Sipendi wanaume wasiojua kupika

Sipendi wanaume wasiojua kupika

Kama ndio uvivu useme sio uwapendi wanakushangaaa sna wanawake wezio
 
47pro ni binti anaekuja kwa kasi sana na anatishia nafasi ya manguli kwenye jukwaa hili kwiiii kwiiiii nipo pembeni nausoma mchezo kwanza uku nikisubiri arudi toka Kenya kipindi cha likizo.
 
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.

Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.

Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.

Bahati yako sijui kutukana. Kupika kwa mwanaume ni 'optional' na kwa mwanamke ni 'mandatory'

By the way, don't over rate yourself. What do you bring to the table? Una vitu gani hadi wanaume wakupikie wewe? If you have compensating attributes sidhani kuna atakae kataa,ila kama ni wale wa picha za 'sosho netiweki' full time (Which I believe you are) jipange upya and start learning to cook real fast, acha hizo phrase za kuaiga toka kwa movies, life in Tanzania is more than that!
 
Nairobian chick, with that attitude, do you really have the luxury to pick the type of man you want?? Cuz it's often the no standards, who set standards, online.

What you're saying is cool, but the tone.
 
Najua kupika chakula cha ladha na ninafrahia kujipikia,ila siwezi kujipa utumwa wa kukupikia mwanamke kwa zaidi ya mara moja ,hamkawii kuwafanya watu maboya
 
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.

Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.

Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.
Mi mbona najua kupika,kuanzia jikoni hadi kitandani....
 
Inaelekea hukuishi na baba yako au kwenu watoto wa kiume walikuwa wakipika, hilo si baya ila kusema mwanaume akija kukutembelea lazima akupikie inaonesha huna adabu na sababu kubwa ni kutopata malezi kamili kutoka kwa wazazi wako wawili.
Kumbe malezi mazuri ni yale ya mwanaume kutokupika?
 
Kama hajui kupika mfundishe taratibu tu(ila kama ana huo utayari) kama hana usimlazimishe, kuna ambao walivyolelewa ni kuwa mtoto wa kiume haingii jikoni nawe umelelewa kuwa ni kawaida mtoto wa kiume kupika, so hapo malezi yametofautiana, either mkompromise au mkatane tu.
 
Sidhani kama kuna mtoto aliyezaliwa tanzania akakulia tanzania halafu asijue kupika iwe mwanaume au mwanamke.

Si lazima uwe mtaalam wa mapishi lkn atleast unaweza kuandaa msosi simple ukalika.

Mimi nimejifunza kupika nikiwa na miaka saba mpaka leo nimeoa.

Wakati wa uchumba, mchumba alikuwa ananitania eti napika chukuchuku yaani ni kutia maji, chumvi, kitunguu na.mafuta basi hamna mbwembwe.
 
Huyu mwandishi kanifurahisha sana ... Huwa sie wnaume tuna vyo pika kama upo pembeni haina tofauti na mtu anaye solve equations tena yale quadratic maana everything has formula yaani unashuka na hizo mboga kama vile una make s kuwa subject...huku time ikiwa ndo mwingozo wa kila kitu... Na ikitokea kama umesahau kutia chumvi utakuja kukumbuka mwishoni wkati msosi ukiwa mezani...

Upikaji wetu ni wa ki sanaaa zaidi
 
47pro ni binti anaekuja kwa kasi sana na anatishia nafasi ya manguli kwenye jukwaa hili kwiiii kwiiiii nipo pembeni nausoma mchezo kwanza uku nikisubiri arudi toka Kenya kipindi cha likizo.
....teh teh teh...hivi kwahiyo huyu mbulumundu pia kaitumia hiyo likizo(Kenya vile umesema?) kubadili jinsia?
...ukishausoma mchezo niandikie notes mkuu,mi ntadesea kwako!
...ha ha ha ha ha
 
Safi sana nakuelewa usemacho, mimi nina mke bahati nzuri bado hatujajaliwa kuwa na mtoto, kwa hiyo sote tunajishughulisha na shughuli za kutafuta maisha.

Siku moja wikendi mke wangu hana kazi nyingi, na wala haumwi nikamkuta anafua uani akaniambia nimsaidie.
Nilitamka wazi wazi nikamwambia thubutu mimi sina mapenzi ya kuigiza ya kihindi kama zimekushinda niambie nipeleke kwa dobi. Alimindi kidogo lkn hajarudia tena na alishajua mimi ni mtu wa namna gani kwenye mambo ya kijinga.
 
Safi sana nakuelewq usemacho, mimi nina mke bahati nzuri bado hatujajaliwa kuwa na mtoto, kwa hiyk sote tunajishughulisha na shughuli za kutafuta maisha.

Siku moja wikendi mke wangu hana kazi nyingi, na wala haumwi nikamkuta anafua uani akaniambia nimsaidie.
Nilitamka wazi wazi nikamwambia thubutu mimi sina mapenzi ya kuigiza ya kihindi kama zimekushinda niambie nipeleke kwa dobi. Alimindi kidogo lkn hajarudia tena na alishajua mimi ni mtu wa namna gani kwenye mambo ya kininga.
 
47pro ni binti anaekuja kwa kasi sana na anatishia nafasi ya manguli kwenye jukwaa hili kwiiii kwiiiii nipo pembeni nausoma mchezo kwanza uku nikisubiri arudi toka Kenya kipindi cha likizo.
Hahaha.... Ngoja nipotee tena.
 
Back
Top Bottom