu wakuu sina hata robo ya ada na nyumbani nashindwa kuwasumbua maana wapo kipindi kigumu sana, ikaja roho ya kukata tamaa nikitizama wenzangu wote niliomaliza nao Form six 2019 wamemaliza vyuo, basi nikikutana na watu wanaonifahamu wananiuliza vp umemaliza chuo nawaambia bado wananiuliza unasomaga tu mpaka Leo, na ukicheki kidevu Chote kimechafuka ndevu basi najihisi unyonge!

Wakuu sina pesa ya kujisomesa miaka miwili iliyobaki diploma! Nimekaa tamaa natamani niombe mkopo mwaka huu niingie degree, nilienda kuulizia kama inawezekana kurudi chuon nikaambiwa mpaka niombe upya maana nimefutwa kwenye system ya chuo nilichosoma kipindi Cha mwanzo degree, kwa Sasa bodi ya mikopo niliwauliza kama naweza pata mkopo wakaniambia nilipe asilimia 25 ya mkopo niliotumia nikiwa chuoni ambayo nikipiga hesabu ni kama 687,000/= ndipo niombe mkopo ,
Yaani nimechoka wakuu hata iyo pesa ya chuo sina Wala hiyo ya kuomba mkopo sina,

Nipo DILLEMA, kwende diploma nimebakiza miaka miwili, lakini sina ada, nahofia miaka inazidi kwenda wakuu ! Naombeni ushauri nisubirie nipate ada nikamalizie diploma ya afya miaka miwili au nitafute pesa ya kuomba mkopo nikasome bachelor kwa kusomeshwa na serikali, Nina miaka 26 kwa Sasa wakuu.
Pole mkuu, hayo yote nimeyapitia ila kaza mwamba tafuta mishe kwanza ya kufanya alafu badae utamalizia kusoma ukiwa na uhuru. Usikate tamaa, there is always a way out.
 
Mkuu mi mwenyewe ni pcm na Nina 26 na sikufanikiwa hata kupata diploma niliishia NTA level 4 ila Sina mpango wa kurudi school maana ada tu ni mtaji tosha. Wa kujisimamia mwenyewe. Ila kama hutojali apply physics mtaani kujifunza vitu vingine kama electronics, mechanics, welding, electricity ni rahisi sana kama physics ulielewa na electronics ni rahisi hata Kwa mtaji. Chuo acha nacho hiyo pcb ni maarifa makumbwa sana kama utaitumia vyema
 
Back
Top Bottom