Simba inaweza kufuzu Kombe la Dunia la Vilabu 2025 bila kuchukua ubingwa wa CAF

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,129
7,898
Baada ya ripoti ya FIFA kutoka kuhusiana na ushiriki wa Simba katika Kombe la Dunia la Vilabu 2025, kumezuka malumbano mbalimbali. Kuna upande umekuwa unasema Simba hawezi kwenda kushirki mashindano yale bila kuchukua Ubingwa wa Klabu Bingwa Africa msimu huu na kwa mtazamo wao ana nafasi sawa na Yanga.

Simba - FIFA Club World Cup.jpg


Jana baada ya kushiba pilau langu la Krismasi, nikaangalia vizuri mkeka mzima wa FIFA nikaona Simba ana nafasi ya kwenda Kombe la Dunia bila kuwa bingwa wa CAF ndiyo maana hata wao katika chapisho lao wameonyesha Simba ni miongoni mwa timu zinazoweza kufuzu kwa points inazoendelea kujikusanyia. Hapa chini nitaenda kukuonyesha ni jinsi gani hilo linaweza kutokea.

Kwanza nianze kwa kusema, Simba mpaka sasa amejikusanyia point 48 na siyo 45 kama ilivyoainishwa na FIFA kwa sababu ile ripoti iliandaliwa kabla ya mechi ya mwisho ambayo Simba ilishinda 2-0 dhidi ya Wydad.

Tukienda kimahesabu tu, Simba inaweza kufuzu bila kuchukua kombe la CAF Klabu Bingwa kama mambo 3 yatatimia:

1. Bingwa msimu huu awe Al Ahly au Mamelodi

2. Esperance apoteze mechi mbili zilizobaki za makundi na atolewe katika mashindano ya klabu bingwa

3. Simba ashinde mechi mbili zilizobaki za Makundi halafu ashinde mechi zote mbili za robo fainali, halafu ashinde zote mbili za nusu fainali. Katika fainali Simba inahitaji angalau ipate sare moja

Mambo yote matatu yakitimia, Simba atafikisha point 76 sawa na Esperance. Sijajua FIFA watatumia kigezo gani iwapo hali hii itatokea ya timu mbili kulingana point katika rank.

Tuishi humo.

Haki zote za bandiko hili zimehifadhiwa.
 
Ukimaliza kupiga mahesabu ya Simba kumfikia Es Tunis, basi anza kupiga na mahesabu ya Belouizdad na Petro de luanda ambao wote hao ni bora kitakwimu na kiubora kuliko Simba.

Mimi ni shabiki wa Simba ila Njia pekee ya Simba kuingia Club word cup ni kushinda CAF hiyo miujiza mingine ya Point Tuondoe kichwani.
 
Baada ya ripoti ya FIFA kutoka kuhusiana na ushiriki wa Simba katika Kombe la Dunia la Vilabu 2025, kumezuka malumbano mbalimbali. Kuna upande umekuwa unasema Simba hawezi kwenda kushirki mashindano yale bila kuchukua Ubingwa wa Klabu Bingwa Africa msimu huu na kwa mtazamo wao ana nafasi sawa na Yanga.

View attachment 2853423

Jana baada ya kushiba pilau langu la Krismasi, nikaangalia vizuri mkeka mzima wa FIFA nikaona Simba ana nafasi ya kwenda Kombe la Dunia bila kuwa bingwa wa CAF ndiyo maana hata wao katika chapisho lao wameonyesha Simba ni miongoni mwa timu zinazoweza kufuzu kwa points inazoendelea kujikusanyia. Hapa chini nitaenda kukuonyesha ni jinsi gani hilo linaweza kutokea.

Kwanza nianze kwa kusema, Simba mpaka sasa amejikusanyia point 48 na siyo 45 kama ilivyoainishwa na FIFA kwa sababu ile ripoti iliandaliwa kabla ya mechi ya mwisho ambayo Simba ilishinda 2-0 dhidi ya Wydad.

Tukienda kimahesabu tu, Simba inaweza kufuzu bila kuchukua kombe la Klabu Bingwa CAF kama mambo 3 yatatimia:

1. Bingwa msimu huu awe Al Ahly au Mamelodi

2. Esperance apoteze mechi mbili zilizobaki za makundi na atolewe katika mashindano ya klabu bingwa

3. Simba ashinde mechi 2 zilizobaki za Makundi halafu ashinde mechi zote mbili za robo fainali, halafu ashinde zote mbili za nusu fainali na aingie fainali. Akiingia fainali, Simba haihitaji kushinda mechi hata moja ingawa akitoka sare angalau mechi moja itakuwa nzuri zaidi

Mambo yote matatu yakitimia, Simba atafikisha point 75 sawa na Esperance. Sijajua FIFA watatumia kigezo gani iwapo hali hii itatokea ya timu mbili kulingana point katika rank.

