tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,179
- 27,778
- Thread starter
- #241
Hii nayo kali hakika. Mbona aliyewahi kuwa naibu waziri wa elimu aliwahi kusema: Niko very care. I am very care when I speak with teachers.
hahahaha! umeona eeh? ile ya mulugo kusema tanzania ni muungano kati ya zanzibar na zimbabwe ndio ilikuwa kali zaidi.