Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Mbona Mwalimu wangu wa history alikuwa amemaliza degree lakin luga alikuwa hajui lakin tulipasua A na B tupu kwenye somo lake nakumbuka Mwalimu huyu alikuwa mdada aliwahi kumuuliza mwanafunzi swali yule mwanafunzi akawa halijui akasema you Jessica I askingi you ze kwesheni but you sit down like the pumpkin in the garden halafu alikuwa Ni muha hivo aliitoa kilafudhi ya kiha basis ililuwa raha yule Mwalimu akiongea kingereza tulikuwa tunafurah sana
 
Ndo maana Nyerere alisema wako waswahili ambao jambo la kipumbavu likizungumzwa kizungu linaonekana lina maana sana.
 
Hiyo mbona kawaida mkuu tena shule ya kata :tongue: ukiona miyeyusho we msogezee pale IST ngeli kama rula imenyookaa mtoto wako atakua anavunja mayai tu :yo:
 
Nimesoma maoni mengi ya watu humu na kubaki nashangaa tu,kweli watanzania ubongo umejaa mavi na funza,hata kama English ni lugha ya kigeni mwalimu hatakiwi aongee broken,ni upuuzi wa hali ya juu kumshangaa mtoa mada,ndo maana akaitwa mwalimu,kwamba he should be competent in relevant matters,sisi watanzania ni mavilaza kuliko africa nzima.Ndo maana nakutana na vijana wengi akili imelala kabisa ana milioni moja mfukoni eti anatafuta kuhonga apate kazi badala aizalishe,rejea kauli ya Mkapa,watanzania ni wavivu wa kufikiri.
Safi mkuu, ila tafsida kidogo mkuu; nakuunga mkono mkuu, ila tujaribu kutumia tafsida hata kama tumekerwa.
 
Semeni yote na mtakapomaliza mkumbuke kuwa medium of instruction kwa shule za sekondari ni kiingereza kwa hapa bongo....... Kwa hiyo km mwalimu hawezi kuimudu hiyo lugha itakuwa vigumu sana kueleweka kwa wanafunzi wake.... Ikumbukwe kuwa kanuni ya kuelewa ni kusikia na kuona... Halafu kufikiri kunafuata baadaye... Km mwanafunzi anashindwa kuelewa neno au sentensi iliyotamkwa na mwalimu wake, je huoni km itamgharimu muda mwingi ktk kujenga hoja ya mada husika??? Je atawezaje kujibu maswali ya mtihani ambao utatungwa kwa lugha hiyo?? Mwalimu mzembe au mbovu atazalisha mwanafunzi wa aina hiyohiyo, japokuwa hii siyo principle.. Hatufundishi grammar wala tense ktk English lkn ni lazima utakachokisema kieleweke moja kwa moja bila kuwa na mawaa..... English ni english na geography ni geography lkn hoja yako ilenge uelewa kwa sentensi mahiri kwa kutumia lugha fasaha...... Huyo Mwalimu ajifunze lugha sawasawa..... Nawasilisha
 
Leo nimetembelea shule moja ya Kata nikashuhudia kituko cha mwaka kutoka kwa mwalimu mmoja shuleni hapo.

Mwalimu huyo amehitimu Chuo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) hivi karibuni na akaajiriwa moja kwa moja kufundisha katika shule hiyo ya Kata.

Wakati akiendelea kufundisha nilimsikia akiwauliza wanafunzi swali hili: WHERE DOES IT LOCATED?

Inaonekana ni mwalimu wa somo la Jiographia, hivyo alikuwa akiwauliza wanafunzi wake wamtajie location ya kitu fulani kwenye ramani.

Jamani, hapa ndipo shule za kata zilipotufikisha. Ikiwa mhitimu wa Chuo Kikuu anaongea kiingereza kibovu kama hiki, tena mbele ya wanafunzi,mnategemea wanafunzi anaowafundisha watapata maarifa gani kutoka kwake?

Chukulia huyu ni mwalimu wa Kidato Cha Kwanza, wanafunzi wake wanaoambiwa kila siku "SPEAK ENGLISH" wataiga kiingereza gani kutoka kwake? Si ndio atawapoteza kabisa?

Ikiwa walimu hawajui kiingereza unategemea nini kutoka kwa wanafunzi wao? Haya ndio madhara ya serikali yetu kuchanganya elimu na siasa. Tumekwisha hasa!!

