Simpendi faizafoxy...sijui kwanini

Simpendi faizafoxy...sijui kwanini

Hapana, kuna kila dalili za upendo kati yenu! tena upendo wa kufa mtu! fanyeni mpango muonane uso kwa uso.
 
Mimi na wengine wachache tunaingia tunapokosa kazi, Lakini wengine wako kazini humu ndani ya JF, Jifunze kutofautisha.
 
Go go go faizer foxy, Hapa kuna watu wanapigia debe Chadema bila msishiko wowte sembuse, sisi tunaolipwa cho chote na Nape? Mkono mtupu haulambwi, mkono wenye asali ya Nape ndo tunaulamba. Kazi kwake.
 
achana nao wasio na adabu..
kubishana nao ni kujipa tabu
bora utulie upike vyako vitumbua
halafu unikaribishe mzee wa vitumbua...[/QUOTE]


Hahahahaha lol!...Mzee wa vitumbua vilivyonona lol!!! naona unapiga bomu kwa kutumia beti 🙂🙂 Kila la heri.
 
There is a thin line between Love and Hate.....:A S-heart-2:
 
Faiza Foxy mwenyewe hajipendi utampenda vipi? Sana sana umponde badala ya kumpenda kwa vile anakataa jinsia yake na kuishi kwenye ulimwengu chakavu wa miaka 2000 iliyopita kule jangwa arabu.
 
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!

Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
Unahuakika kama yeye anakupenda??
 
Sasa kama hujui kwanini humpendi unaanzisha thread ya nini sasa??

Watu wengine bana kujaza saver bila hata sababu za msingi sijui mkoje

Wewe kama hupendi michango na mabishano yake kuna option hapo

ya kuweka ignore list ili usione michango yake shida iko wapi tena???

Ndio maana NAKUPENDA DA.
 
pasco, tofauti yako na ff ni moja tu, ff anaweka misimamo yake wazi pamoja na interest za misimamo yake hata ka,ma ni misimamo ya kipuuzi kabisa.
Wewe ndugu yangu huweki wazi misingi ya misimamo yako.

Ila najua kwenye 'wazee wetu wa kariakoo' hauelewani na ff.....tehe tehe
Memo, mbona misimamo yangu yote iko wazi, mimi naegemea kwenye kweli tupu!. Mimi sio mwanachama wa chama chochote na sio mshabiki wa chama chochote bali naikubali CCM kuwa ndicho chama tawala na pia naikubali Chadema kuwa ndicho chama pekee chenye mwelekeo. Wengi wa members humu ni ama mashabiki wa CCM, ili usimame imara kwenye sisi lazima uwe muongo. Yaani CCM inaendelea kushinda based on lies, hivyo kama mimi ni mkweli wa dhati, siwezi kuishabikia CCM. Members wengi zaidi humu ni washabiki wa Chadema, tatizo la Chadema ni building false hopes bila strategies, hivyo watu kujenga matumaini mema kwa ndoto. Ukishaujua ukweli unasimama wapi, wewe simama kwenye kweli, utachukiwa, utabezwa, ila ukweli ule unaposimama na kutimia, waliokubeza, japo hawatakiri hadharani, kimoyo moyo watakuheshimu!.

Sio kweli kuwa sielewani na FF, tofauti yangu na FF sio wazee wetu wale, bali ni chuki zake binafsi dhidi ya kiongozi wetu mmoja Mtukufu. Basis ya chuki hizo za FF dhidi ya kiongozi huyo ziko based kwenye tofauti ya dini!. Yaani viongozi wa dini fulani kwake ni malaika!.
 
Umenikiumbusha:
Kulikuwa kuna "komedi" show ya TV zamani nilipokuwa nje ya TZ. Inaitwa "non stop nonsense" inaudhi watu hakuna aipendae lakini ikifika time yake kila mtu anaifatilia.

Na wewe unajidai hunipendi lakini kama hunioni unantafuta. Leo hujaniona muda mrefu ukanifungulia nyuzi. Nakupenda.
FaizaFoxy achana na huyo amekosa neno la kusemaa mabinadamu ndivyo tulivyo we songa mbele bana...siku ikipita sijaona threads yako huwa sina raha go baby..gooooooo
 
Back
Top Bottom