only83, pole!....Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
only83, pole!.
Usipompenda wewe, wenzako tamtamani!.
Ila pia hata kama ungempenda au usimpende, nadhani haijalishi kitu as long as humlishi wala humvishi!.
Huyu FF ni miongoni mwa vichwa vya ukweli humu jf japo....
umeonaee!! mijitu mingine sijui ikoje!!
hapa unachukua nafasi ya ff kumjibu au unaungana na huyo mbeba box kushangaa kwamba mtoa mada anajipendekeza!?!!
kwa kila kitu!!!
This is too bad mkuu Mwita...Is better to dislike somebody behavior and not religious faith...Religious war is something bad and never try this mkuu...
Mijitu mizima masaburi yanalia mbwata
Afu wee siku nikikunyonya macho ndo utajua mie mbeba mabox au mbeba vijiti vya nyama
Wana CCM utawajua tu...mawazo yao yamekaa ki- Mwigulu Mwigulu tu!Ntakuita gesti ntakayoenda kuwashikia ushuhudie live
Rejao na comments zako rejareja....
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
only83, pole!.
Usipompenda wewe, wenzako tamtamani!.
Ila pia hata kama ungempenda au usimpende, nadhani haijalishi kitu as long as humlishi wala humvishi!.
Huyu FF ni miongoni mwa vichwa vya ukweli humu jf japo....
Wana CCM utawajua tu...mawazo yao yamekaa ki- Mwigulu Mwigulu tu!
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
Siriaz???????
thank God hilo jukwaa la siasa silipendi
huwa mnadiskas nini?
Au ndo zile za Manzese vibarazani wanadiskas uchumi wa marekani
wakati hawana redio wala Tv
data wanapata wapi?
Rejao, beba mitu yako mwondoke barazani kwangu
Pole sana Only83. Shida FF ana majibu ya kung'ata. Ndiyo maana wengi wanakerwa naye. Anakung'ata anakuacha unachuruzika damu yeye anapotea. Utamkuta mbele ya safari tena.
faizafoxy hapendi anachokifanya'ni kazi na analipwa'nataka ujue ff sio mtu bali kikundi cha watu wengi'ndio maana walijisahau wakaonyesha ile kitu ya kuwa online 24hrs'hakuna haja ya kuwachuukia