Sijawahi kumchukia mtu yeyote - kumbuka hilo.
Ushabiki wa kisiasa au wa Simba na Yanga hauwezzi kufanya niwachukie binadam wenzangu.
Sijawahi kumchukia mtu yeyote - kumbuka hilo.
Ushabiki wa kisiasa au wa Simba na Yanga hauwezzi kufanya niwachukie binadam wenzangu.
Naupenda sana Msimamo wa huyu Dada, anajua kupanga hoja na kuitetea kwa evidence ya facts! Anaonekana ni mjuzi wa mambo mengi, I have respect for this lady!
Hahahahaa sawa dadangu, ila sometimes huwa unaonesha chuki za dhahiri kwa wasio wa chama chako, au hasa wasio wa dini yako!
Sijawahi kumchukia mtu yeyote - kumbuka hilo.
Ushabiki wa kisiasa au wa Simba na Yanga hauwezi kufanya niwachukie binadam wenzangu.
Nisome vizuri tu, hakuna chuki, mimi nipo hapa kutowa darsa zaidi.
Kwanini nikuchukie? Kwa kuwa wewe unataka kumchaguwa babu gonjwa anaejinyea? Hapana, siwezi kukuchukia kwa hilo nnakuona kuwa ni mpumbavu tu. Yule yule uliyekuwa ukimnadi kuwa ni fisadi leo unatwambia siyo fisadi!
Hata nyerere mkatoloki.?
Hata lowassa ya kweli hayo?
Naam, sijawahi kumchukia mtu, mimi husema ukweli tu. Either Black or White, no gray shades.
Mbona nilisema Maalim seif Sharrif hafai kuwa Rais, na yeye ni Mkatoliki au Mlutheri? - Fikiri
Hahaha....mie na faizafoxy hatupendani, tena sanasana kipindi hiki cha uchaguzi ila kikipita tu, tutajifunza kupendana!
Kumchukia bibi kizee uyo ya nn..bibi kizee aliyeruka steji za makuz
Pengine ni mshia na wewe ni msunni!!!?
Kumchukia bibi kizee uyo ya nn..bibi kizee aliyeruka steji za makuz
Hahahahaa lakini hata kaka yako ni mgonjwa pia mbona??? nimebadili msimamo wangu baada ya kuona yy amekuwa ni mtaji kwny chamq changu na anaonesha upinzani mkali dhidi ya chama chenu😉
Mama'ko vipi karuka stages za znpunʞW?