Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

ni "grammatical error" sio grammar error.. (grammatical=kisarufi...grammar=sarufi)
issue yangu ya jana hukunipatia jibu ujanjaujanja umekuwa mwingi..unazogoa wenzako wakati wajua huu ni ugonjwa wa wengi.. JITETEE NA HILI MKUU

haya ndio matatizo ya kukariri. tatizo lako wewe unakariri mno. in meaning terms, GRAMMAR ERROR=GRAMMATICAL ERROR. usikariri kama kasuku mkuu. usiwe kama nyumbu ambao wakiona mwenzao katangulia hata kama anawapeleka shimoni, hung'ang'ania kumfuata nyuma. halafu njia hii unayopitia kwenda kumtetea mwenzako anayepotosha wanafunzi sio sahihi. mtetee kwa namna nyingine.

turudi nyuma kidogo. jana ulisema nilikosea kuandika OBVIOUS BLUNDER. kosa liko wapi? ungekuwa wewe ungeandikaje?
 
hili unalolisema halihusiani na mada iliyopo hewani. kuna tofauti kubwa kati ya typing error na grammar error. huyo mwalimu alisikika akiongea, sio KUANDIKA. umeelewa? mtu asiyeoga mwili lakini anafua nguo zake huwezi kumfananisha na mtu anayeoga lakini hafui nguo. hawa ni watu wawili tofauti. kwa hiyo, kuchapia spelling hakuwezi kuwa sawa na kuchapia grammar. umeona eeh? una hoja lakini bado hujaijenga vizuri.

unazidi kunichanganya... wewe hata kiswahili hukijui... title yako umeandika neno "SIKIA" nikajua nakuja kukutana na audio... hilo nalo ni typing error?
 
Leo nimetembelea shule moja ya Kata nikashuhudia kituko cha mwaka kutoka kwa mwalimu mmoja shuleni hapo.

Mwalimu huyo amehitimu Chuo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) hivi karibuni na akaajiriwa moja kwa moja kufundisha katika shule hiyo ya Kata. Wakati akiendelea kufundisha nilimsikia akiwauliza wanafunzi swali hili: WHERE DOES IT LOCATED? Inaonekana ni mwalimu wa somo la Jiographia, hivyo alikuwa akiwauliza wanafunzi wake wamtajie location ya kitu fulani kwenye ramani.

Jamani, hapa ndipo shule za kata zilipotufikisha. Ikiwa mhitimu wa Chuo Kikuu anaongea kiingereza kibovu kama hiki, tena mbele ya wanafunzi,mnategemea wanafunzi anaowafundisha watapata maarifa gani kutoka kwake? Chukulia huyu ni mwalimu wa Kidato Cha Kwanza, wanafunzi wake wanaoambiwa kila siku "SPEAK ENGLISH" wataiga kiingereza gani kutoka kwake? Si ndio atawapoteza kabisa?

Ikiwa walimu hawajui kiingereza unategemea nini kutoka kwa wanafunzi wao? Haya ndio madhara ya serikali yetu kuchanganya elimu na siasa. Tumekwisha hasa!!

:israel:
Hali ni mbaya sana. Hata mahakimu wakazi dizaini hiyo tunao wengi tu, na wana nyodo kweli. Wenyewe wanakwambia kutojua lugha si issue.
 
alikuwa anafundisha jiografia na alikuwa amechora ramani kwenye ubao.

Mtoa Mada yaonekana wewe ni mnafiki. kwenye maelezo yako ya awali unadai yaonekana alikuwa anafundisha jiografia, alafu unathibitisha bila dalili za wasiwasi kuwa akifundisha jiografia. Nadhani mada hii uliandika emotionally. Na kama ww ni mdada basi mada hii uliandika siku ya 12 hadi 17 of your menstruation cycle, siku kama hizo hamtumii akili bali Vionjo.
 
Sasa mbona kuanzia masomo ya awali mpaka chuo kikuu wanataka iwe kiswahili,kingereza ibaki kuwa lugha ya kigeni si ndo watoto watatoka kapa?

watoke kapa kwenye nn? We unataka mwanao apate maarifa au ajue kiingereza? Km unataka ajue kiingereza mpeleke DARSTAR COLLEGE akasome english course!

