Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Wadau leo naona wamevurugwa vibaya. Tangu comment ya kwanza nadhani hadi itakayokua ya mwisho, Yaani wanaua chawa kwa nyundo dah!! Muelewesheni vizuri tu amekoma.
 
Leta mada za msingi na sio kudhalilisha walimu kijana.
 
Wachina na wajerumani wenye maendeleo makubwa wanajua Kiingereza ?, pili ushasema ni mwl. wa Geography si kosa lake Tatu ww kwa siku Kiswahili lugha yako unachapia mara ngapi ? Nne ; watoto wenu mlokuwa mnawepeleka Kusoma Uganda na Kenya miaka michache ilopita mbona hamuwapeleki baada ya kuona watoto wanaendelea kuwa vilaza Tano Rekebisha ulitaka Mwl. aseme vp.

TANO: wewe unaona alichokitamka msomi huyu wa chuo kikuu mwenye digrii ya daraja la kwanza ni sahihi? sio hatari kwa msomi kama huyu kuwafundisha wanafunzi wake kingereza kibovu?

SITA: tusiangalie tulipoangukia bali tuzingatie pale tulipojikwalia. mfumo wa elimu yetu ulivurugwa tangu utawala wa Nyerere na waliomfuatia wamezidi kuididimiza zaidi elimu yetu. hapa ndipo tunapaswa kuanzia kutatulia ubovu wa elimu hii mbovu tunayoirithisha kwa vizazi vyetu.

cc: FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Kosa dogo sana hilo, we ndo unaonekana una uwezo mdogo wa kufikiri, yaan hata hili ni la kuleta huku?

wewe unaona hili ni dogo? kwa bahati mbaya sikuweza kumrekodi lakini katika maneno 10 aliyokuwa akiongea 8 ni ya kuchapia. sasa hapo kuna mwalimu au majanga?
 
Kwa sasa kusema shule za kata tunakosea, hizi ni shule za Wananchi au Community School.
 
nikisema ; ( I m comming tommorrow ) nitakuwa nimekosea ? ninyi ndo mlofundishwa kuwa kuna three types of tenses

kwa hiyo unatetea kwamba alichokiongea huyu mwalimu ni sahihi au unataka kusemaje?
 
Post ya kibweg.e kabisa,kingereza inaonekana kinakubana sana Bwana mdogo. Acha ujinga.
 
Muhimu ni contents. Nafikiri kwa swali hili ilieleweka nini anamaanisha. Hilo ni kosa dogo ambalo halibadilishi maana mzima au kusudio husika. English sio lala mama kwa wengi wetu. Kama kiswahili kuna watu waliozaliwa na kuishi bongo na mpaka umri wao bado hawajui tofauti ya R na L sembuse "Kiinglish".

Ulisema somo la JIOGRAFIA, nafikiri amewasilisha lengo, Grama itakuwa kazi ya mwalimu wa Kiinglish

mkuu, kwa hiyo unataka kusema kwamba walimu wa masomo mengine ni ruksa kuwapotosha wanafunzi kwa kingereza kibovu isipokuwa kwa walimu wa english tu?
 
Kwa hiyo ww unadhani kujua kiingereza ndiyo kuelimika. Bora huyo mwl kuliko wewe

soma vizuri maelezo yangu kwanza. kwa hiyo kuwafundisha wanafunzi kwa kingereza kanyaboya ndio kuwaelimisha au kuwapotosha?
 
Niliwahi kumsikia mwingine akifundisha F2 geography akasema hivi: the earth rotate in its own axis. It go, it go, it stops. Wakati anasema hivyo na yeye anajizungusha.

pamoja na kwamba mtoa mada inaonekana anatoka kwenye mkoa mmoja hivi ambao ili uonekane umesoma ni lazima ujue kiingereza sana.

lakini nawewe umeongeza chunvi nyingi sana.
 
Wachina na wajerumani wenye maendeleo makubwa wanajua Kiingereza ?, pili ushasema ni mwl. wa Geography si kosa lake Tatu ww kwa siku Kiswahili lugha yako unachapia mara ngapi ? Nne ; watoto wenu mlokuwa mnawepeleka Kusoma Uganda na Kenya miaka michache ilopita mbona hamuwapeleki baada ya kuona watoto wanaendelea kuwa vilaza Tano Rekebisha ulitaka Mwl. aseme vp.

Mmmh mkuu umenena....kiswahil tu mtu anakosea kuandika hata kuongea sembuse kingereza...waswahil bwana..
 
mkuu mleta mada hebu andika hiyo sentensi namna ambayo ni sahihi. Wewe umeandika alichodhani na inawezekana huyo mwalimu alikuwa anazungumzia kitu kingine kabisa.
 
nikisema ; ( I m comming tommorrow ) nitakuwa nimekosea ? ninyi ndo mlofundishwa kuwa kuna three types of tenses
uko sawa kaka,haujakosea ,sema where does it located? ni kosa kubwa la lugha.
 
Leta mada za msingi na sio kudhalilisha walimu kijana.
Kukosoa ni kudhalilisha?
Kwa mwalimu tena mhitimu wa chuo kikuu haikubaliki
Ukitetea kuchapia huku hata akisema Kibaha ipo Tanga utamtetea
Kumbuka anayefundishwa ataamini hivyo
Mwalimu anatakiwa afundishe kilicho sahihi
Tuache kuchakachua na kuungaunga mambo
 
Huyo mwalimu hata hajakosea wewe ndio hujui kingereza, hyo ni active voice na ipo sahihi kabisa. Ebu sahihisha ya kwako tuione!

du! kumbe wachapiaji mpo wengi?
 
Back
Top Bottom