Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

We ulitaka asemeje we ulisome shule za pesa na walimu wakutosha mwenzio kakariri coz alikuwa hana walimu wa kutosha kukariri ndo usiseme akirudi home aende kuchunga mbuzi saa mbili akachote maji na makazi kibao asubuhi afagie uwanja apikie wazazi wake chai ili wakiamka wanywe waende kushinda kwa vibarua wewe ulikuwa unafuliwa na hgirl unapikiwa unasoma kwa umeme we acha tu .HUNA LOLOTE WEWE NI UJINGAUJINGA TU BY THE WAY IM SORRY
 
We ulitaka asemeje we ulisome shule za pesa na walimu wakutosha mwenzio kakariri coz alikuwa hana walimu wa kutosha kukariri ndo usiseme akirudi home aende kuchunga mbuzi saa mbili akachote maji na makazi kibao asubuhi afagie uwanja apikie wazazi wake chai ili wakiamka wanywe waende kushinda kwa vibarua wewe ulikuwa unafuliwa na hgirl unapikiwa unasoma kwa umeme we acha tu .HUNA LOLOTE WEWE NI UJINGAUJINGA TU BY THE WAY IM SORRY

tatizo la ukosefu wa walimu wa kutosha shuleni linachingwa na UJINGA wako. kivipi? wewe ndiye unayewapigia kura mafisadi na wakishaingia madarakani huanza kufisidi mali za umma hadi fedha za kuajiri walimu wa kutosha pamoja na kuboresha mazingira ya shule zinakosekana.

suluhisho:
chukua hatua ya kuwaondoa mafisadi hawa mwezi wa Oktoba kupitia sanduku la kura.
 
acha umbea ungekua ww ndo unaweza we ndo ungeajiliwa!!pamoja na huko kujiona unaweza bado sirikali haikutambui

Jamani ni vema kujitahidi kuwa mahiri kwa mambo mbalimbali. Sasa hata kiswahili nacho kitushinde jamani.


Mfano mdogo: Ajira sio ajila. Hivyo ni kuajiriwa na sio kuajiliwa. Watanzania mi nadhani badala ya ubishi ni kuangalia tumekosea wapi tuparekebishe. Kuhusu wachina tunasema tu lakini hata nao walishtuka mapema tu nakuanza kukazania Kiingereza. Issue hapa ni kuwa kujua kiswahili tu sio kwamba utashindwa kuishi hapana lakini unaweza kuongeza fursa zaidi ukijua pia lugha nyingine za ziada. Hata hao wachina wenye fursa nyingi zaidi ni wale wanaojua lugha za ziada kama kiingereza.
Halafu wakati mwingine tunajifananisha na wachina ambao wenzetu kitechnolojia wako mbali mno. Wana kamusi za kielectronic za kuwatafsiria licha ya juhudi kubwa ya kujifunza kiingereza waliyonayo kwa sasa.
 
Jamaa alishakuja hapa na story ya kwenda kumtembelea jamaa yake chuo kikuu akakuta watu wanaangalia porno akaponda eti badala ya kusoma wanaangalia mambo yetu.

Sasa na hii ya huyu ticha kisa amemaliza chuo kikuu kakosea ngeli jamaa anachonga.

Ninahisi jamaa kinamuuma sana kushindwa kwenda chuo kikuu ndo maana kila mara anakuwa anawatafutia kasoro watu qa chuo kikuu.

Hii lugha sio yetu, ukimsikiliza rais wa nchi mwenyewe gramar zinanchomoa pamoja na kuwa amesoma, amekaa wizara ya mambo ya nje, ulaya na US anaenda kama vile mimi navyoenda Ubungo Posta na ni Rais lakini bado ngeli ni shida.

kutosoma chuo kikuu tanzania kuna uma wengi. naonaga huwa wanavyojaribu kuongea vitu negative
 
kutosoma chuo kikuu tanzania kuna uma wengi. naonaga huwa wanavyojaribu kuongea vitu negative

kwa hiyo wasomi wa chuo kikuu wakifanya makosa wasisahihishwe wala kukemewa au unataka kusema nini?
 
kwa hiyo wasomi wa chuo kikuu wakifanya makosa wasisahihishwe wala kukemewa au unataka kusema nini?