Ndo nyie toto likijua kiingereza unajua linaakili, ila hujiulizi shule ya msingi wanafundishwa kwa kiswahili na wanafeli. Yaani kafundishwa kwa lugha mama amefeli leo unataka umfundishe kitu kipya kwa lugha mpya halafu unategemea afaulu!

Ningekuwa ninahela ningekukodia ndege ikakuache south afrika ukawasabahi wazulu.
 
Hapo ndo utajua ugumu uliopo kumuongoza mswahili,uwez kumtabiri ana taka nini.!!nina uhakika mletaalojua atapata wachangiaji wengi wa kusapoti uzi wake,lakin ndo uvo tena.japo una point,lakin umekosea kitu kimoja tu kuitaja udsm.!ungeitaija udom au chuo kingine chochote kile ungeona vijana wa udsm wanavyo kusapoti ll,wengi wao akili zao zmeishia kutetea chuo na sio wanacho deriver kutoka chuona,we mtu mwalimu wako ni kitila unategemea nini hapo.?hopless kabisa mnatetea mwl kuongea pumba darasani.??
 
hili unalolisema halihusiani na mada iliyopo hewani. kuna tofauti kubwa kati ya typing error na grammar error.

Hata wewe hujui kiingereza, grammar error ni kiingereza cha wapi?
 
haya ndio matatizo ya kukariri. tatizo lako wewe unakariri mno. in meaning terms, GRAMMAR ERROR=GRAMMATICAL ERROR. usikariri kama kasuku mkuu. usiwe kama nyumbu ambao wakiona mwenzao katangulia hata kama anawapeleka shimoni, hung'ang'ania kumfuata nyuma. halafu njia hii unayopitia kwenda kumtetea mwenzako anayepotosha wanafunzi sio sahihi. mtetee kwa namna nyingine.

turudi nyuma kidogo. jana ulisema nilikosea kuandika OBVIOUS BLUNDER. kosa liko wapi? ungekuwa wewe ungeandikaje?

sawa mkuu..umekuwa mwepesi wa kutoa maneno ya kashfa. nadhani hujazoea kupata mawazo kinzani.. AHSANTE MIMI NI NYUMBU...
...as i have observed most of your responses concerning this particular topic, sure thing we will never get a productive conclusion..
............ kama haya maneno yako sawa.. sorry kiongozi ..my bad
*kosa la kisarufi/makosa ya kisarufi
*kosa la sarufi/makosa ya sarufi.
..NIMEKOMA MKUU usije ukaniongeza mengine
 
Ongea utakavyo, chapia uwezavyo, kosea uwezavyo mimi ili mradi nielewe unasema nini na ndio DHUMUNI la lugha. Hili jengo lina/lime jengwa na wachina hawajui English bali mmoja tu na ndio ana Masters ya Mechanical Engineering
 

Attachments

  • 1429906116148.jpg
    1429906116148.jpg
    84.6 KB · Views: 101
watoke kapa kwenye nn? We unataka mwanao apate maarifa au ajue kiingereza? Km unataka ajue kiingereza mpeleke DARSTAR COLLEGE akasome english course!

Ndo nyie toto likijua kiingereza unajua linaakili, ila hujiulizi shule ya msingi wanafundishwa kwa kiswahili na wanafeli. Yaani kafundishwa kwa lugha mama amefeli leo unataka umfundishe kitu kipya kwa lugha mpya halafu unategemea afaulu!

Ningekuwa ninahela ningekukodia ndege ikakuache south afrika ukawasabahi wazulu.

kiingereza amjui hayo maarifa mnayoyasema pia amjui,kazi kupiga kelele tu,haya twambie unajua maarifa gani kama sio kurudia vitu ambavyo viko solved na watu mda mrefu..si bora tukomae na kiingereza tunaweza kuambulia kuwa wakalimani,bongo ukikutana na mtu anajiita mwanasayansi huyo ni either fundi magari,fundi umeme au fundi mwashi..acheni nyodo vijana..eti maarifa we unajua maarifa gani kama si kelele tu umeshindwa kutengeneza uzi wa kushonea nguo unajifanya unamaarifa..ungekuwa karibu yangu ngekutia bakora ww.!!
 
