sawa lakin ndoivyo mkisaidiwa to bas mnaweka ndo ratibaKwanza hatupikangi na makaa, PILI hiyo marage sikulagi, inafanya tumbo kuuma.
Unajua Sijaiangalia upande wa mleta mada....nimeangalia kupika kama kupika.
Ni vyema watoto wote bila kujali jinsia wakajua kupika. Maana ipo siku wataishi wenyewe au wenza wao kupata tatizo litakalohitaji huduma hiyo
"Inaonekana una malalamiko ka Mtoto wa kambo"Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.
Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.
Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.
Kunitolea nguo nifue ni dharau, mie nimkute anafua namsaidia au namwambia kaa hapo pembeni awe ananiongelesha mie nafua naskia faraja, au akinifurahisha naingia jikoni nampikia chakula, ila ndio nijisikie mwenyewe au aniombe kinamna namna aaaa.... you know!!!!!!!!!!! Hapo inakua burudaaaaani
Ropost: 15614107 said:Watoto wengi waliozaliwa na kutomuona baba yao wako hivi
Mwisho wa siku na wao hawaolewi bali kuzalishwa tu
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.
Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.
Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.
Watoto wengi waliozaliwa na kutomuona baba yao wako hivi
Mwisho wa siku na wao hawaolewi bali kuzalishwa tu
Yani wacha kabisaKama anajua kupika eeh unakuwa mtamu haswa..
Utafikiri unajua hata kuviandaa kama sio kuviona supermarket tuSpaghetti carbonara na avocados salad.
,....... Hii imenipa nguvu ya kujifunza kupika!!Msosi wa wanaume unakua mtamu kweli
Wapishi mahotelini Mbona wapo wengi tu?Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.
Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.
Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.
Njoo mtaani tukuonyeshe vile sisi huishi ,hakuna cha gari wewe panda matatu ,hakuna cha kebab hapa ni muhogo ..Mbwa kali na electric fance.