Sipendi wanaume wasiojua kupika

Sipendi wanaume wasiojua kupika

Ila kupika kwa mwanaume sio dhambi tatizo awa dadazetu ukimsaidia to kupika bas ishakua shida utaambiwa ubandika ad maarage na kuongeza mkaa
Kwanza hatupikangi na makaa, PILI hiyo marage sikulagi, inafanya tumbo kuuma.
 
ndo maana........ kwa hakika wanawake wa huku hawana hiyo tabia uliyonayo hahahahahahaha....
Hahaha... They are still living in Renaissance period, wakifika enlightenment period ndo utajua raila hatakaa akuje kuwa prezzo wa kenya.
 
Spaghetti carbonara na avocados salad.
Watoto wa kishua, shida sana. Vyakula vyote ulivyotaja ni vile unavyokulaga pale hotelini. Mtihani nikwambie eleza namna ya kupika vyakula sasa. Watoto wa kishua 50:50 bado hawajaielewa kabisa.
 
Watoto wa kishua, shida sana. Vyakula vyote ulivyotaja ni vile unavyokulaga pale hotelini. Mtihani nikwambie eleza namna ya kupika vyakula sasa. Watoto wa kishua 50:50 bado hawajaielewa kabisa.
Very simple kutengeneza carbonara, boil ur spaghetti, toanisha maji, then hamisha kwa sufuria empty, washa gas, weka spaghetti, then changanya na maziwa mgando ziive at a time in the same container for 15 mints after hiyo serve. & so if you don't know how carbonara is prepared atleast today umejua.
 
Nakupikia day one baada ya kukutumbua kibox manyoya kibao kinageuka hutaki sepaa
 
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.

Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.

Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.

Me nimefundishwa kupika nikiwa darasa la 4, hakuna aliyezaliwa anajua kupika au kufua au kufanya lolote. Kila siku ya maisha yetu tunajifunza vitu kutokana na Mazingira. Sisi mama ametufundisha kupika kwa sababu walipoolewa dada zetu tukabaki wenyewe ikabidi tujue kupika, si unajua habari za misiba na harusi....
So never say never....
 
Jamani tunazungumzia kupika huku huku au ni tafsida!
 
Yaani mimi, mwanaume kama hajui kupika kiukweli nitamruka futi 3,000 kutoka usawa wa bahari.

Yaani utapata boy hajui kuwasha hata sigara, achilia jiko, yaani kama ni hajui kupika pita hivi yaani.

Maana ukinitembelea weekend, lazima uonyeshwe jiko, upike.Wanaume jifunzeni hata kuchemsha maji ya kuoga na kuwasha sigara.
Kigezo cha kutokujua kupika hakina nguvu sana katika suala la kumkubali au kumpiga chini mwanaume. Vipo vitu ( sifa ) zaidi zinazoangaliwa na tarajiwa kutoka kwa mwanaume, lakini sio ilo la kutokujua kupika.

Speaking from a practical point of view
 
Back
Top Bottom