sawa mkuu..umekuwa mwepesi wa kutoa maneno ya kashfa. nadhani hujazoea kupata mawazo kinzani.. AHSANTE MIMI NI NYUMBU...
...as i have observed most of your responses concerning this particular topic, sure thing we will never get a productive conclusion..
............ kama haya maneno yako sawa.. sorry kiongozi ..my bad
*kosa la kisarufi/makosa ya kisarufi
*kosa la sarufi/makosa ya sarufi.
..NIMEKOMA MKUU usije ukaniongeza mengine
Tatizo lenu mnashindana; kuelimishana ni bora kuliko mfanyacho.
 
kiingereza amjui hayo maarifa mnayoyasema pia amjui,kazi kupiga kelele tu,haya twambie unajua maarifa gani kama sio kurudia vitu ambavyo viko solved na watu mda mrefu..si bora tukomae na kiingereza tunaweza kuambulia kuwa wakalimani,bongo ukikutana na mtu anajiita mwanasayansi huyo ni either fundi magari,fundi umeme au fundi mwashi..acheni nyodo vijana..eti maarifa we unajua maarifa gani kama si kelele tu umeshindwa kutengeneza uzi wa kushonea nguo unajifanya unamaarifa..ungekuwa karibu yangu ngekutia bakora ww.!!
Teh teh teh teh; asante sana, nimefurahi sana aisee!
 
Leo nimetembelea shule moja ya Kata nikashuhudia kituko cha mwaka kutoka kwa mwalimu mmoja shuleni hapo.

Mwalimu huyo amehitimu Chuo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) hivi karibuni na akaajiriwa moja kwa moja kufundisha katika shule hiyo ya Kata. Wakati akiendelea kufundisha nilimsikia akiwauliza wanafunzi swali hili: WHERE DOES IT LOCATED? Inaonekana ni mwalimu wa somo la Jiographia, hivyo alikuwa akiwauliza wanafunzi wake wamtajie location ya kitu fulani kwenye ramani.

Jamani, hapa ndipo shule za kata zilipotufikisha. Ikiwa mhitimu wa Chuo Kikuu anaongea kiingereza kibovu kama hiki, tena mbele ya wanafunzi,mnategemea wanafunzi anaowafundisha watapata maarifa gani kutoka kwake? Chukulia huyu ni mwalimu wa Kidato Cha Kwanza, wanafunzi wake wanaoambiwa kila siku "SPEAK ENGLISH" wataiga kiingereza gani kutoka kwake? Si ndio atawapoteza kabisa?

Ikiwa walimu hawajui kiingereza unategemea nini kutoka kwa wanafunzi wao? Haya ndio madhara ya serikali yetu kuchanganya elimu na siasa. Tumekwisha hasa!!

:israel:

Point yako ni ipi hapa? issue ni graduate teacher asiyejua kiingereza au shule ya sekondari ya kata? Au graduate aliyepitia shule ya kata? Mimi naona issue hiko kwa huyo mwalimu mwenye degree, kwani anaweza kuajiliwa ata kwenye private schools. Hivyo issue kubwa ni UDSM na kukosa juhudi binafsi. Pia je, sehemu yako ya ubongo ya kusikia ipo vizuri? Maanake pia watu mara nyingine usikia vibaya ndipo watu wanawaomba warudie!

Halafu kama wewe unakijua kiingereza basi weka post yako hii yote kwa kiingereza!!! Maanake isijekuwa 'nyani haoni sehemu yake anayotumia kukaa'.
 
inaelekea yy ni muuza mihogo maarufu hapo shule, wkt akiwa anatengeneza chachandu yake ndio akamsikia huyo mwl.

msameheni bure mzee wa watu jmn
 
Hata wewe hujui kiingereza, grammar error ni kiingereza cha wapi?

ukitamka grammar error au grammatical error yote ni sahihi au wewe umekariri?
 
nikisema ; ( I m comming tommorrow ) nitakuwa nimekosea ? ninyi ndo mlofundishwa kuwa kuna three types of tenses
Hujakosea. hii hutumika wakati kila kitu kimepangwa tayari kama nauli ipo; kama taarifa pia ...
kuna tofauti ya maana kati ya sentesi hizi
I shall/will come tomorrow.
I am coming tomorrow.
 
Halafu kama wewe bwana #tpaul ni great thinker lazima ungetoa mapendekezo ya kutatua shida hiyo badala ya kulalama. Halafu inaonekana kama vile huyo mwalimu ni office mate wako na amekuzidi kielimu!
 
Back
Top Bottom