nataka kusema kuwa,mti wenye matunda ndio hupigwa mawe. ukikuta mtu anarusha mawe kwenye mti wa mchongoma ujue kuna walakini
 
nataka kusema kuwa,mti wenye matunda ndio hupigwa mawe. ukikuta mtu anarusha mawe kwenye mti wa mchongoma ujue kuna walakini

na mti ambao una nyoka hatari mwenye sumu unaachwa ili yule nyoka aje aue watu?
 
ndugu zangu hizi shule za CCM (aka shule za kata) ni majanga. leo tena nimeenda kwenye shule hii nikamkuta mwalimu anafundisha somo la mathematics nimebaki kinywa wazi....20% ya mafundisho yake anafundisha kwa kiingereza (tena kibovu) na 80% anafundisha kwa kiswahili. sasa hii imegeuzwa kuwa shule ya msingi sio ya sekondari tena!
 
Hao wanafunzi kama ni kutoka mikoa ya Pwani, Dodoma au Tanga na mikoa mingine waliokumbatia manyang'au ccm, safi sana. Hongera sana tcha. Hopefully, you are there with a mission.

Wakome hao wanafunzi. Wakome wakomae kama gari la Bwana Nkoma lilivyokoma kwenda Nkome kupitia Kome. Vizaliwe vipanya,.. Sorry, vi ccm visivyojua kuongea kimombo.
 
Hao wanafunzi kama ni kutoka mikoa ya Pwani, Dodoma au Tanga na mikoa mingine waliokumbatia manyang'au ccm, safi sana. Hongera sana tcha. Hopefully, you are there on mission.

Wakome hao wanafunzi. Wakome wakomae kama gari la Bwana Nkoma lilivyokoma kwenda Nkome kupitia Kome. Vizaliwe vipanya,.. Sorry, vi ccm visivyojua kuongea kimombo.
 
ndugu zangu hizi shule za CCM (aka shule za kata) ni majanga. leo tena nimeenda kwenye shule hii nikamkuta mwalimu anafundisha somo la mathematics nimebaki kinywa wazi....20% ya mafundisho yake anafundisha kwa kiingereza (tena kibovu) na 80% anafundisha kwa kiswahili. sasa hii imegeuzwa kuwa shule ya msingi sio ya sekondari tena!

Hzo ulizosoma wewe hadi kuwa na uwezo kung'amua makosa km haya kwenye ufundishaji, zilikuwa za Ukawa?
 
Mzungu mmoja alikosea kutamka Mburahati akatamka mbolohat. Ila waliomsikiliza wakamwelewa.
 
Tatizo si la mwalimu au shule za kata ila katoka mfumo wa elimu
 
Hao wanafunzi kama ni kutoka mikoa ya Pwani, Dodoma au Tanga na mikoa mingine waliokumbatia manyang'au ccm, safi sana. Hongera sana tcha. Hopefully, you are there on mission.

Wakome hao wanafunzi. Wakome wakomae kama gari la Bwana Nkoma lilivyokoma kwenda Nkome kupitia Kome. Vizaliwe vipanya,.. Sorry, vi ccm visivyojua kuongea kimombo.

Huna akili, Niko huku bara afu kuanzia wabunge hadi madiwani CCM, tena sasa hivi ndo huwaambii kitu kuhusu Pombeee ..

Sasa nenda Mtwara, Pwani kule afu waambie kuhusu CCM uone kilinchontoa kanga manyoya....

Njoo na hoja nyingine
 
WE are learnign through mistakes. Anajifunza mwenzio hivyo mwisho wa siku atakupiga gap
 
Mzungu mmoja alikosea kutamka Mburahati akatamka mbolohat. Ila waliomsikiliza wakamwelewa.


Na mwingine alipotea junction ya kuelekea chuo cha vikindu alichokitaja sithubutu kuandika
 
tpaul,WW UTAKUA MSOMI WA KUFUSHI WE MWENYEWE UMEIKOSEA POST YAKO,SI JAJUA UNAELIMU KIASI GANI INAVYOONEKANA NAWE UMEFUNDISHWA NA WALIMU HAOHAO WA KATA.MWL.SIO MUNGU, NDO MAANA KUNAKUJIENDELEZA KAZINI
.YAWEZEKANA ALIKUWA ANATAKA WANAFUNZI WAONESHE KITU KILICHO HALI YA MAZOEA.VINGINEVYO KAMASIKOSEI UNATABIA ZA KIKE.
 
Back
Top Bottom