Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Kasoma english kozi kwa Ras Simba basi anajiona msomi, anawachalenji waloenda shule.
 
Yani kosa hilo ndio limekua maajabu Ya Dunia? Haya kantangaze na mie nimeacha kula Samaki wakubwa nakula viduchu, tena na ugali kisamvu na kachumbari ....

View attachment 246095
 
Niliwahi kumsikia mwingine akifundisha F2 geography akasema hivi: the earth rotate in its own axis. It go, it go, it stops. Wakati anasema hivyo na yeye anajizungusha.

Thank you...for such a wonderful post.
 
Kaka elimu yako ni level gani?

level ya elimu yangu inahusianaje na ubovu wa elimu duni inayotolewa nchini Tanzania? kuna uhusiano gani na kusiasishwa na kuvurugwa kwa makusudi kwa elimu yetu na wanasiasa uchwara huku wananchi mmekaa kimya?
 
Elimu Ni Ujuzi Siyo Cheti
sasa Kuna mwenyewe Cheti Kizuri Mambo Hayawezi

hapa ndipo penye tatizo. utamkuta mtu ana cheti cha first class lakini kichwani ni mweupe kuliko maelezo! kuna jambo haliko vizuri kuhusu elimu yetu na tusipokuwa makini wasomi wetu watakuwa hawaajiriki kwenye soko huria la ajira ndani ya EAC. tutakuwa wageni wa nani? na utakuta wengi wa walimu kama huyu ni wale watoto wa wakulima walalahoi waliosoma kwenye hizi shule zilizovurugwa zinazoitwa SHULE ZA KATA! hili tatizo la uduni wa elimu linazidi kuwa sugu siku hadi siku. ipo siku hata walimu wa chuo kikuu watashindwa kuwasiliana na wanafunzi wao kwa kingereza fasaha.
 
Sio porno mkuu, alimkuta jamaa akicheza game kwenye laptop ikamuuma mbayaa, anataka jamaa wakamue kitabu 24/7 bila kupumzika. Inawezekana jamaa ana aleji na watu wa UDSM
Huyu jamaa Hata chuo sidhani kama ameenda na kama kaenda atakuwa anasoma UDOM amma SAUT....
 
Mleta mada anza na ajabu la Kikwete kusema "manufacturing of teachers".c.c FaizaFoxy
 
Huyu jamaa Hata chuo sidhani kama ameenda na kama kaenda atakuwa anasoma UDOM amma SAUT....

hata kama sijaenda shule hatuwezi kuruhusu elimu yetu idunishwe na wanasiasa huku tukikenua mimeno kama majuha. lazima tufanye maamuzi magumu kuwadabisha hawa wanasiasa majuha waliodunisha elimu yetu na kutufikisha hapa tulipo. tutaishia kugombana bure huku watu waliotufikisha hapa wakiendelea kujineemesha kwa kutumia rasilimali za umma. tafakari, chukua hatua!
 
Hivi ni kweli haya ni MAAJABU???

Haya hayawezi kufikià yale ya Naibu Waziri wa Elimu Mhe: Mulugo. Eti Tanzania ni muungano wa nchi mbili, ambazo ni Tanganyika na Zimbambwe!!!!! Waziri wa Elimu kweli kweliiiiii!!!!!

JK uwe una acha utani!!!!
 
unakosoa bila weka correction nawe ndo walewale. na uongo wako ni balaa eti kamaliza udsm juzi juzi na kuajiliwa moja kwa moja je una mana gani? serikali haijaaliz walimu ck za karibuni

na inawezekana wanajuana.
 
kwanini hii lugha inanitesa hivi!!!
WHERE DOES IT LOCATED?
nisemeje!
 
Huyo mwalimu hata hajakosea wewe ndio hujui kingereza, hyo ni active voice na ipo sahihi kabisa. Ebu sahihisha ya kwako tuione!
 
Shukuru sana humu wanazuia kutukana.ulitakiwa utukanwe na kila mtu wa humu jf.
 
Sie wa la saba hatuongei ila simsikii mwalimu wangu kisura kutuelimisha
 
Back
Top Bottom