Tuishi humo.
Mara ya mwisho kufika nusu fainali ilikuwa mwaka gani??
 
Baada ya ripoti ya FIFA kutoka kuhusiana na ushiriki wa Simba katika Kombe la Dunia la Vilabu 2025, kumezuka malumbano mbalimbali. Kuna upande umekuwa unasema Simba hawezi kwenda kushirki mashindano yale bila kuchukua Ubingwa wa Klabu Bingwa Africa msimu huu na kwa mtazamo wao ana nafasi sawa na Yanga.

View attachment 2853423

Jana baada ya kushiba pilau langu la Krismasi, nikaangalia vizuri mkeka mzima wa FIFA nikaona Simba ana nafasi ya kwenda Kombe la Dunia bila kuwa bingwa wa CAF ndiyo maana hata wao katika chapisho lao wameonyesha Simba ni miongoni mwa timu zinazoweza kufuzu kwa points inazoendelea kujikusanyia. Hapa chini nitaenda kukuonyesha ni jinsi gani hilo linaweza kutokea.

Kwanza nianze kwa kusema, Simba mpaka sasa amejikusanyia point 48 na siyo 45 kama ilivyoainishwa na FIFA kwa sababu ile ripoti iliandaliwa kabla ya mechi ya mwisho ambayo Simba ilishinda 2-0 dhidi ya Wydad.

Tukienda kimahesabu tu, Simba inaweza kufuzu bila kuchukua kombe la Klabu Bingwa CAF kama mambo 3 yatatimia:

1. Bingwa msimu huu awe Al Ahly au Mamelodi

2. Esperance apoteze mechi mbili zilizobaki za makundi na atolewe katika mashindano ya klabu bingwa

3. Simba ashinde mechi 2 zilizobaki za Makundi halafu ashinde mechi zote mbili za robo fainali, halafu ashinde zote mbili za nusu fainali na aingie fainali. Akiingia fainali, Simba haihitaji kushinda mechi hata moja ingawa akitoka sare angalau mechi moja itakuwa nzuri zaidi

Mambo yote matatu yakitimia, Simba atafikisha point 75 sawa na Esperance. Sijajua FIFA watatumia kigezo gani iwapo hali hii itatokea ya timu mbili kulingana point katika rank.

Tuishi humo.
Hizi hesabu za "WAKI", "TUKI" ni hesabu ngumu kuwahi kutokea 😂😂
 
Ukimaliza kupiga mahesabu ya Simba kumfikia Es Tunis, basi anza kupiga na mahesabu ya Belouizdad na Petro de luanda ambao wote hao ni bora kitakwimu na kiubora kuliko Simba.

Mimi ni shabiki wa Simba ila Njia pekee ya Simba kuingia Club word cup ni kushinda CAF hiyo miujiza mingine ya Point Tuondoe kichwani.
Hizo hesabu mwalimu wangu wa math akiziona atajivunia sana mwanafunzi wake. Hayo ya CRB na de Luanda yamejumuishwa katika hivo vigezo vitatu, ndiyo hapo utaona jinsi gani jambo hili pamoja na kwamba ni gumu lakini linawezekana.
 
Baada ya ripoti ya FIFA kutoka kuhusiana na ushiriki wa Simba katika Kombe la Dunia la Vilabu 2025, kumezuka malumbano mbalimbali. Kuna upande umekuwa unasema Simba hawezi kwenda kushirki mashindano yale bila kuchukua Ubingwa wa Klabu Bingwa Africa msimu huu na kwa mtazamo wao ana nafasi sawa na Yanga.

View attachment 2853423

Jana baada ya kushiba pilau langu la Krismasi, nikaangalia vizuri mkeka mzima wa FIFA nikaona Simba ana nafasi ya kwenda Kombe la Dunia bila kuwa bingwa wa CAF ndiyo maana hata wao katika chapisho lao wameonyesha Simba ni miongoni mwa timu zinazoweza kufuzu kwa points inazoendelea kujikusanyia. Hapa chini nitaenda kukuonyesha ni jinsi gani hilo linaweza kutokea.

Kwanza nianze kwa kusema, Simba mpaka sasa amejikusanyia point 48 na siyo 45 kama ilivyoainishwa na FIFA kwa sababu ile ripoti iliandaliwa kabla ya mechi ya mwisho ambayo Simba ilishinda 2-0 dhidi ya Wydad.

