KERO Shule ya Msingi NANJANGA haina nyumba ya mwalimu

KERO Shule ya Msingi NANJANGA haina nyumba ya mwalimu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Shule ya Msingi NANJANGA iliyopo kata ya Ngunja Halmashauri ya Tandahimba haina nyumba ya mwalimu kitu ambacho kinalazimika mwalimu mkuu kulala ofisini.

Muda wa kazi ukiisha, ofisi inageuzwa kuwa chumba cha kulala.

Shule hii ina walimu sita, wanafunzi 150 na imeanzishwa mwaka 2016. Haina nyumba hata moja ya mwalimu.

Hali hii inapelekea usiamamizi usio na tija kitaaluma na maendeleo ya shule

20260604_141921.jpg
20260604_141906.jpg
20260604_141853.jpg
 
Back
Top Bottom