Naam, sijawahi kumchukia mtu, mimi husema ukweli tu. Either Black or White, no gray shades.
Mbona nilisema Maalim Seif Sharrif na Shein wa CCM hawafai kuwa Rais, na wao ni Wakatoliki au Walutheri? - Fikiri
Wakati wa kura za maoni chaguo langu la Urais lilikuwa Augustino Ramadhani, naye ni Muislam? Fikiri.
sio wewe.
Umeshajiuliza anapataga mda saa ngapi japo kusafisha injini yake?
Mwanamke gani hana mipaka.
hamuonani mnachukiana mkionana je?
Faiza si mwanamke. Ni mwanaume huwa anatumia identity ya mwanamke.
Kwi kwi kwi teh teh teh wengi sana wako kama wewe, hiyo ni sifa kwangu.
Nimefundishwa kuandika kiume humu humu JF.
Uislam umenifundisha kuwa Muislam haukunifundisha kuwa Sunni wala Shia.
Qur'an 2:208. Enyi mlio amini! Ingieni katika Uislamu kwa ukamilifu, wala msifuate nyayo za She'tani; hakika yeye kwenu ni adui aliye wazi. ***
Taratibu Mkuu, ataka "kumuweka ndani!"
Naona ustaadhina unavyojikimbia mwenyewe .
Anyway welcome back mfumokristo.
faiza foxy nampenda sana ingawa mimi ni mkristo ana msimamo thabiti sana hapendi kuteteleshwa kabisa.
hivi una miaka mingapi mama yangu
Amekubania nn?
Tofauti zetu ziishie kwenye misimamo yetu tu,hakuna sababu ya kuchukiana.
Abaniwe nini huyo hata ya kuanuliwa hayawezi?
Huyo Mchagga, si unajuwa hata wanawake wakichagga wameomba Wakenya waende wakawashughulikie, wachagga hawana uwezo, sababu kubwa ni kula mtori, pombe na ndafu zinawapunguzia nguvu za kiume.
Wale, papa, wali, kisamvu, mhogo, pweza, samaki waone khabar zake.
Mhogo na kisamvu nnasikia kwao mwiko! Na wale Wamasai nnasikia kwao samaki mwiko!
Ndiyo maana wanashindwa kuzaliana sana, na tarehe 25 October 2015 tunawapiga bao kwa kuwa hawana kizazi cha kutosha!
Hawajamsikia Bi Kidude na Mhogo wa Jang'ombe?