Tukienda kimahesabu tu, Simba inaweza kufuzu bila kuchukua kombe la CAF Klabu Bingwa kama mambo 3 yatatimia:

1. Bingwa msimu huu awe Al Ahly au Mamelodi

2. Esperance apoteze mechi mbili zilizobaki za makundi na atolewe katika mashindano ya klabu bingwa

3. Simba ashinde mechi 2 zilizobaki za Makundi halafu ashinde mechi zote mbili za robo fainali, halafu ashinde zote mbili za nusu fainali na aingie fainali. Akiingia fainali, Simba haihitaji kushinda mechi hata moja ingawa akitoka sare angalau mechi moja itakuwa nzuri zaidi

Mambo yote matatu yakitimia, Simba atafikisha point 75 sawa na Esperance. Sijajua FIFA watatumia kigezo gani iwapo hali hii itatokea ya timu mbili kulingana point katika rank.

Tuishi humo.
Umepoteza muda wako kuhanganika na hesabu za point sizokwenda popote. Katika Nafsi 4 za Afrika, tatu zitapatikana kwa CAF Championship, halafu moja itapatikana kwa points. Mpaka sasa timu za Al Ahly na Wydad zimefikisha matakwa ya CAF Championship na Mamelod imefikisha matakwa ya points. Kwa hiyo nafasi iliyobaki sasa ni ya Championship ya tatu tu. Hakuna maelezo ya tiebreaker iwapo Al Ahly au Wydad watakuwa Champion tena
 
Umepoteza muda wako kuhanganika na hesabu za point sizokwenda popote. Katika Nafsi 4 za Afrika, tatu zitapatikana kwa CAF Championship, halafu moja itapatikana kwa points. Mpaka sasa timu za Al Ahly na Wydad zimefikisha matakwa ya CAF Championship na Mamelod imefikisha matakwa ya points. Kwa hiyo nafasi iliyobaki sasa ni ya Championship ya tatu tu. Hakuna maelezo ya tiebreaker iwapo Al Ahly au Wydad watakuwa Champion tena
Hayo maelezo yapo ni wewe tu useme haujui. Pia muda wangu wala usikuumize ninavyoutumia
 
Hayo maelezo yapo ni wewe tu useme haujui. Pia muda wangu wala usikuumize ninavyoutumia
unatumia muda wako vibaya kwa kujuzaia server. nenda kijiweni upige soga bila kujaza server utagundua kuwa hakuna mtu ataumizwa na jinsi unvyotumia muda wako.
 
Baada ya ripoti ya FIFA kutoka kuhusiana na ushiriki wa Simba katika Kombe la Dunia la Vilabu 2025, kumezuka malumbano mbalimbali. Kuna upande umekuwa unasema Simba hawezi kwenda kushirki mashindano yale bila kuchukua Ubingwa wa Klabu Bingwa Africa msimu huu na kwa mtazamo wao ana nafasi sawa na Yanga.

View attachment 2853423

Jana baada ya kushiba pilau langu la Krismasi, nikaangalia vizuri mkeka mzima wa FIFA nikaona Simba ana nafasi ya kwenda Kombe la Dunia bila kuwa bingwa wa CAF ndiyo maana hata wao katika chapisho lao wameonyesha Simba ni miongoni mwa timu zinazoweza kufuzu kwa points inazoendelea kujikusanyia. Hapa chini nitaenda kukuonyesha ni jinsi gani hilo linaweza kutokea.

Kwanza nianze kwa kusema, Simba mpaka sasa amejikusanyia point 48 na siyo 45 kama ilivyoainishwa na FIFA kwa sababu ile ripoti iliandaliwa kabla ya mechi ya mwisho ambayo Simba ilishinda 2-0 dhidi ya Wydad.

Tukienda kimahesabu tu, Simba inaweza kufuzu bila kuchukua kombe la CAF Klabu Bingwa kama mambo 3 yatatimia:

1. Bingwa msimu huu awe Al Ahly au Mamelodi

2. Esperance apoteze mechi mbili zilizobaki za makundi na atolewe katika mashindano ya klabu bingwa

3. Simba ashinde mechi 2 zilizobaki za Makundi halafu ashinde mechi zote mbili za robo fainali, halafu ashinde zote mbili za nusu fainali na aingie fainali. Akiingia fainali, Simba haihitaji kushinda mechi hata moja ingawa akitoka sare angalau mechi moja itakuwa nzuri zaidi

Mambo yote matatu yakitimia, Simba atafikisha point 75 sawa na Esperance. Sijajua FIFA watatumia kigezo gani iwapo hali hii itatokea ya timu mbili kulingana point katika rank.

Tuishi humo.

Haki zote za bandiko hili zimehifadhiwa.
Leo ndiyo nimegundua kuwa pilau huwa linalevya.
 
Back
Top Bottom