Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,783
- 24,215
•••|CAF KUFUTA KOMBE LA SHIRIKISHO
- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.
- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.
Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu
Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????
NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??
- Rais wa Shirikisho la Soka Barani Africa Dkt. Patrice Motsepe amesema inawezekana mashindano ya CAF Confederation (Kombe la Shirikisho) yakaondolewa.
- Sababu kubwa ameeleza kuwa ni wingi wa michuano inayosimamiwa na Shirikisho hilo huku hayaingizi fedha ya kutosha.
Why nimeitaja Simba hapo juu
Kwasababu msimu huu Kuna upinzani mkali kwenye Ligue hasa kwenye nafasi ya pili na tatu
Inajulikana ubingwa utabebwa na Yanga ...then nafasi ya pili Kwa Azam na ndio watakaoenda CAF champions Sasa Simba itakuaje?????
NB: Au tuendelee kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi cup mwakani??