Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,899
- 4,623
Weweeee huko kujiongeza kwa wasio elimu ni sawa na ni jambo la maana ila usisahau kuwa kujiongeza kwa wasio elimu kumo ndani ya mifumo eliyoandaliwa na wenye elimu.Hyo elimu unayoitaka haisaidii watu kibao wanaangaika kitaa.
Na elimu yako bila kujiongeza utabaki kuwa zero
Hata hivyo elimu hutafutwa ila akili mtu huzaliwa nayo. Hakuna mwenye akili asiyemtafuta elimu(a power tool)