Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,428
basi ondoa shaka mamii, utafurahi na roho yako!!!Yaani mpaka naskia kufa
basi ondoa shaka mamii, utafurahi na roho yako!!!Yaani mpaka naskia kufa
Take it easy bro!!!Watoto wengi waliozaliwa na kutomuona baba yao wako hivi
Mwisho wa siku na wao hawaolewi bali kuzalishwa tu
Kumbe bado mtoto wewe, ukikuwa utaelewa, hongera kwa kuwa mtoto wa mwisho.Hahaha... Mkuu mbona kama umepanic? Of course kwetu tupo WATATU, boys wawili afu me wa mwisho, yaani full kupikiwa.
Hahaha.... Career yako fupi kushinda Benjamin mkapa.Nilikua namsaidia mpenzi wangu kupika na kufua sometimes, siku moja akanitolea nguo nifue, nilisikia hasira na kutetemeka kama nimepigwa shoti ya umeme, toka siku hiyo naishi ki mfumo dume tu
Kabla hamjafika kwa baba yake na malezi yake.....Inaelekea hukuishi na baba yako au kwenu watoto wa kiume walikuwa wakipika, hilo si baya ila kusema mwanaume akija kukutembelea lazima akupikie inaonesha huna adabu na sababu kubwa ni kutopata malezi kamili kutoka kwa wazazi wako wawili.
Ni jambo zuri kila mtu ajue kupika ila sio kupika kwa sababu aliyoitoa huyo mtoto.Kabla hamjafika kwa baba yake na malezi yake.....
Kuna ubaya gani mwanamume akijua kupika????
Atachubuka mikono?
Uanaume wake unakwisha?????
Au mwanaume hasikii njaa?
Na anapoanz kujitegemea ina maana anakuka magengebi (ni sifa???)
Woooh, I like you, tell me what you want? A fur coat? Ooh Dimond chain?Kabla hamjafika kwa baba yake na malezi yake.....
Kuna ubaya gani mwanamume akijua kupika????
Atachubuka mikono?
Uanaume wake unakwisha?????
Au mwanaume hasikii njaa?
Na anapoanz kujitegemea ina maana anakuka magengebi (ni sifa???)
haya tuchekiane basi w'end ndo hii acha maneno mingi!!!Hahaha na umwambiye awache mezesha to Nairobery gals, hatupendi ufala za machalii.
Okey I will be pretending on kitchen as well then later we will pretend eating....Pretending on a sofa haha...