Good idea lakini ingekuwa vizuri kama ungemuuliza yeye mwenyewe au wahusika wa hiyo shule....pili huna uhakika wa mazingira ya hiyo statement ilitolewa katika muktadha gani....tatu unahis kukosea hiyo statement kutaathiri somo zima la Geography? Hapana kuna cha kujifunza kwenye hilo somo zaidi ya hilo lako...tatu wewe kama hujui nn kinafanya ualimu ukamalike huwez jadili madhaifu yao
Reminds you fanya yako achana na ya wenzio pia nina walakini na education level yako
 
Nimesoma maoni mengi ya watu humu na kubaki nashangaa tu,kweli watanzania ubongo umejaa mavi na funza,hata kama English ni lugha ya kigeni mwalimu hatakiwi aongee broken,ni upuuzi wa hali ya juu kumshangaa mtoa mada,ndo maana akaitwa mwalimu,kwamba he should be competent in relevant matters,sisi watanzania ni mavilaza kuliko africa nzima.Ndo maana nakutana na vijana wengi akili imelala kabisa ana milioni moja mfukoni eti anatafuta kuhonga apate kazi badala aizalishe,rejea kauli ya Mkapa,watanzania ni wavivu wa kufikiri.

asante sana mkuu wiseboy. nawashangaa watu wanavyomtetea mhitimu wa chuo kikuu kwa kushindwa kujenga sentensi sanifu halafu watu wanakuja kumtetea humu! hata mtoto wangu wa grade 3 hawezi kuongea kiingereza broken kama hicho sembuse msomi wa chuo kikuu? haya ni maajabu ya musa na yanawezekana Tanzania tu kwa kuwa ni nchi ya maajabu. ndio maana nchi haipigi hatua kwa kuwatetea wazembe badala ya kuwanoa au kuwawajibisha. nakupongeza sana kwa kuliona hili mkuu
 
Last edited by a moderator:
Sio JOGRAFIA ni JIOGRAFIA. na usifananishe typing errors na grammar errors....ni vitu viwili tofauti kabisa.

CC:mwalimu FaizaFoxy
Kiswahili hujui mbulumundu wewe! Jiografia ni kutohoa kiingereza! Kiswahili chake ni Jografia labda kama hujusoma kiswahili!! Labda kama hicho ndo Kiswahili mnachofundisha na Bibi FaizaFoxy!
 
Mbona Mwalimu wangu wa history alikuwa amemaliza degree lakin luga alikuwa hajui lakin tulipasua A na B tupu kwenye somo lake nakumbuka Mwalimu huyu alikuwa mdada aliwahi kumuuliza mwanafunzi swali yule mwanafunzi akawa halijui akasema you Jessica I askingi you ze kwesheni but you sit down like the pumpkin in the garden halafu alikuwa Ni muha hivo aliitoa kilafudhi ya kiha basis ililuwa raha yule Mwalimu akiongea kingereza tulikuwa tunafurah sana

hahahahaha! mkuu umenikumbusha mwalimu wetu wa historia (maarufu kwa jina la RUBA). kuna siku alikuwa anafundisha jinsi wakoloni walivyokuwa wakiwapata watumwa kwa kuvizia:

"THEY HIDE, THEY HIDE...THEY COME, THEY COME...HWAAAA!!!!!"

wakati anatamka hivyo akawa amejificha chini ya dawati, akimalizia kusema hwaaa, anaruka na kuonyesha ishara ya kudaka mtu (akiashiria ni jinsi gani wakoloni walikuwa wakijificha kuwakamata waafrika na kuwafanya watumwa). ni balaa si mchezo.
 
Nimekusoma vema mkuu williewillie. Umeijenga hoja yako vizuri sana. Mwenye akili atakuelewa isipokuwa wale mburula wanaotetea uzembe na kuuhalalisha.
 
