Sipendi wanaume wasiojua kupika

Sipendi wanaume wasiojua kupika

Hapo kwenye kukuna nazi nisamehe bure laaziz.... bora nioshe vyombo tu!
Hahaha,sasa tutafanyaje baba watoto na mimi leo kiuno kimekataa kabisa siwezi kukuna nazi.... tule chukuchuku?
 
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.

Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.

Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.
Mwanaume apike halafu wewe ufanye nini? Utawapata wanawake wenzio na sio mwanaume.
 
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.

Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.

Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.
Mimi nipo salama kwa aina yeyote ya chakula
 
we papuchi umepewa na Mungu bure kuitoa bure huwezi mpaka utunyanyase wee

alafu hapa hakuna boys kuna wanaume. naona umesema kwenu wapo boy wawili na wewe sasa tangia leo hao sio boys ni wanaume sawa dada.
Kula kona mzee, we veeeepee, eehee
 
You sound so romantic Uhhh, hivi boys kaa nyie do exist au ur just impressing me with words? Aki imagine ur words make feel cold like ice cream I used to stole in my mom's fridge when I was 7 yrs. Mmmh kama nakufeel kwa mbali..... Get me couple of more... Yeah!!!!
Yesu Rudi Tu, dunia inatisha mbaya
 
Yaani hata akikuzidi nguvu, unamfanyia timing unampiga ambush la maana akishtuka anajikuta moi akiungwa ungwa mifupa na asiposhtuka anajikuta kino makaburini......hili linakua fundisho na kwa vizazi vijavyo
Elimu, elimu, elimu, mbongo yeye anajuaga timing Tu Na ujanja ujanja usiokuwa Na maana, pita hivo mzee
 
Kweli Dunia inaelekea mwisho,yaani wewe umkatae mwanaume kisa hajui kupika!!!,ungeniambia hajui kutafuta pesa sawa.lkn kwa hili haupo serious na maisha kabisa.
 
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.

Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.

Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.
Mi siwezi washa sigara
 
Bahati yako sijui kutukana. Kupika kwa mwanaume ni 'optional' na kwa mwanamke ni 'mandatory'

By the way, don't over rate yourself. What do you bring to the table? Una vitu gani hadi wanaume wakupikie wewe? If you have compensating attributes sidhani kuna atakae kataa,ila kama ni wale wa picha za 'sosho netiweki' full time (Which I believe you are) jipange upya and start learning to cook real fast, acha hizo phrase za kuaiga toka kwa movies, life in Tanzania is more than that!
Hakimu usikariri mzee, Kuna watu maisha yao yote tangu tumbon yamenyooka mbaya mbovu, Kuna wengine shida mwanzo mwisho, vile Mungu alivompangia mtu, badilika mwanaume cheza Na karne usicheze Na jinsia mwanaume
 
Kula kona kiana, ushamba mzigo
1.Bushland
2.sniperman

You guys mmeniipress.
What should I do with you guys?
Nimewapenda BUREEE kama elimu Bure ya Magufuli, although sijui kunaendaga vipi, maana, nikipitia jukwaa la siasa naona tu mezesha!!
 
1.Bushland
2.sniperman

You guys mmeniipress.
What should I do with you guys?
Nimewapenda BUREEE kama elimu Bure ya Magufuli, although sijui kunaendaga vipi, maana, nikipitia jukwaa la siasa naona tu mezesha!!
Njoo hapa arachuga mamii, Leo nilikuwa nabonga Na mama Wairimu pamoja Na mama jambii, after Easter ntakuja Nairobi mum
 
Unataka hivyo una nini?wanaume tunachagua wanawake maana mmejaa kama inzi wa soko la tandale
 
Back
Top Bottom