Sipendi wanaume wasiojua kupika

Sipendi wanaume wasiojua kupika

Sidhani kama kuna mtoto aliyezaliwa tanzania akakulia tanzania halafu asijue kupika iwe mwanaume au mwanamke.

Si lazima uwe mtaalam wa mapishi lkn atleast unaweza kuandaa msosi simple ukalika.

Mimi nimejifunza kupika nikiwa na miaka saba mpaka leo nimeoa.

Wakati wa uchumba, mchumba alikuwa ananitania eti napika chukuchuku yaani ni kutia maji, chumvi, kitunguu na.mafuta basi hamna mbwembwe.
Aisee musee wapo ,hiyo tamaduni ya kukaa jikoni kwa mwanaume huku sisi masaini hatuna ati
 
Bahati yako sijui kutukana. Kupika kwa mwanaume ni 'optional' na kwa mwanamke ni 'mandatory'

By the way, don't over rate yourself. What do you bring to the table? Una vitu gani hadi wanaume wakupikie wewe? If you have compensating attributes sidhani kuna atakae kataa,ila kama ni wale wa picha za 'sosho netiweki' full time (Which I believe you are) jipange upya and start learning to cook real fast, acha hizo phrase za kuaiga toka kwa movies, life in Tanzania is more than that!
Anyway, in short I don't depend on any man, what we have is enough for me, no need of supplementing to a man, may be stiff d*ck. What a man can do to me apart from d*ck? Money? Fur coat? Diamond chain? What? Car? Nothing tu. So ukileta ujinga nakufanya maiti kama king Konga.
 
kupika sawa ila suala la kuwasha sigara hilo hapana! uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya binadamu....kupika mi najua kupika tena vizuri sana pamoja na kuosha vyombo n.k ila kama wataka na suala la sigara ni bora uniruke futi 10,000 toka usawa wa bahari, huwezi kushabikia mtu anayevuta sigara na ukataka ndo awe mwanaume wako !
 
Nilikua namsaidia mpenzi wangu kupika na kufua sometimes, siku moja akanitolea nguo nifue, nilisikia hasira na kutetemeka kama nimepigwa shoti ya umeme, toka siku hiyo naishi ki mfumo dume tu
Uliyataka mwenyewe kazi kuiga uzungu tu ishi kiafrica
 
Madem wa siku hizi kazi kuiga uzungu wa gender balance za kishamba. Upikiwe, ufuliwe na bado hela upewe.. nonsense.. Acheni kuiga ishini kiafrika kama babu zetu. Wenzetu wazungu wanaweza gender balance course wanaweza kutegemeana kila kitu hadi pesa hamna cha mimi mwanamke wewe mwanaume kazi yako kunitunza... siku hizi utaskia ooh Mimi na baby boy wangu tumegegedana!!! Sema nimegegedwa na boy wangu. Na nyie madume semeni nimegegeda siyo tumegegedana na dem wangu.. hizo ni gender za kisasa babu zetu hawakuwa na hizo.
 
kupika sawa ila suala la kuwasha sigara hilo hapana! uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya ya binadamu....kupika mi najua kupika tena vizuri sana pamoja na kuosha vyombo n.k ila kama wataka na suala la sigara ni bora uniruke futi 10,000 toka usawa wa bahari, huwezi kushabikia mtu anayevuta sigara na ukataka ndo awe mwanaume wako !
Hahaha life is too short so lve vile unafeel.
 
Madem wa siku hizi kazi kuiga uzungu wa gender balance za kishamba. Upikiwe, ufuliwe na bado hela upewe.. nonsense.. Acheni kuiga ishini kiafrika kama babu zetu. Wenzetu wazungu wanaweza gender balance course wanaweza kutegemeana kila kitu hadi pesa hamna cha mimi mwanamke wewe mwanaume kazi yako kunitunza... siku hizi utaskia ooh Mimi na baby boy wangu tumegegedana!!! Sema nimegegedwa na boy wangu. Na nyie madume semeni nimegegeda siyo tumegegedana na dem wangu.. hizo ni gender za kisasa babu zetu hawakuwa na hizo.
17 th century suits your needs.
 
Mjifunze kupika ni kwa faida yenu. Sio muda wote mtaishi na watu wa kuwapikia siku nyingine wanakua hawapo
 
Kwa hiyo hela mpewe, dydyu mpewe, kupikiwa mpikiwe, ww mtoa mada una funza kichwan Co bure
 
Madem wa siku hizi kazi kuiga uzungu wa gender balance za kishamba. Upikiwe, ufuliwe na bado hela upewe.. nonsense.. Acheni kuiga ishini kiafrika kama babu zetu. Wenzetu wazungu wanaweza gender balance course wanaweza kutegemeana kila kitu hadi pesa hamna cha mimi mwanamke wewe mwanaume kazi yako kunitunza... siku hizi utaskia ooh Mimi na baby boy wangu tumegegedana!!! Sema nimegegedwa na boy wangu. Na nyie madume semeni nimegegeda siyo tumegegedana na dem wangu.. hizo ni gender za kisasa babu zetu hawakuwa na hizo.
We utakua hujui kupika wewe
 
Back
Top Bottom