Last edited by a moderator:
Good idea lakini ingekuwa vizuri kama ungemuuliza yeye mwenyewe au wahusika wa hiyo shule....pili huna uhakika wa mazingira ya hiyo statement ilitolewa katika muktadha gani....tatu unahis kukosea hiyo statement kutaathiri somo zima la Geography? Hapana kuna cha kujifunza kwenye hilo somo zaidi ya hilo lako...tatu wewe kama hujui nn kinafanya ualimu ukamalike huwez jadili madhaifu yao
Reminds you fanya yako achana na ya wenzio pia nina walakini na education level yako

"REMINDS YOU" uliyoandika hapo chini ndio nini? afadhali nimejua education level yako kabla hujaijua ya kwangu. hizi shule za kata zimewaharibu akili.
 
pamoja na kwamba mtoa mada inaonekana anatoka kwenye mkoa mmoja hivi ambao ili uonekane umesoma ni lazima ujue kiingereza sana.

lakini nawewe umeongeza chunvi nyingi sana.

Ukweli sijaongeza chumvi yo yote. I heard the guy. Nilimwona anajizungusha kana kwamba dunia inajizungusha and at the same time rotating around the sun. Tena alikuwa na globe.
 
hahaa elimu ya kitanzania magumashi tuu hata yeye mwalimu wake alimfundisha hivyo sasa unategemea nn by the way alitakiwa aseme vipo hahaa maama na mimi ni kama huyu tuu
 
hahahahaha! mkuu umenikumbusha mwalimu wetu wa historia (maarufu kwa jina la RUBA). kuna siku alikuwa anafundisha jinsi wakoloni walivyokuwa wakiwapata watumwa kwa kuvizia:

"THEY HIDE, THEY HIDE...THEY COME, THEY COME...HWAAAA!!!!!"

wakati anatamka hivyo akawa amejificha chini ya dawati, akimalizia kusema hwaaa, anaruka na kuonyesha ishara ya kudaka mtu (akiashiria ni jinsi gani wakoloni walikuwa wakijificha kuwakamata waafrika na kuwafanya watumwa). ni balaa si mchezo.

Hii nayo kali hakika. Mbona aliyewahi kuwa naibu waziri wa elimu aliwahi kusema: Niko very care. I am very care when I speak with teachers.
 
Kukosoa kusema kiingereza unajikosoa mwenyewe, lughayetu ni kiswahili huko kwingine utawaonea wengi
 
Hii ndiyo hali ya elimu yetu Tanzania.Siku moja na mimi niliwasikia watangazaji wawili kwenye radio station fulani hapa nchini wakiendesha kipindi kwa kiingereza.My God, the sentences they were making were not sentences but a mere collection of words!Nikajiuliza,hivi huyo owner wa hiyo station haoni kwamba ni aibu hata kwake yeye mwenyewe binafsi kwa vijana wale kuwa on air na kimombo kile?Lakini nika-conclude kwamba labda yeye mwenyewe hajui kwamba hawajui,otherwise asingewaruhusu kuwa on air.Hiyo ndio Tanzania,aibu tupu.
Leo nimetembelea shule moja ya Kata nikashuhudia kituko cha mwaka kutoka kwa mwalimu mmoja shuleni hapo.

Mwalimu huyo amehitimu Chuo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) hivi karibuni na akaajiriwa moja kwa moja kufundisha katika shule hiyo ya Kata.

Wakati akiendelea kufundisha nilimsikia akiwauliza wanafunzi swali hili: WHERE DOES IT LOCATED?

Inaonekana ni mwalimu wa somo la Jiographia, hivyo alikuwa akiwauliza wanafunzi wake wamtajie location ya kitu fulani kwenye ramani.

Jamani, hapa ndipo shule za kata zilipotufikisha. Ikiwa mhitimu wa Chuo Kikuu anaongea kiingereza kibovu kama hiki, tena mbele ya wanafunzi,mnategemea wanafunzi anaowafundisha watapata maarifa gani kutoka kwake?

Chukulia huyu ni mwalimu wa Kidato Cha Kwanza, wanafunzi wake wanaoambiwa kila siku "SPEAK ENGLISH" wataiga kiingereza gani kutoka kwake? Si ndio atawapoteza kabisa?

Ikiwa walimu hawajui kiingereza unategemea nini kutoka kwa wanafunzi wao? Haya ndio madhara ya serikali yetu kuchanganya elimu na siasa. Tumekwisha hasa!!
 
Kiingereza sii lugha mama kwa huyo mwl. Hivyo hakuna la ajabu hapo.
 

Attachments

  • 1429984275581.jpg
    1429984275581.jpg
    62.8 KB · Views: 113
Back
Top Bottom