Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,637
- 675
Mkuu huwezi kumchukia mtu bila sababu za msingi, labda mtazamo wako kwa huyu FF ni tofauti na alivyo yeye. unaweza kuwa unamchukia kwa sababu binafsi au kwa sababu tuu ya msimamo wake katika uchangiaji wake, binadamu ndivyo tulivyo kujenga chuki na mtu ambae hata profile yake hatuifahamu....licha ya kuwahi kuonana uso kwa uso. badili mtazamo kifikra vinginevyo atakusababishia hasara pale unajikuta unaharibu computer yako.